Pre GE2025 Kwa kasi hii ya kurekebisha miundombinu Mbeya, tunatamani Uchaguzi uwe kila Mwaka

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Magufuli alifanya bila kusubiri uchaguzi. Hiyo danganya toto.
 
Huku kibaha mjini pwani mtaa wa Lumumba mvua ikinyesha tu shughuli hamna, wamama wajawazito wanakosa huduma kwenda hospitali wengine wanapoteza maisha..Tuwekewe hata kokoto tu kuingilike
 
Heri yenu . Huku kahama Hadi barabara zimflefungwa kwa kujengwa mashine za mpunga , yaani ni kuziba kabisa !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…