Kwa Kifupi Netanyau Anataka Kumaliza Kizazi Cha Gaza Waanze upya

Kwa Kifupi Netanyau Anataka Kumaliza Kizazi Cha Gaza Waanze upya

Aisee YAAN nilikuwa maombi yotee ya nchi zotee na ma in sijui who atalegeza khaaaa

Kitendo cha kusema ANAHITAJI 34 wakiwa hai na wakati wako 22 hai else ANAHITAJI kukumaliza kikosi cha.....aisee n kama anataka KUMALIXA KIZAZI awaache tu

Kwa kifupi huyu Bwana akifa Israel haitakuwa salama anyway
 
Aisee YAAN nilikuwa maombi yotee ya nchi zotee na ma in sijui who atalegeza khaaaa

Kitendo cha kusema ANAHITAJI 34 wakiwa hai na wakati wako 22 hai else ANAHITAJI kukumaliza kikosi cha.....aisee n kama anataka KUMALIXA KIZAZI awaache tu

Kwa kifupi huyu Bwana akifa Israel haitakuwa salama anyway
huyo natanyahu atapigwa fimbo na Mungu
 
Imenikunbushaaa bahati ya Shamu mkuu

WA Israel wakapitaaaa

Haha wapalestina wakajaribu

Wakaishia wotee hukoo naona kama

Mve inajirudia
 
huyo natanyahu atapigwa fimbo na Mungu
MKUU kama n fimbooo imenaza kwa gaza

YAAN ukisoma bible alaaniwe anaeilaani Israel

Abarikiwe anaeibariki Israel

Nenda mpaka vijijini wale wachungaji sio wajinga kuweka bendera za Israel pale MBELE madhabahuni

Zinabaraka zake mnoo....

Nahisi kama kibaokoo kitaanza kwa gaza kwanza
 
Msiwe mnajiita majina msojua maana yake madhara yake ndio hayo mnabeba laana msojua huyu anajiita pdidy Hata ukiangalia maneno yake huwezi tofautisha na watu wengi WA hovyo hovyo wenye vinasaba na akina ddy
 
MKUU kama n fimbooo imenaza kwa gaza

YAAN ukisoma bible alaaniwe anaeilaani Israel

Abarikiwe anaeibariki Israel

Nenda mpaka vijijini wale wachungaji sio wajinga kuweka bendera za Israel pale MBELE madhabahuni

Zinabaraka zake mnoo....

Nahisi kama kibaokoo kitaanza kwa gaza kwanza
Hakuna baraka Kwa taifa la kisenge Kama Kama hilo watifuana mitaro
 
MKUU kama n fimbooo imenaza kwa gaza

YAAN ukisoma bible alaaniwe anaeilaani Israel

Abarikiwe anaeibariki Israel

Nenda mpaka vijijini wale wachungaji sio wajinga kuweka bendera za Israel pale MBELE madhabahuni

Zinabaraka zake mnoo....

Nahisi kama kibaokoo kitaanza kwa gaza kwanza
mnajidanganya sana,ni Mungu gani ambae atakavwatu wake wauawe,eti israeli ni taifa la Mungu kwahiyo hii tanzania ni nchinya shetani?
 
MKUU kama n fimbooo imenaza kwa gaza

YAAN ukisoma bible alaaniwe anaeilaani Israel

Abarikiwe anaeibariki Israel

Nenda mpaka vijijini wale wachungaji sio wajinga kuweka bendera za Israel pale MBELE madhabahuni

Zinabaraka zake mnoo....

Nahisi kama kibaokoo kitaanza kwa gaza kwanza
1. Alaaniwe anae laani Israel! Israel ni nani?

2. Kwa mujibu wa Biblia kuna Israel wa uongo na iSrael wa kweli? Israel wa uongo ina maana gani? Na Israel wa kweli ina maana gani?

3. Unauzungumziaje mfano wa Yessu juu ya shamba ambalo mwenyeshamba alituma mtu 1 wapangaju wakawapiga na kuwafukuza akatuma mtu 2 nae wakamtendea hivovivyo na mwisho akatuma mtoto wake mpendwa nao wakasema huyu si ndiyo mrithi? Ngoja tumuue ili urithi wake uwe wetu! Yesu aliacha swali mwishoni "Unafikiri yule mwenye shamba atafanya nini?"
 
1. Alaaniwe anae laani Israel! Israel ni nani?

2. Kwa mujibu wa Biblia kuna Israel wa uongo na iSrael wa kweli? Israel wa uongo ina maana gani? Na Israel wa kweli ina maana gani?

3. Unauzungumziaje mfano wa Yessu juu ya shamba ambalo mwenyeshamba alituma mtu 1 wapangaju wakawapiga na kuwafukuza akatuma mtu 2 nae wakamtendea hivovivyo na mwisho akatuma mtoto wake mpendwa nao wakasema huyu si ndiyo mrithi? Ngoja tumuue ili urithi wake uwe wetu! Yesu aliacha swali mwishoni "Unafikiri yule mwenye shamba atafanya nini?"
Hakuna Mungu wa waisraeli wala wa wapalestina,Mungu ni wa wote na wala waisraeli sio wote ni waovu,muovu ni natayahu na wafuasi wake ambao Mungu atawaaadhibu kwa siku aliyopanga yeye
 
1. Alaaniwe anae laani Israel! Israel ni nani?

2. Kwa mujibu wa Biblia kuna Israel wa uongo na iSrael wa kweli? Israel wa uongo ina maana gani? Na Israel wa kweli ina maana gani?

3. Unauzungumziaje mfano wa Yessu juu ya shamba ambalo mwenyeshamba alituma mtu 1 wapangaju wakawapiga na kuwafukuza akatuma mtu 2 nae wakamtendea hivovivyo na mwisho akatuma mtoto wake mpendwa nao wakasema huyu si ndiyo mrithi? Ngoja tumuue ili urithi wake uwe wetu! Yesu aliacha swali mwishoni "Unafikiri yule mwenye shamba atafanya nini?"
Netanyau anaendlea kukujibu hili swali
 
Back
Top Bottom