Kwa Kichagga zinaitwa "ngoda" sijawahi kuziona popote zaidi ya Moshi. Zinaitwaje kwa kiswahili?

Kwa Kichagga zinaitwa "ngoda" sijawahi kuziona popote zaidi ya Moshi. Zinaitwaje kwa kiswahili?

Hizi ni tunda zinaitwa Ngoda,miiti yake ni mikubwa kama miparachichi tu. Kwa mwaka zinatoka mara 1 tu misimu ya miezi ya 12 mpka mwezi wa kwanza mwanzoni.

Ladha yake ni chachu kwa umbali kama embe dodo ambalo halijaiva vizuri yani ina ugwadu kwa mbali. Ukila nyingi sana hutaweza kutafuna kitu sababu meno yatauma. Ila ni nzuri sana.
Zina umbo kama la zambarau

Je kwenu zipo? Zinaitwaje?
View attachment 1587998
Mbona nyingi tu maeneo y DTV round about Dar opp na Zanzibar HOTEL
 
Mkuu umenikumbusha mbali sana ngweda izo ni tamu balaa....
Mi amenikimbusha mbali sana, enzi hizo nasoma Mwereni p school, tulikuwa tunaenda kuzochuma pele nyuma ya Keys Hotel au tunazifiuata Mto Rau kwa Mayuri njia ya shortcut kwenda KDC
 
Hivi kumbe Dar Huwa zinakuwa zimeletwa tu enh... Wauzaji kwenye mikokoteni huziita Tende... but Sio ukila baadae mdomoni unakuwa na hali si nzuri hali ya Kukeraaaaa kama Mapassion vile...
 
Hizi ni tunda zinaitwa Ngoda,miiti yake ni mikubwa kama miparachichi tu. Kwa mwaka zinatoka mara 1 tu misimu ya miezi ya 12 mpka mwezi wa kwanza mwanzoni.

Ladha yake ni chachu kwa umbali kama embe dodo ambalo halijaiva vizuri yani ina ugwadu kwa mbali. Ukila nyingi sana hutaweza kutafuna kitu sababu meno yatauma. Ila ni nzuri sana.
Zina umbo kama la zambarau

Je kwenu zipo? Zinaitwaje?
View attachment 1587998
Daha kitu cha November,December na january hii kitu wacha kabisa
 
Hizi ni tunda zinaitwa Ngoda,miiti yake ni mikubwa kama miparachichi tu. Kwa mwaka zinatoka mara 1 tu misimu ya miezi ya 12 mpka mwezi wa kwanza mwanzoni.

Ladha yake ni chachu kwa umbali kama embe dodo ambalo halijaiva vizuri yani ina ugwadu kwa mbali. Ukila nyingi sana hutaweza kutafuna kitu sababu meno yatauma. Ila ni nzuri sana.
Zina umbo kama la zambarau

Je kwenu zipo? Zinaitwaje?
View attachment 1587998
Nyingine elimu,kuna vitunda kibao sijawahi viahuhudia sehemu nyingine
 
Hivi kumbe Dar Huwa zinakuwa zimeletwa tu enh... Wauzaji kwenye mikokoteni huziita Tende... but Sio ukila baadae mdomoni unakuwa na hali si nzuri hali ya Kukeraaaaa kama Mapassion vile...
Mm nimeona matunda yote Dar ila sio hizi asee. Zinapatikana wap kwa Dar?
 
Hizi ni tunda zinaitwa Ngoda,miiti yake ni mikubwa kama miparachichi tu. Kwa mwaka zinatoka mara 1 tu misimu ya miezi ya 12 mpka mwezi wa kwanza mwanzoni.

Ladha yake ni chachu kwa umbali kama embe dodo ambalo halijaiva vizuri yani ina ugwadu kwa mbali. Ukila nyingi sana hutaweza kutafuna kitu sababu meno yatauma. Ila ni nzuri sana.
Zina umbo kama la zambarau

Je kwenu zipo? Zinaitwaje?
View attachment 1587998
Kuna lile tunda jingine linaitwa ndawirho aisee ni tamu ila umakini wakati wa kuchuma unaweza kuta unachuma na nyoka anakucheki unavyomwingilia kwenye anga zake[emoji23][emoji23]
 
Hizi ni tunda zinaitwa Ngoda,miiti yake ni mikubwa kama miparachichi tu. Kwa mwaka zinatoka mara 1 tu misimu ya miezi ya 12 mpka mwezi wa kwanza mwanzoni.

Ladha yake ni chachu kwa umbali kama embe dodo ambalo halijaiva vizuri yani ina ugwadu kwa mbali. Ukila nyingi sana hutaweza kutafuna kitu sababu meno yatauma. Ila ni nzuri sana.
Zina umbo kama la zambarau

Je kwenu zipo? Zinaitwaje?
View attachment 1587998
Zipo Kagera tulikuwa tunaziita nkarate. Ila sio matunda maarufu ya kulima mashambani. Tulikuwa tunazila njiani wakati tunasoma msingi
 
Back
Top Bottom