Kwa kifupi ni kwamba , Nikki Wa Pili hujui kuimba

Kwa kifupi ni kwamba , Nikki Wa Pili hujui kuimba

Nikki anafanya HIP HOP ya Kisomi [emoji16][emoji16] anakuja na PhD Hip Hop...

Vijana wanasema jamaa ni GENIUS ndio maana haeleweki kwa vilaza.
 
kweli nikki hajui kinachombeba ni mistari tu ila kwenye mic ni zero, inshort sauti yake haivutii kimziki.
 
Aache kuomba just because wewe unaona haujui kuimba?
Dude upo sawa upstairs?
 
Nashukru nimepata wenzangu nilikua najiona nina roho mbaya kumkejeli Nikki, haniingii masikioni kabisa
 
Nikki sina bifu na wewe ila nataka nikueleze tu ,huna talent ya kuimba nasema tena " HUNA KIPAJI CHA KUIMBA " , na kama ile mistari unayoimbaga unaitunga ww basi nakushauri baki ukiwa kama mtunzi wa mistari kwnye kundi lako kwani walau kwa hilo unaweza kidogo ,huna ulazima wa kuimba.

Binafsi mm ni shabiki wa Kundi lenu toka likiwa N2N mpaka sasa Weusi.
Kila nikisikia ukiiimbia , nahisi ni Underground anaimba , sivutiwi na uimbaji wako,kundi lako linakubeba ila sidhani kama unabebeka.

Hongera sana kwa Joh Makini na G.Nako.(Keep it Up Brothers).

Mwisho kabisa ...Achana na Tweeter,maana unaandikaga vitu ambavyo haviendani na Elimu yako.

Pole kama andiko langu litaleta maudhi kwako.

hajui kuimba abaki anaandika....wakati ivyo ivyo vibaya unavyoona wewe ndo vinamfanya anaendelea kufanya mziki na anapata pesa...sasa kwanini aache...
 
Hivi Nikki alishawahi kua N2N au alikua River camp
 
Acha kumfananisha nikki mbishi na vitu vya ovyo ovyo kabisa.
Kundi zima la weusi + radio yao inayowapa promo lakini bado hawajawahi kufikia stanza za nikki mbishi..
Nikki mbishi mfananishe na moko wa miujiza, nash mc, wakazi na zaiid.
Kamanda tembea taratibu,naomba unisome vizuri, unielewe.

Inamaana hata alama za nukuu huzifahamu...?

Hayo niliyoandika ni moja ya mashairi ya unju bin/zohan/Nikki mbishi katika wimbo wake wa "Bye bye baby" kaa chini kausikilize wimbo huo.

Karibu tena!!
 
Back
Top Bottom