Kwa Katiba za nchi nyingine Spika ndiye angekuwa Rais kwa miezi mitatu

Kwa Katiba za nchi nyingine Spika ndiye angekuwa Rais kwa miezi mitatu

Bora ingekua hivo, hii ya kuokota dodo kwenye mchongoma ni shida sana. Mtu anakuja anapindua kila kitu Bila kujua hayo yaliyofanyika ni kwa matakwa na maslahi ya wananchi. Mtu anataka kujaza wachina, wahindi na waarabu kwenye ajira zetu za kawaida na hataki walipe kodi
Ajira zetu zipi ?
 
Katiba yetu ni nzuri sana ndio maana mambo yote yameenda kwa amani kabisa ndani ya siku 21 za maombolezo.

Katika baadhi ya nchi Rais akifa Spika ndio anaongoza nchi kwa siku 90 na kuitisha uchaguzi.

Ndio kusema ingekuwa hapa, Spika Ndugai ndiye angekuwa mkuu wa nchi na baadae kusimamia zoezi zima la uchaguzi.

Chadema wangelia lia sana

Ukinizingua Nakuzingua!
Unalialia! muungu wenu kakufilia mbali mlifikri atadumu milele?
 
Bora ingekua hivo, hii ya kuokota dodo kwenye mchongoma ni shida sana. Mtu anakuja anapindua kila kitu Bila kujua hayo yaliyofanyika ni kwa matakwa na maslahi ya wananchi. Mtu anataka kujaza wachina, wahindi na waarabu kwenye ajira zetu za kawaida na hataki walipe kodi
Vumilia we sio wa kwanza kuteseka mara nyingi watoto wa marehemu inakuaga hivo.
 
Katiba yetu ni nzuri sana ndio maana mambo yote yameenda kwa amani kabisa ndani ya siku 21 za maombolezo.

Katika baadhi ya nchi Rais akifa Spika ndio anaongoza nchi kwa siku 90 na kuitisha uchaguzi.

Ndio kusema ingekuwa hapa, Spika Ndugai ndiye angekuwa mkuu wa nchi na baadae kusimamia zoezi zima la uchaguzi.

Chadema wangelia lia sana

Ukinizingua Nakuzingua!
Kwa hapa uzi ni tayari au?
 
MATAGA poli / SUKUMA GANG,, mmerisishwa tabia ya kudharau wanawake na Mtupoli. Amuamini na amumtaki mama Samia.. Usukuma ni ugonjwa mbaya sana.
Sie tushaanua matanga, Samia ndio Rais tunataka afuate katiba tu.
 
Bora ingekuwa hivo, hii ya kuokota dodo kwenye mchongoma ni shida sana. Mtu anakuja anapindua kila kitu Bila kujua hayo yaliyofanyika ni kwa matakwa na maslahi ya wananchi. Mtu anataka kujaza wachina, wahindi na waarabu kwenye ajira zetu za kawaida na hataki walipe kodi

Pole sana, munateseka sana kwa kweli mpaka munatilisha huruma.
 
Kwasasa hakuna mwanasiasa ninachukia mienendo yake kama spwika!!
Anahoja hovyo kuliko mbunge yeyote,anavinyongo,anajeuri,anakisirani nk. Amefanya sitamani kuangalia binge kabisa
  • kafuta bunge live
  • anatamani bodaboda wapigwe fimbo kama enzi za utumwa,hajui wapo na watu wazima.
  • anatamani walimu wafundishe masomo matatu,Moja tuu ziro kibao matatu je?...
  • anafukuza na kuingiza ma mp atakavyo kiubabe.
  • alimpiga MTU kwenye kugombea nusura afe na anajisifugi.
  • alishindwa kumtetea kwalolote mp alopigwa risasi akiwa kazini,sana akamvua ubunge
  • Tofauti na maspwika wengine niliowahi kuwafahamu,huyu kwangu ndiyo the poorest kama sio worse one!!
 
Katiba yetu ni nzuri sana ndio maana mambo yote yameenda kwa amani kabisa ndani ya siku 21 za maombolezo.

Katika baadhi ya nchi Rais akifa Spika ndio anaongoza nchi kwa siku 90 na kuitisha uchaguzi.

Ndio kusema ingekuwa hapa, Spika Ndugai ndiye angekuwa mkuu wa nchi na baadae kusimamia zoezi zima la uchaguzi.

Chadema wangelia lia sana

Ukinizingua Nakuzingua!
Huishi kuwaza ujinga?????
 
Yani wewe hii hali haitaokutoka nafikiri mpk hata mwaka.

Ahahhahahahhahahahhahahha
 
Back
Top Bottom