johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #41
Duh.....!Poleee... Ikiuma zaidi ichomoe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh.....!Poleee... Ikiuma zaidi ichomoe
Wewe ulikuwa unajua?
Ufipa hamjambo lakini?!Sina kichwa chenye akili kama za kwako na mwenzako Chalamila.
Ajira zetu zipi ?Bora ingekua hivo, hii ya kuokota dodo kwenye mchongoma ni shida sana. Mtu anakuja anapindua kila kitu Bila kujua hayo yaliyofanyika ni kwa matakwa na maslahi ya wananchi. Mtu anataka kujaza wachina, wahindi na waarabu kwenye ajira zetu za kawaida na hataki walipe kodi
Unalialia! muungu wenu kakufilia mbali mlifikri atadumu milele?Katiba yetu ni nzuri sana ndio maana mambo yote yameenda kwa amani kabisa ndani ya siku 21 za maombolezo.
Katika baadhi ya nchi Rais akifa Spika ndio anaongoza nchi kwa siku 90 na kuitisha uchaguzi.
Ndio kusema ingekuwa hapa, Spika Ndugai ndiye angekuwa mkuu wa nchi na baadae kusimamia zoezi zima la uchaguzi.
Chadema wangelia lia sana
Ukinizingua Nakuzingua!
Wewe hujafa?!Unalialia! muungu wenu kakufilia mbali mlifikri atadumu milele?
Vumilia we sio wa kwanza kuteseka mara nyingi watoto wa marehemu inakuaga hivo.Bora ingekua hivo, hii ya kuokota dodo kwenye mchongoma ni shida sana. Mtu anakuja anapindua kila kitu Bila kujua hayo yaliyofanyika ni kwa matakwa na maslahi ya wananchi. Mtu anataka kujaza wachina, wahindi na waarabu kwenye ajira zetu za kawaida na hataki walipe kodi
Siyo uchawi tunapeleka mashtaka kwa Muumba,na siku hizi harembi ukizingua unabinuliwa tu.Bwashee punguza uchawi!
Kwa hapa uzi ni tayari au?Katiba yetu ni nzuri sana ndio maana mambo yote yameenda kwa amani kabisa ndani ya siku 21 za maombolezo.
Katika baadhi ya nchi Rais akifa Spika ndio anaongoza nchi kwa siku 90 na kuitisha uchaguzi.
Ndio kusema ingekuwa hapa, Spika Ndugai ndiye angekuwa mkuu wa nchi na baadae kusimamia zoezi zima la uchaguzi.
Chadema wangelia lia sana
Ukinizingua Nakuzingua!
Bora ingekuwa hivo, hii ya kuokota dodo kwenye mchongoma ni shida sana. Mtu anakuja anapindua kila kitu Bila kujua hayo yaliyofanyika ni kwa matakwa na maslahi ya wananchi. Mtu anataka kujaza wachina, wahindi na waarabu kwenye ajira zetu za kawaida na hataki walipe kodi
Angeumwa Corona ndani ya wiki 2 angevutaKwa ndugai alivyo huo urais angeugombea yeye yeye
Huishi kuwaza ujinga?????Katiba yetu ni nzuri sana ndio maana mambo yote yameenda kwa amani kabisa ndani ya siku 21 za maombolezo.
Katika baadhi ya nchi Rais akifa Spika ndio anaongoza nchi kwa siku 90 na kuitisha uchaguzi.
Ndio kusema ingekuwa hapa, Spika Ndugai ndiye angekuwa mkuu wa nchi na baadae kusimamia zoezi zima la uchaguzi.
Chadema wangelia lia sana
Ukinizingua Nakuzingua!
Hahahaaaa......kakate gogo kwa hasira!Huishi kuwaza ujinga?????
Kate wee ulete ninuseHahahaaaa......kakate gogo kwa hasira!