GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #21
Tena hili lifanyike haraka sana kuanzia Leo hii. Huyu Mtu ( Mbunge Tarimba Abbas ) ni Mnafiki, Adui mkubwa wa Simba SC na hata Soka la Tanzania pia.Kwa chuki hizi za Tarimba, kuna umuhimu wa Mashabiki wa Simba kuacha kubeti kwenye Kampuni ya Sportpesa.
Content na Context ya huu Uzi wangu umeuelewa lakini au Umekurupuka tu kuja Kujibu?Tarimba yajarejesha fomu, hivyo si mgombea!
Kuna mkuu kasema anagombea urais wa TFFContent na Context ya huu Uzi wangu umeuelewa lakini au Umekurupuka tu kuja Kujibu?
Hebu mkuu tutajie dhulma za karia hapa,Bila unafiki hatuishi!
Nakumbuka Askofu Pengo aliwahi kuuliza " Hivi ni kweli tunachukuia ufisadi ama tunachukia ufisadi wa wengine tu"?
Akimaanisha wee ukiwa kwenye nafasi ya kunufaika ufisadi bado utauchukia ufisadi?
Sio siri SIMBA inanufaika na Ufisadi/Dhulma za KARIA na kwa hiyo kwao KARIA hana hatia yeyote na apewe miaka yote ikiwezekana!
Je akitokea mtu ooposite na KARIA mtaendelea kuunga mkono?
TARIMBA AMESEMA UKWELI MTUPU, ILA UKWELI MCHUNGU NI KWAMBA HAKUNA FORMULA YEYOTE INAYOWEZA KUMUONDOA KARIA!
Tuendelee kunywa mtori!
Hakuna kitu ashaingia mitini hata form hajarudishaTarimba mtoto wa fitina sana urais wa tff mpaka sasa50/&50
Atakuambia Simba bingwa mara nne wakati wao wanazurura mjini kama machizi wameona jalala jipyaHebu mkuu tutajie dhulma za karia hapa,
Usifuate mkumbo tu na kumezeshwa sumu..
Karia amekua mbuzi weny wa kafara t na kichaka cha kujifichia,
Ila mnajua kua tatzo lenu ni timu lenu bovu na kukosa mipango.
Mkuu mambo ya simba na yanga ni upuuzi tu, manara alishawaita waandishi wa habari na bonge la tv kuonyesha simba inaonewa, mfano mwingine ni juzi tu mwchi haikuchezwa na hakuna timu iliyopewa point na hakuna iliyoadhibiwaNi kweli kayatamka hayo maneno? Iwapo ni kweli kayatamka hayo maneno basi anapaswa aiombe radhi klabu ya Simba ili kuonyesha uungwana wake. Na uongozi wa Simba nitawashangaa sana kama watalikalia kimya suala hili. Na kwa maneno hayo tu hapaswi hata kugombea kwa sababu tayari ameshaonyesha chuki wazi wazi kwa Simba kitu ambacho sio sahihi. Maana yake yeye anataka kwenda kuwa raisi wa TFF ili aikomoe Simba basi hatufai.
Kwa sasa watu wanapambana ili Karia aondoke kwa sababu anaonekana ana upande halafu yeye tena anaanza kuonyesha upande wake hata kabla hajapitishwa. Ili mpira uendelee nchi hii na kuondoa manung'uniko TFF inatakiwa impate kiongozi makini kama alivyokuwa Leonard Tenga ambaye aliongoza mpira wa nchi hii bila kupendelea klabu yake anayoipend Yanga. Kwa kweli Tarimba yeye abaki huko huko bungeni huku kwenye mpira tunataka kiongozi safi asiyependelea upande anaoshabikia.
Wewe nawe unakurupuka. Taarifa ya kusogezwa mbele ilitokwa kwa nani? Kwa maelekezo ya nani? Sasa Simba na Yanga inahusika vipi na kupewa points hapo? Shabikia karata soka achana naloMkuu mambo ya simba na yanga ni upuuzi tu, manara alishawaita waandishi wa habari na bonge la tv kuonyesha simba inaonewa, mfano mwingine ni juzi tu mwchi haikuchezwa na hakuna timu iliyopewa point na hakuna iliyoadhibiwa
Duuu! Wewe ndio kichaa inaonekana ni shabiki wa rede, waliosegeza mechi walisema muda wa mechi na kuna timu haikutokea huo muda je unajua adhabu kwa timu iliyogomea mchezo?Wewe nawe unakurupuka. Taarifa ya kusogezwa mbele ilitokwa kwa nani? Kwa maelekezo ya nani? Sasa Simba na Yanga inahusika vipi na kupewa points hapo? Shabikia karata soka achana nalo
Hata hujui lolote. ByeDuuu! Wewe ndio kichaa inaonekana ni shabiki wa rede, waliosegeza mechi walisema muda wa mechi na kuna timu haikutokea huo muda je unajua adhabu kwa timu iliyogomea mchezo?
We fala nini sasa nini kisichojulikana hapo? Nyie ndio misukule ya yanga na simbaHata hujui lolote. Bye
mo alishatoaga hints umesahau?hawa jamaa magumashi sana hata jackpots zao wanapanga watu...bora hata everton walivyowakimbia ngoja tuachane nao wabaki na utopolo kwanza hata pages za simba social media huwa zinawapa mileage kubwa sana utopolo muda mwingi hata redioni wanasifia GSM utadhani ndiye main sponsorSimba waangalie vipengele vya kuvunja mkataba Sportspesa