Mzee Dogo
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 400
- 140
Vipo vitu vichache ambavo sijavipenda katika rasimu ya pili ya katiba mpya lakini kwa zaidi ya 75% iko vizuri, moja kati ya vitu nilivyovipenda ni kwamba kama ikipita basi angalau tunaweza kupata watunga sheria wanaojua angalau ni nini wanachokifanya kwa kuangalia kigezo cha elimu pale inaposema mbunge awe at least amefika form 4 au zaidi ya hapo. hili likifanikiwa basi mbunge wangu a.k.a Prof. Maji Marefu atakosa sifa za kugombea na huenda tukapata mtu anayejielewa ni nini anafanya huko mjengoni!
Natamani sana sijui hili litokee, sijui wewe Mtanzania mwenzangu...
Natamani sana sijui hili litokee, sijui wewe Mtanzania mwenzangu...