Nilimsikia waziri Ndumbaro pale bungeni akisigina manung'uniko na malalamiko ya wamaasai kuondolewa kwenye ardhi yao ya asili Ngorongoro.
Ndumbaro alisema "ardhi siyo ya kabila fulani, ardhi ni mali ya watanzania wote. Kwa mujibu wa katiba ardhi yote iko chini ya rais".
Kwahiyo basi, katiba imempa mhe rais madaraka na mamlaka ya kuamua chochote juu ardhi ya eneo fulani kama ikodishae, iuzwe, ama igawiwe bure kwa wananchi, marafiki wa nje n.k. Hii ni hatari.
Hatuombei atakuja rais kichaa atauza ama kutoa kama zawadi ya birthday ardhi yote ya mkoa fulani kwa nchi ama makampuni ya nje. Na Wala hatoshitakiwa.
Tupate katiba mpya ndugu zangu watanzania.
Ndumbaro alisema "ardhi siyo ya kabila fulani, ardhi ni mali ya watanzania wote. Kwa mujibu wa katiba ardhi yote iko chini ya rais".
Kwahiyo basi, katiba imempa mhe rais madaraka na mamlaka ya kuamua chochote juu ardhi ya eneo fulani kama ikodishae, iuzwe, ama igawiwe bure kwa wananchi, marafiki wa nje n.k. Hii ni hatari.
Hatuombei atakuja rais kichaa atauza ama kutoa kama zawadi ya birthday ardhi yote ya mkoa fulani kwa nchi ama makampuni ya nje. Na Wala hatoshitakiwa.
Tupate katiba mpya ndugu zangu watanzania.