Kenya 2022 Kwa kawaida ya Raila Odinga,he may double-check kuona kama ameshindwa

Kenya 2022 General Election
Naomba nikurudishe kwa comment yako ya mwanzo,tayari hata wewe ulishaegemea upande wa Ruto rudia tena kuisoma comment yako na uje uniambie kama kweli ulikuwa neutral.Hiyo comment peke yake inakuondoa katika mtu anaetaka kujifanya yupo neutral.Sasa wacha tuiachie Mahakama itoe uamuzi wake usio na mahaba ya kuegemea upande kama mimi na wewe ambao tayari tushaside na upande mmoja.
 
Hii hapa comment yote. Onyesha hayo maneno:
''Ndiyo. Alimshinda Kibaki kipindi kile. Mimi nilipenda sana safari hii Raila ashinde lakini kwa masikitiko ameanguka. Na inaonekana ameanguka kihalali. Sidhani kama mahakamani kuna cha maana atapata kwani uchaguzi ulikuwa na uwazi mkubwa. Hata wale makamishna waliojitoa hawawezi kusababisha matokeo kubatilishwa, sana sana watasema kura zijumlishwe tena. Kwa kifupi process nyingi zilikuwa za uwazi na haki ila kwenye kutangaza ndiko sintojua ilipoanza. Raila na Kenyata walijiamini kupita kiasi. Kenyatta alidhani kura za mount Kenya atapewa Raila. Na kweli kama angepewa basi angeshinda kwa mbali. Walikuja kung'amua kuwa Raila ameshindwa wakati imeshakuwa too late na hawakuweza kufanya tena chochote''.
 
"...na inaonekana ameanguka kihalali......."[emoji3]
 
"...na inaonekana ameanguka kihalali......."[emoji3]
Yes. Sasa onyesha bias iko wapi? Kusema inaonekana ameanguka kihalali? Mimi nilisema hivyo kwa sababu wakati wa upigaji kura hakukuwa na malalamikoyoyote na kila kitu kilifanyika kwa uwazi. Hapo inaonyesha niko upande wa Ruto? Mbona unakuwa na conclusion za kibongo-bongo? Kijiweni ndiyo ukisema Yanga timu yake siyo nzuri mwaka huu watu wanafanya conclusion wewe ni Simba hata kama ulikuwa unazungumzia ukweli.
 
2013 Uhuru alishinda Urais kwa kura elfu 80 pekee otherwise ungerudiwa!!

2017 walicheza rafu uchaguzi ukafutwa na ule wa marudio Raila hakushiriki so technically hakushindwa.

2022 kwa mara ya kwanza kazoa kura za Wakikuyu ila kakosa za Bungoma so kma angewatunza washirika wake wa 2017 afu aongezewe hzi alizopata Ina maana angeshinda kwa zaidi ya 200k votes!!

Ali sacrifice washirika wake Ili kupata kura za Kikuyu!! As it has turned out, it was a mistake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…