Kwa Kiingereza hiki kwenye barua ya ufafanuzi kukamatwa kina Dkt. Slaa heri tuendelee na Kiswahili, ni aibu ya mwaka

Hili ni bango la wizara kwa lugha ile............tuanzie hapo mleta mada, onyesha utata wa kisarufi, kimuundo na kimantiki.


The United Republic of Tanzania​

Ministry of Information, Communication and Information Technology​

Swali lako limekaa vizuri ,

Usahihi ni huu:

Maelezo:
-
"The United Republic of Tanzania
Ministry of Information, Communication, and Technology"
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia
 
Nyumbu ni wewe mwenyewe. Ukijiona nyumbu usifikiri wote ni Kama wewe.
 
Hapo tayari CHADEMA imepata agenda wakati CCM iko bize kutetea jimbo Mbarali kwenye uchaguzi mdogo. Upinzani ukiwa unayumbishwa na mambo madogo wataendelea kuilaumu CCM
Lini CHADEMA imejadili hiyo barua?. Nyie endeleeni na uchaguzi mbarali maana hamna jipya, mmekaa kinafiki.
 
Kiingereza siyo lugha yetu, kwahiyo mi sioni ajabu...Si Kila jambo la kukomalia. Hata hao wazungu wenyewe viingereza vyao vina shombo kama sisi kama siyo lugha Yao ya asili
Ungemshauri atumie kiswahili, kuliko kujivua nguo hadharani.
 
Wewe ndio mweupe kuliko huyo kilaza Nape.
 
Tatizo mnalinganisha miaka ya 1961 na mwaka 2023. Unadhani mazingira ya Mwalimu yalikuwa sawa na ya Samiah?. Tuache ujuaji kwenye mambo tusiyoyajua.
 
Kwani huyo alie andika Huwa hawazipitii kuhakikia [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]Shida sana hii kama hiyo paragraph umeizungushia ...

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Hapo wanamuandikia beberu??
Naona aamemtukana na Magufuli sijui amewakosea nini????
Ok msalimieni Beberu sipati picha anavyosoma kwa kucheka
 
Nape hawezi kuandika kiingereza kibovu, kwanza kasoma India na Uk kwenye vyuo vikuu vya maana kama oxford na university of London. Kwa hiyo hiyo barua ni feki
Sawa mh tumekusikia
 
Kiswahili wanachokimudu wanakibeza, Kingereza wasicho kimudu wanakitukuza,matokeo yake Kingereza kinawabeza wao
 
Kama waziri hajui jina la wizara anayoisimamia, je, anatosha?
 
Mimi nadhani tujadili zaidi kukamatwa kwake ni halali? Yamkini wanatuchanganya tusiwe na muda wa kujadili suala hilo
 
Sasa Nape akiongea Kuswahili hituba yake itakosa tija kwasababu ya kuongea Kiswahili? Jaribu kuendana na hadhi ya JF٬ the home of great thinkers.

Sasa nchi kuwa na changamoto za kizamani zinazuia nchi hiyo kuongea Kiswahili na kusikilizwa? Hivi hao waliompa ruhusa ya kuongea Kiswahili hawalijui hilo ila wewe ndo unalijua? Hivi kweli wewe unajua unachozungumza?

Nakushauri: Sio kila mtu anaweza kuzungumza au kuandika. Ukiona mada imekuzidi bora ukae kimya; jizuie.
 
Unafahamu ulichouliza, mimi sifahamu hata ninachoongea mkuu, nasubiri jua lizame nikapate mbege mkuu BTW Karibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…