Kijana siri ya mtungi haya mambo ni makubwa sana hili bifu lisipo patanishwa watatiana ukilema hawa watu na yote ni team wema
Hafu nikuambie kitu hizi media za bongo zote diamond platinum akienda kwenye interview anasema asiulizwe swali kuhusu wema wala ali kiba kama huamini fuatilia interview zake vizuri ni kama gadner na lady jaydee
Japokuwa hill bifu naona kama limeisha halina hype kama iliyokuwa mwaka jana mwezi wa saba, sita hivii kurudi nyuma.. Jinsi Diamond anavyozidi kupata mafanikio nguvu ya kuwashindanisha mashabiki inaisha, kinabaki majungu tu
Diamond hataki kumuongelea kiba popote pale maana kila atapomuongelea itazua mjadala, kitu kilicho tofauti kwa kiba yeye anamuongelea sana diamond na ni moja ya vitu vinavyokuza hii bifu pamoja na wema kuingilia kati kutoa vimaneno vya shombo hivii..
Upande wa mashabiki maneno maneno kuwepo ni kitu cha kawaida, maana bila umbea, fitna, matusi mitandao hasa insta huko kama hakuendi hivii