Kwa kasi hii ya kuzaliana kwa watu, Umasikini utazidi kukita mizizi Kanda ya Ziwa

Matusi ya nini bro? Nimefanya kazi huko nawajua. Ila sasa uandishi wako hauna context
kwa ni tusi liko wapi hapo?....uongo!! Yaani mie nina matusi? Niombe radhi! Heshima zangu zoote hizi? Kusema mtu ulivo siyo tusi....
 
nakazia hapa .watoto watakaozaliwa ni kweli watakuwa maskini lakini ndio hao hao watakaopambana kuutokomeza umasikini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…