Kiwarhoapandenga JF-Expert Member Joined Aug 10, 2019 Posts 2,078 Reaction score 1,805 Oct 3, 2020 #81 INRI said: Much knower. Hizi za moshi sio tende zinaitwa elimu/ helimu. Click to expand... Dah wewe ndio kabisaa umeharibu elimu hazipo hivyi
INRI said: Much knower. Hizi za moshi sio tende zinaitwa elimu/ helimu. Click to expand... Dah wewe ndio kabisaa umeharibu elimu hazipo hivyi
Kibosho1 JF-Expert Member Joined Dec 12, 2017 Posts 2,621 Reaction score 4,293 Oct 3, 2020 Thread starter #82 sundoka said: Zipo Kagera tulikuwa tunaziita nkarate. Ila sio matunda maarufu ya kulima mashambani. Tulikuwa tunazila njiani wakati tunasoma msingi Click to expand... Ni kweli sio tunda la kibiashara mana miti yake inakuwa mikubwa sana,pia huwa halikai muda mwingi sokoni,labda kama kutakuwa na mbegu ya kisasa
sundoka said: Zipo Kagera tulikuwa tunaziita nkarate. Ila sio matunda maarufu ya kulima mashambani. Tulikuwa tunazila njiani wakati tunasoma msingi Click to expand... Ni kweli sio tunda la kibiashara mana miti yake inakuwa mikubwa sana,pia huwa halikai muda mwingi sokoni,labda kama kutakuwa na mbegu ya kisasa
Kibosho1 JF-Expert Member Joined Dec 12, 2017 Posts 2,621 Reaction score 4,293 Oct 3, 2020 Thread starter #83 Ngoja nitaenda kuzichek hata mm Kiwarhoapandenga said: Jaribu kisutu kwenye soko la uhindini wanawekaga hata hizo ngweda Click to expand...
Ngoja nitaenda kuzichek hata mm Kiwarhoapandenga said: Jaribu kisutu kwenye soko la uhindini wanawekaga hata hizo ngweda Click to expand...