Kwa kelele hizi za Mbwa nadhani Jobo haipo mbali sana

Kwa kelele hizi za Mbwa nadhani Jobo haipo mbali sana

Wakuu,

Naona mbwa wako very uneasy wanabweka sana.

Kwa hulka yao ya kuhisi hatari ikiwa mbali, nadhani Jobo itapita , ni swala la kumuomba Mungu haya yasitokee.
Tutegemee 'Maafa' makubwa sana na nasikia kimekuja 'Makusudically' kulipiza 'Kisasi' wale wote 'walioshabikia' Kifo cha Mwendazake ( ila siyo Generalist Mimi ) na mtakoma Wote. Tubuni upesi kinaweza Kuwasamehe.
 
Back
Top Bottom