Kwa kauli ya Waziri wa Sheria na Katiba, CHADEMA acheni maridhiano hakuna Katiba Mpya

Kwa kauli ya Waziri wa Sheria na Katiba, CHADEMA acheni maridhiano hakuna Katiba Mpya

Wadau nimeshanganzwa sana na kauli ya Waziri mwenye dhamana ya sheria na katiba.

Nilitarajia waziri huyu angekuwa bega kwa bega na wananchi wanaotaka katiba mpya kwani ni haki yao, kauli hii ya Waziri ni kauli ya Serikali na kama ni ya Serikali basi hata Rais anahusika.

Nipende kuchukua nafasi hii kuwataka viongozi wa CHADEMA waachane na maridhiano na CCM kwani kama waziri wa sheria anakuja na kauli hizi ni wazi CCM haina nia njema na katiba mpya.

Wananchi ndio wenye katiba wananchi walitoa maoni na mapendekezo yao kwa tume ya warioba jinsi wanavyotaka katiba yao iwe hao wabunge watakataaje katiba ya wananchi?

Waliokataa pendekezo la katiba ya warioba ni CCM na wabunge wake kwani hawataki katiba mpya, suala la katiba mpya kutokumaliza changamoto sio hoja kwani katiba iliyopo imemaliza au ndio imeongeza na kuleta changamoto?

Suala la changamoto lipo tu halikwepeki kwani hata Biblia na Quran zina changamoto.

CHADEMA maridhiano yenu na CCM hayana tija wenzenu hawataki katiba mpya.

View attachment 2597754View attachment 2597755

Sio CHADEMA ni Mbowe ndio anazingua. Tukimpata Mwenyekiti mpya tutarudi kwenye mstari. Sio huyu Mbowe ambaye analazimisha urafiki wake na Samiah uwe wa chama. I hate that.
 
Kwa kifupi hakuna chama pinzani Tanzania. CCM ni chama kikubwa sana na mwenye sauti Kwa vyama vyote. Wao wananogewa na Ruzuku na INSERNTIVES NYINGINE.

Mimi nalia na Mbowe. Katuuza mchana kweupe. Si atangaze kustaafu huyo jamaa. Chama kina hitaji reforms sio kujikomba kwa Samiah kwenye futari na baraza la idd.
 
Hao ni wanasiasa tu na hawawezi kua kwenye hizo nafasi milele yote ila elimu ya uraia kwa wananchi ni muhimu.kwahiyo hata kama katiba mpya haitapatikana sasa ila iko siku itapatikana kwasababu wananchi watakua tayari wameelimika vyakutosha.Sio lazima mabadiliko yenye manufaa faida yake ipatikane wakati huo huo.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mapimbi ya ccm yanajiuliza maswali na kujijibu menyewe

Kwn unafikiri hata katiba mpya isipopatikana wanaumia chadema tu ??
 
Vyama mbadala vimeshindwa kuwa na msimamo thabiti kuhusu Katiba Mpya

Kuna wale wanaotaka mchakato mpya-Katiba mpya
Kuna wale wanaotaka mchakato wa Katiba mpya ulioendelezwa na Warioba uendelee.
Kwa maoni yangu Chadema kumegawanyika katika makundi hayo mawili juu

CHADEMA:
Tundu Lissu, naamini hajafurahishwa na mchakato mzima wa maridhiano(ya siri) pamoja na kuwa anafaidika kwa namna moja au nyingine na maridhiano haya.
Mbowe in the other hand, yupo tayari kuendelea na status quo, alimradi maridhiano yanamletea na kumfanyia wepesi wa kisiasa 'political expediency' na hivyo basi Katiba kutokuwepo katika ajenda yake kwa muda huu.....2023-2030

Vyama Vingine: kuna wale wa Rasimu ya Warioba na wadandiaji.

Mada, ni ushahidi wa mpasuko wa ndani wa CHADEMA. mtajijiju
Acha uongo wee chawa wa mama
 
Wadau nimeshanganzwa sana na kauli ya Waziri mwenye dhamana ya sheria na katiba.

Nilitarajia waziri huyu angekuwa bega kwa bega na wananchi wanaotaka katiba mpya kwani ni haki yao, kauli hii ya Waziri ni kauli ya Serikali na kama ni ya Serikali basi hata Rais anahusika.

Nipende kuchukua nafasi hii kuwataka viongozi wa CHADEMA waachane na maridhiano na CCM kwani kama waziri wa sheria anakuja na kauli hizi ni wazi CCM haina nia njema na katiba mpya.

Wananchi ndio wenye katiba wananchi walitoa maoni na mapendekezo yao kwa tume ya warioba jinsi wanavyotaka katiba yao iwe hao wabunge watakataaje katiba ya wananchi?

Waliokataa pendekezo la katiba ya warioba ni CCM na wabunge wake kwani hawataki katiba mpya, suala la katiba mpya kutokumaliza changamoto sio hoja kwani katiba iliyopo imemaliza au ndio imeongeza na kuleta changamoto?

Suala la changamoto lipo tu halikwepeki kwani hata Biblia na Quran zina changamoto.

CHADEMA maridhiano yenu na CCM hayana tija wenzenu hawataki katiba mpya.

View attachment 2597754View attachment 2597755
Tutaamini kuwa hiyo kauli ni ya serikali iwapo huyo waziri hatafukzwa kazi au kama angalau Msigwa hatajitokeza kutoa ufafanuzi wa kauli hiyo tata. Kwa sasa tunaweza kuchukulia tu kuwa kama kawaida yake waziri ameropoka. Waziri huyu siyo kiongozi wa kisiasa hata kidogo; waliomchagua waliangalia kitu kimoja tu: vyeti vya shule! Siyo kila aliyeingia darasani ameelimika kiasi cha kuwa kiongozi!
 
Hata kama Rais angekuwa ni Mbowe au Lissu still wasingeleta katiba mpya
Unawazemea wewe kama nani?.Swala la katiba mpya ni kwafaida ya nchi na wananchi.sio mbowe wala lissu.anayewaza kua katiba mpya nikwaajili yakina mbowe ni mjinga.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Unawazemea wewe kama nani?.Swala la katiba mpya ni kwafaida ya nchi na wananchi.sio mbowe wala lissu.anayewaza kua katiba mpya nikwaajili yakina mbowe ni mjinga.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app

Nawasemea wao because wao ndio wanapiga kelele za katiba

Hakuna mwanainchi yoyote mwenye muda na mambo ya katiba

Because hata kuwe na katiba mpya kila mwaka kama ujajipanga Kwa kusoma vizuri, kufanya kazi Kwa bidii, Maisha yako yatakuwa the same

Katiba haiwez kusema kila week upewe ela

Man work hard tafuta ela
 
Back
Top Bottom