Ekikunila
Senior Member
- Mar 25, 2013
- 119
- 35
sugu je aliyeishia form 2
jamani Tony Form 4 yako ya kagango na ya Sugu ni sawa? kila mwaka ziro zinaanzia 50 na kuendelea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sugu je aliyeishia form 2
Vipo vitu vichache ambavo sijavipenda katika rasimu ya pili ya katiba mpya lakini kwa zaidi ya 75% iko vizuri, moja kati ya vitu nilivyovipenda ni kwamba kama ikipita basi angalau tunaweza kupata watunga sheria wanaojua angalau ni nini wanachokifanya kwa kuangalia kigezo cha elimu pale inaposema mbunge awe at least amefika form 4 au zaidi ya hapo. hili likifanikiwa basi mbunge wangu a.k.a Prof. Maji Marefu atakosa sifa za kugombea na huenda tukapata mtu anayejielewa ni nini anafanya huko mjengoni!
Natamani sana sijui hili litokee, sijui wewe Mtanzania mwenzangu...
Babu alieakuwa msimamizi mkuu wa rasimu ya katiba anadai viongozi wa siasa sijui wafanyakazi wa umma wasiwe na account nje ya nchi. Sasa basi unless mabenki yawe na ulazima wa ku-deposit accounts za watu kwa fedha za kigeni vinginevyo ni moja ya mapendekezo yake mengine ambayo ni vichekesho. Maana hela ya Tanzania ina depreciate kila kukicha, anacho pendekeza ni kwamba mfanyakazi wa serikali aruhusiwi kuchukua precautions with his/her finances, hiwe tabu kwake kuwekeza kwenye international markets with ease, hali kadhalika: governor ajae, waziri wa fedha, waziri wa biashara na serikali ijayo watakuwa na mikakati mizuri sana kutokua na sababu ya watu kutaka kujikinga na currency depreciation. Huyo babu keshakuwa waziri mkuu na ni judge by professional (msomi) ndio kaja na mapendekezo hayo.Kama kweli tunataka maendeleo mbunge awe na minimum qualification ya kuwa na degree ya kwanza. Siku hizi vijana lukuki wana degree ya kwanza halafu mnataka wabunge wa form four; heshima ya ubunge iko wapi?
Vipo vitu vichache ambavo sijavipenda katika rasimu ya pili ya katiba mpya lakini kwa zaidi ya 75% iko vizuri, moja kati ya vitu nilivyovipenda ni kwamba kama ikipita basi angalau tunaweza kupata watunga sheria wanaojua angalau ni nini wanachokifanya kwa kuangalia kigezo cha elimu pale inaposema mbunge awe at least amefika form 4 au zaidi ya hapo. hili likifanikiwa basi mbunge wangu a.k.a Prof. Maji Marefu atakosa sifa za kugombea na huenda tukapata mtu anayejielewa ni nini anafanya huko mjengoni!
Natamani sana sijui hili litokee, sijui wewe Mtanzania mwenzangu...
Kama kweli tunataka maendeleo mbunge awe na minimum qualification ya kuwa na degree ya kwanza. Siku hizi vijana lukuki wana degree ya kwanza halafu mnataka wabunge wa form four; heshima ya ubunge iko wapi?
Namuonea huruma rafiki yangu Komba mpiga usingizi huyu ataondolewa na waliomchagua maana hawawakilishi baki kakodi chumba cha mapumziko bungeni. Oh!!! Lyatonga upo???? Utagombea tena Vunjo???
Hivi kwa nini wasingeweka shahada ya kwanza kabisa?? Hizi kazi wakipewa wasomi naamini ni muafaka kabisa.
sugu je aliyeishia form 2
Lackson Mwanjali aliacha darasa la nne na ni mbunge wa Mbeya vijijini.
mkuu kuna wabunge wengi wana madegree halafu bungeni huongea pumba tupu!Kama kweli tunataka maendeleo mbunge awe na minimum qualification ya kuwa na degree ya kwanza. Siku hizi vijana lukuki wana degree ya kwanza halafu mnataka wabunge wa form four; heshima ya ubunge iko wapi?
Hebu tutajie angalau watatumkuu kuna wabunge wengi wana madegree halafu bungeni huongea pumba tupu!
Kama kweli tunataka maendeleo mbunge awe na minimum qualification ya kuwa na degree ya kwanza. Siku hizi vijana lukuki wana degree ya kwanza halafu mnataka wabunge wa form four; heshima ya ubunge iko wapi?