Ndugu Bulesi hilo wazo lako naomba nilipinge, kwa sasa nchi yetu nadhani haijawa na wasomi wa kutosha wenye shahada kiasi cha kuruhusu hiyo kitu itokee, nafikiri kwa hapa tuliposimama tuwape nafasi pia watu waliofika japo form four ili tuwe na wigompana wa kuchagua. Ungesema kuwa mawaziri wote teuliwa ni lazima wawe at least na Bachelor hapo nitakuwa wa kwanza kukuunga mkono...
Ikitokea 98% ya wabunge waliochaguliwa ni form 4 tutapata mawaziri kweli?