johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hahahaaaa......... Kiukweli tunakwenda vizuri leo CAG yuko bungeni!Nyie mataga pori hebu mawazo ya kinjekitile wenu kwasasa bakini nayo huko umatagani as long as siku 21 zimeisha.
Na bado ...Bora ingekua hivo, hii ya kuokota dodo kwenye mchongoma ni shida sana. Mtu anakuja anapindua kila kitu Bila kujua hayo yaliyofanyika ni kwa matakwa na maslahi ya wananchi. Mtu anataka kujaza wachina, wahindi na waarabu kwenye ajira zetu za kawaida na hataki walipe kodi
hivi kuna sababu gani kupotosha alichoongea bi mkubwa au ndiyo nyie mliotumwa na wafia MWENDAZAKE....MAGUFULI ameshafariki harudi tena na kilichotokea ni natural death kwann tusikubali tu na kumuunga mkono bi mkbwa,huyo Magu amekosea mangapi jamani,mbona mengi tu??Bora ingekua hivo, hii ya kuokota dodo kwenye mchongoma ni shida sana. Mtu anakuja anapindua kila kitu Bila kujua hayo yaliyofanyika ni kwa matakwa na maslahi ya wananchi. Mtu anataka kujaza wachina, wahindi na waarabu kwenye ajira zetu za kawaida na hataki walipe kodi
Na mama ameshamuambia CAG afunguke yoote asiwe muoga hizi sio zama za kinjekitile.Hahahaaaa......... Kiukweli tunakwenda vizuri leo CAG yuko bungeni!
Na bado.... shughuli ndio kwanza imeanza...Bora ingekua hivo, hii ya kuokota dodo kwenye mchongoma ni shida sana. Mtu anakuja anapindua kila kitu Bila kujua hayo yaliyofanyika ni kwa matakwa na maslahi ya wananchi. Mtu anataka kujaza wachina, wahindi na waarabu kwenye ajira zetu za kawaida na hataki walipe kodi
Naomba kuuliza ni katiba ya nchi gani? Thibitisha kwa kutaja ibara hiyo cheifKatiba yetu ni nzuri sana ndio maana mambo yote yameenda kwa amani kabisa ndani ya siku 21 za maombolezo.
Katika baadhi ya nchi Rais akifa Spika ndio anaongoza nchi kwa siku 90 na kuitisha uchaguzi.
Ndio kusema ingekuwa hapa, Spika Ndugai ndiye angekuwa mkuu wa nchi na baadae kusimamia zoezi zima la uchaguzi.
Ukinizingua Nakuzingua!
Hahahaaaa......hahahaaaa....... Bavicha mna vituko sana!yule fala wa kongwa angetunyea vichwani kabisa yule ni balaa kuliko meko
Katiba yetu ni nzuri sana ndio maana mambo yote yameenda kwa amani kabisa ndani ya siku 21 za maombolezo.
Katika baadhi ya nchi Rais akifa Spika ndio anaongoza nchi kwa siku 90 na kuitisha uchaguzi.
Ndio kusema ingekuwa hapa, Spika Ndugai ndiye angekuwa mkuu wa nchi na baadae kusimamia zoezi zima la uchaguzi.
Ukinizingua Nakuzingua!
Wewe mataga kuwa na imani na mwana ccm mwenzako! Sasa wewe ukikosa imani, itakuwaje kwetu sisi ambao hatujawahi kamwe kuielewa ccm na viongozi wake?Bora ingekua hivo, hii ya kuokota dodo kwenye mchongoma ni shida sana. Mtu anakuja anapindua kila kitu Bila kujua hayo yaliyofanyika ni kwa matakwa na maslahi ya wananchi. Mtu anataka kujaza wachina, wahindi na waarabu kwenye ajira zetu za kawaida na hataki walipe kodi
Sio zama za bunge la "atake, asitake mitano tena "Na mama ameshamuambia CAG afunguke yoote asiwe muoga hizi sio zama za kinjekitile.
Kwa ndugai alivyo huo urais angeugombea yeye yeyeKatiba yetu ni nzuri sana ndio maana mambo yote yameenda kwa amani kabisa ndani ya siku 21 za maombolezo.
Katika baadhi ya nchi Rais akifa Spika ndio anaongoza nchi kwa siku 90 na kuitisha uchaguzi.
Ndio kusema ingekuwa hapa, Spika Ndugai ndiye angekuwa mkuu wa nchi na baadae kusimamia zoezi zima la uchaguzi.
Ukinizingua Nakuzingua!
Huu siyo mtihani bwashee kwamba jibu ni Burundi!Naomba kuuliza ni katiba ya nchi gani? Thibitisha kwa kutaja ibara hiyo cheif
Yaani ndio uone jinsi tulivyo na watu wa hovyo, kwani suala la binadamu kufa linahitaji kuwa na PhD kujua kuwa ni lazimaMawazo yako kama ya Chalamila amabaye alikuwa hajui kama Rais anaweza kufa akiwa madarakani!
Una akili sana wewe!Kwa ndugai alivyo huo urais angeugombea yeye yeye