Kwa kauli ya Waziri wa Sheria na Katiba, CHADEMA acheni maridhiano hakuna Katiba Mpya

Kwa kauli ya Waziri wa Sheria na Katiba, CHADEMA acheni maridhiano hakuna Katiba Mpya

CCM hawataki katiba mpya ili waendelee kutuibia, CAG mpaka atakosa karatasi za kutolea ripoti ya wizi wa maccm
 
Huyu Mama tumng'oe kwa maandamano ameshafeli na maridhiano yake ni ya kitapeli.
 
Mbowe pekee sio Upinzani huyu Mama lazima aelewe.

Katiba mpya ni ya Wananchi wa Tanzania.
 
Vyama mbadala vimeshindwa kuwa na msimamo thabiti kuhusu Katiba Mpya

Kuna wale wanaotaka mchakato mpya-Katiba mpya
Kuna wale wanaotaka mchakato wa Katiba mpya ulioendelezwa na Warioba uendelee.
Kwa maoni yangu Chadema kumegawanyika katika makundi hayo mawili juu

CHADEMA:
Tundu Lissu, naamini hajafurahishwa na mchakato mzima wa maridhiano(ya siri) pamoja na kuwa anafaidika kwa namna moja au nyingine na maridhiano haya.
Mbowe in the other hand, yupo tayari kuendelea na status quo, alimradi maridhiano yanamletea na kumfanyia wepesi wa kisiasa 'political expediency' na hivyo basi Katiba kutokuwepo katika ajenda yake kwa muda huu.....2023-2030

Vyama Vingine: kuna wale wa Rasimu ya Warioba na wadandiaji.

Mada, ni ushahidi wa mpasuko wa ndani wa CHADEMA. mtajijiju
 
Wadau nimeshanganzwa sana na kauli ya Waziri mwenye dhamana ya sheria na katiba.

Nilitarajia waziri huyu angekuwa bega kwa bega na wananchi wanaotaka katiba mpya kwani ni haki yao, kauli hii ya Waziri ni kauli ya Serikali na kama ni ya Serikali basi hata Rais anahusika.

Nipende kuchukua nafasi hii kuwataka viongozi wa CHADEMA waachane na maridhiano na CCM kwani kama waziri wa sheria anakuja na kauli hizi ni wazi CCM haina nia njema na katiba mpya.

Wananchi ndio wenye katiba wananchi walitoa maoni na mapendekezo yao kwa tume ya warioba jinsi wanavyotaka katiba yao iwe hao wabunge watakataaje katiba ya wananchi?

Waliokataa pendekezo la katiba ya warioba ni CCM na wabunge wake kwani hawataki katiba mpya, suala la katiba mpya kutokumaliza changamoto sio hoja kwani katiba iliyopo imemaliza au ndio imeongeza na kuleta changamoto?

Suala la changamoto lipo tu halikwepeki kwani hata Biblia na Quran zina changamoto.

CHADEMA maridhiano yenu na CCM hayana tija wenzenu hawataki katiba mpya.

View attachment 2597754View attachment 2597755
Bora maandamano
 
Wadau nimeshanganzwa sana na kauli ya Waziri mwenye dhamana ya sheria na katiba.

Nilitarajia waziri huyu angekuwa bega kwa bega na wananchi wanaotaka katiba mpya kwani ni haki yao, kauli hii ya Waziri ni kauli ya Serikali na kama ni ya Serikali basi hata Rais anahusika.

Nipende kuchukua nafasi hii kuwataka viongozi wa CHADEMA waachane na maridhiano na CCM kwani kama waziri wa sheria anakuja na kauli hizi ni wazi CCM haina nia njema na katiba mpya.

Wananchi ndio wenye katiba wananchi walitoa maoni na mapendekezo yao kwa tume ya warioba jinsi wanavyotaka katiba yao iwe hao wabunge watakataaje katiba ya wananchi?

Waliokataa pendekezo la katiba ya warioba ni CCM na wabunge wake kwani hawataki katiba mpya, suala la katiba mpya kutokumaliza changamoto sio hoja kwani katiba iliyopo imemaliza au ndio imeongeza na kuleta changamoto?

Suala la changamoto lipo tu halikwepeki kwani hata Biblia na Quran zina changamoto.

CHADEMA maridhiano yenu na CCM hayana tija wenzenu hawataki katiba mpya.

View attachment 2597754View attachment 2597755

Aliekwambia chadema wanafanya maridhiano Kwa ajili ya katiba ni Nani?

Wamefanya maridhiano Kwa maslai yao wenyewe

Now mambo yao ni safi


Aliekuwa anadai ela za ubunge kapewa zote,

Aliefungiwa biashara zake, zimefunguliwa zote

Aliekuwa nje uhamishoni karudi na ticket kapewa

Sasa ww kaa fikilia wenzako wanawaza katiba mpya
 
Kama katiba ni takwa la wananchi na dola (the state) bas itapatikana!

Lakini kama ni takwa la serikali na chama bas wata spin hadi wachakachue watakavyo!

Si wanaccm makini tunasubiri kuona kama dola itakubali kubagazwa na wanaccm uchwara waitwao wahuni hadi katiba isipatikane!!!?

Tusubiri

Hata kama Rais angekuwa ni Mbowe au Lissu still wasingeleta katiba mpya
 
Wadau nimeshanganzwa sana na kauli ya Waziri mwenye dhamana ya sheria na katiba.

Nilitarajia waziri huyu angekuwa bega kwa bega na wananchi wanaotaka katiba mpya kwani ni haki yao, kauli hii ya Waziri ni kauli ya Serikali na kama ni ya Serikali basi hata Rais anahusika.

Nipende kuchukua nafasi hii kuwataka viongozi wa CHADEMA waachane na maridhiano na CCM kwani kama waziri wa sheria anakuja na kauli hizi ni wazi CCM haina nia njema na katiba mpya.

Wananchi ndio wenye katiba wananchi walitoa maoni na mapendekezo yao kwa tume ya warioba jinsi wanavyotaka katiba yao iwe hao wabunge watakataaje katiba ya wananchi?

Waliokataa pendekezo la katiba ya warioba ni CCM na wabunge wake kwani hawataki katiba mpya, suala la katiba mpya kutokumaliza changamoto sio hoja kwani katiba iliyopo imemaliza au ndio imeongeza na kuleta changamoto?

Suala la changamoto lipo tu halikwepeki kwani hata Biblia na Quran zina changamoto.

CHADEMA maridhiano yenu na CCM hayana tija wenzenu hawataki katiba mpya.

View attachment 2597754View attachment 2597755
Aione Erythrocyte kwenye shajara
 
Mfa maji hawachi kutapa tapa huyu anajua katiba mpya itakuja ila anapima upepo wa mama tu.
 
Back
Top Bottom