Kwa katiba hii basi mbunge wangu hana sifa kurudi bungeni!


Ikitokea 98% ya wabunge waliochaguliwa ni form 4 tutapata mawaziri kweli?
 
Kwa taarifa yako we mburura, Sugu ni f6 aliyefaulu na ana diploma ok. Muulize Amimu Agustino aliyenunua vyeti vya marehemu Philip Mulugo aliyezikwa makaburi ya Mwambene hapa Mbeya mjini

Diploma ya matusi au muziki?
 
Ikitokea 98% ya wabunge waliochaguliwa ni form 4 tutapata mawaziri kweli?

Kaka kumbuka kuna kifungu kinasema mawaziri hawatakuwa wabunge, this means rais atateua watu wenye taaluma ya kada husika. Nafikiri imekaa vizuri
 

kwahiyo ushauri wako ulipotea bure ! Pole sana !
 
mh.jah people kwa rasmu hii hana sifa maana ni darasa la pili

Hahaaaaaaa, bwana tweve nimeshangaa wanamwona prof kina kirefu ndo under-educated kuliko wote hawajui kama kuna jah, hebu shusha cv yake tuburudike hapa, ama kweli ukistaajabu ya omari utaona ya mbuzi
 

Wewe mbona unakurupuka??!! Mimi nilisema wapi Dr anaganga njaa??
 
Rorya walimkataa Profesa
 
Pamoja na Elimu Kuna mambo muhimu ya kuzingatiwa katika hili suala la ubunge ili wanaochaguliwa wawe wanawajibika kwa wananchi wao ipasavyo

  1. Wananchi wawe na uwezo wa kumfukuza Mbunge 9pale inapobidi kufanya hivyo) within three year tangu kuchaguliwa...ikishapita miaka mitatu basi aendelee kumalizia kipindi cha ubunge. Ukishakuwa Mbunge isiwe ndio tiketi ya watu wengine kupata njia ya kujitarisha/kupatia mitaji ya miradi ya familia zao
  2. Mihula ya ubunge; kuwe na ukomo wa vipindi vya ubunge (vipindi viwili vya miaka 5 vinatosha sana).......kuna watu wamefanya hii nafasi ni ya kwao milele, siku hizi watu wenye uchungu na mamendeleo ya sehemu zao wako wengi....hivyo ukomo wa ubunge utaleta changamoto za kukamilisha maendeleo yanayokusudiwa na mbunge

sina hakika kama hayo masuala yamo kwenye rasimu ya katiba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…