Kwa kauli yake hii, Nabi akiri Fei Toto alikuwa tegemeo Jangwani

Unakariri sana, Simba anakuja taratibu, kuwa na mpinzani anayeshinda goli moja kila siku kukata tamaa ni kosa kubwa sana..
Mechi ya mwisho dom city wakiwa pungufu mlishinda goli ngapi?halafu angalia mfumo wa timu zikikutana na Yanga,uwa zinakuja kutafuta droo nd ndio maana zinachezea chini,ukifunguka dhidi ya Yanga kama prison au dom walivyofunguka dhidi yenu tena wakiwa pungufu watachezea hata goli 10,na ndio maana timu zote zilizojaribu kuweka mpira chini zilifungwa zaidi ya goli 2,singida na azam wanajua kilichowakuta,juzi makolo mliomba mpira uishe na dom city tena wakiwa pungufu
 
Mechi 9 nyingi sana, hapo zinahitajika mechi mbili tu mtetemeke kisha mtupishe pale juu..

Na kama kocha wenu ameshaanza kutetemeka..... kama nawaona vile...
Yanga anatakiwa ashinde mechi saba tu zinazofuatana. Anakuwa katangaza ubingwa
 
Mimi nina kocha mgeni ndio anai set timu, hivyo kushinda 1-0 haiwezi kuwa kesi hata kidogo, sio nyie na Nabi wenu ana miaka karibia mitatu ajabu bado analia kumkosa mchezaji mmoja!

Timu kupaki bus sio sababu, ushindi mwembamba kwenu ni tabia yenu, mechi ngapi mlizoshinda goli zaidi ya tatu tangu msimu uanze?!
 
Muda utaongea tu...
 
Sasa ndio mpaka akashinde uwanjani, sio kuamdika tu JF!
Mimi nimeweka sawa tu kuwa sio mechi tisa ni mechi saba tu zinazofuata ashinde atakuwa ametangaza ubingwa. Hizi ni hesabu za makaratasi tu
 
Endelea kuota
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…