Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,955
- 9,041
Una gari wewe?Hela bila akili ni sawa na panya buku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una gari wewe?Hela bila akili ni sawa na panya buku
Duuh!ila n kama zinafananasio zile tangawizi za Rombo, tangawizi ni kubwa na mti wake sio mkubwa kama wa ngweda
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Ninayo ,unataka lifti au ?Una gari wewe?
SiyoHizo zinaitwa tende. Dodoma kuna kipindi zilikuwa nyingi sn
Mbona nyingi tu maeneo y DTV round about Dar opp na Zanzibar HOTELHizi ni tunda zinaitwa Ngoda,miiti yake ni mikubwa kama miparachichi tu. Kwa mwaka zinatoka mara 1 tu misimu ya miezi ya 12 mpka mwezi wa kwanza mwanzoni.
Ladha yake ni chachu kwa umbali kama embe dodo ambalo halijaiva vizuri yani ina ugwadu kwa mbali. Ukila nyingi sana hutaweza kutafuna kitu sababu meno yatauma. Ila ni nzuri sana.
Zina umbo kama la zambarau
Je kwenu zipo? Zinaitwaje?
View attachment 1587998
Mi amenikimbusha mbali sana, enzi hizo nasoma Mwereni p school, tulikuwa tunaenda kuzochuma pele nyuma ya Keys Hotel au tunazifiuata Mto Rau kwa Mayuri njia ya shortcut kwenda KDCMkuu umenikumbusha mbali sana ngweda izo ni tamu balaa....
Daha kitu cha November,December na january hii kitu wacha kabisaHizi ni tunda zinaitwa Ngoda,miiti yake ni mikubwa kama miparachichi tu. Kwa mwaka zinatoka mara 1 tu misimu ya miezi ya 12 mpka mwezi wa kwanza mwanzoni.
Ladha yake ni chachu kwa umbali kama embe dodo ambalo halijaiva vizuri yani ina ugwadu kwa mbali. Ukila nyingi sana hutaweza kutafuna kitu sababu meno yatauma. Ila ni nzuri sana.
Zina umbo kama la zambarau
Je kwenu zipo? Zinaitwaje?
View attachment 1587998
Nyingine elimu,kuna vitunda kibao sijawahi viahuhudia sehemu nyingineHizi ni tunda zinaitwa Ngoda,miiti yake ni mikubwa kama miparachichi tu. Kwa mwaka zinatoka mara 1 tu misimu ya miezi ya 12 mpka mwezi wa kwanza mwanzoni.
Ladha yake ni chachu kwa umbali kama embe dodo ambalo halijaiva vizuri yani ina ugwadu kwa mbali. Ukila nyingi sana hutaweza kutafuna kitu sababu meno yatauma. Ila ni nzuri sana.
Zina umbo kama la zambarau
Je kwenu zipo? Zinaitwaje?
View attachment 1587998
NgwedaHizi ni ndaraho au ndarao zipo kwa wingi Moshi Kilema, Marangu, Kirua, nk. Ni tamu sana zikiwa mbivu.
Sio ngapilo unazijuaHizi sii helimu kweli?? Je zipo sehemu nyingine pia Tanzania???
Hapa Dar wanauza wapi?
Tatizo lako ushazoea kila kitu uongo uongo mpaka huku unaleta matango pori yako eti tende tende hizi!?[emoji848][emoji57]Hizo zinaitwa tende. Dodoma kuna kipindi zilikuwa nyingi sn
Mm nimeona matunda yote Dar ila sio hizi asee. Zinapatikana wap kwa Dar?Hivi kumbe Dar Huwa zinakuwa zimeletwa tu enh... Wauzaji kwenye mikokoteni huziita Tende... but Sio ukila baadae mdomoni unakuwa na hali si nzuri hali ya Kukeraaaaa kama Mapassion vile...
Kuna lile tunda jingine linaitwa ndawirho aisee ni tamu ila umakini wakati wa kuchuma unaweza kuta unachuma na nyoka anakucheki unavyomwingilia kwenye anga zake[emoji23][emoji23]Hizi ni tunda zinaitwa Ngoda,miiti yake ni mikubwa kama miparachichi tu. Kwa mwaka zinatoka mara 1 tu misimu ya miezi ya 12 mpka mwezi wa kwanza mwanzoni.
Ladha yake ni chachu kwa umbali kama embe dodo ambalo halijaiva vizuri yani ina ugwadu kwa mbali. Ukila nyingi sana hutaweza kutafuna kitu sababu meno yatauma. Ila ni nzuri sana.
Zina umbo kama la zambarau
Je kwenu zipo? Zinaitwaje?
View attachment 1587998
Zipo Kagera tulikuwa tunaziita nkarate. Ila sio matunda maarufu ya kulima mashambani. Tulikuwa tunazila njiani wakati tunasoma msingiHizi ni tunda zinaitwa Ngoda,miiti yake ni mikubwa kama miparachichi tu. Kwa mwaka zinatoka mara 1 tu misimu ya miezi ya 12 mpka mwezi wa kwanza mwanzoni.
Ladha yake ni chachu kwa umbali kama embe dodo ambalo halijaiva vizuri yani ina ugwadu kwa mbali. Ukila nyingi sana hutaweza kutafuna kitu sababu meno yatauma. Ila ni nzuri sana.
Zina umbo kama la zambarau
Je kwenu zipo? Zinaitwaje?
View attachment 1587998
Jaribu kisutu kwenye soko la uhindini wanawekaga hata hizo ngwedaHizi sii helimu kweli?? Je zipo sehemu nyingine pia Tanzania???
Hapa Dar wanauza wapi?