Ngiama makanda
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 1,552
- 2,741
Na kasaini kabisaHiki ndio Kiingereza cha Serikali ya CCM kikiuandikia ulimwengu.
Tumlaumu Waziri au Mwandishi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kasaini kabisaHiki ndio Kiingereza cha Serikali ya CCM kikiuandikia ulimwengu.
Tumlaumu Waziri au Mwandishi?
Kwanini hakuandika kwa kiswahili tu nape naeHiki ndio Kiingereza cha Serikali ya CCM kikiuandikia ulimwengu.
Tumlaumu Waziri au Mwandishi?
Ni aibu kubwa snMandela alisema if you corrupt in education you produce corrupt leader
Ndiyo maana hawana vipimo vya kazi
Balaa tupuAla! Kumbe! Hapa patamu
Kwenye mkutano wa ITU Nape alitoa hotuba kwa lugha ya Kiswahili.Hicho ndio Kiingereza cha Minister, Aibu tupu. Mtu kama huyu naye juzi ameshiriki kwenye mkutano wa ITU, inasikitisha sana
Vizuri, kwa sababu hotuba yake hakuna anayeweza kuitilia maananiKwenye mkutano wa ITU Nape alitoa hotuba kwa lugha ya Kiswahili.
Huyu waziri ni kilazaHiki ndio Kiingereza cha Serikali ya CCM kikiuandikia ulimwengu.
Tumlaumu Waziri au Mwandishi?
Hapana, Nape alisoma baada ya Nyerere kutangulia mbele ya haki. Ili kuanza siasa alipomaliza masomo yake huko India, aliandika malalamiko ya kumtuhumu Lowasa kupanga kuuza kwa jengo la vijana nadhani mwaka 2005 kwa kutumia lugha kama hii hii kwa kiswahili. Kwa hiyo aliandika majibu yake kwa kiswahili, halafu akayatafsri kwa kiingereza labda kutumia Google translator.Wakumlaumu ni Julias aliona mkijua kingereza mtakuwa wajanjq kuliko yeye
Ungeweka na marks alizozipata mwandishi ingependeza sana 😅🙏🙏Hiki ndio Kiingereza cha Serikali ya CCM kikiuandikia ulimwengu.
Tumlaumu Waziri au Mwandishi?
Umenena kweli kabisa !Enzi za mwalimu darasa la 8 walikuwa wanaongea kiingereza fasaha kilichokuja kuharibu elimu yetu ni BRN
Huko Dubai kiingereza wanakisomeaga huko huko The Great Britain 🇬🇧 !🙏Aisee, 🥱🥱🥱
Nimecheka sana jinsi ulivyoichambua na kuainisha makosa yote..
Hawa ndio aina ya viongozi tulionao.
Na Namna wanavyo - communicate kimakosa na jamii, moja kwa moja ni ishara na reflection halisi ya kuonesha utendaji na uendeshaji wa mambo katika serikali hii unavyofanyika kimakosa na kupelekea maamuzi mabovu yenye makosa makubwa na hatarishi ya umoja na amani yetu na mwisho wake kuumiza nchi na wananchi..!
This is absolutely very shameful...
I personally doubt kuwa, pengine hata hii taarifa imeandikwa huko huko Dubai, halafu Nape na mama yake Samia ignorantly wakapokea na kusaini tu kama mazuzu vile..
Shame on Nape, shame on madam president Samia Suluhu Hassan and shame on CCM...!!
Hapana. Ni kwasababu wiki hiyo ilikuwa ni siku ya Kiswahili duniani. Hotuba ilisomwa 11 Julai, 2023 ambayo ilisadifu kuwa ni siku ya Kiswahili duniani. Sio hiyo tu bali pia kwenye mkutano wa WIPO ilisomwa kwa Kiswahili na hotuba kwenye baraza la haki za binadamu dunia pia ilisomwa kwa Kiswahili.Vizuri, kwa sababu hotuba yake hakuna anayeweza kuitilia maanani
Umeona mbali sana !!Hapa ndio utajua ni kwa nini kesi zote tukipelekwa kwenye mahakama za kimataifa tunashindwa,
kwani hicho "kiinglishi" alikua ana waandikia wamarekani au 🤔🤔
Kwendo kusoma hotuba kiswahili ITU na kutegemea kuna watu wanakusikiliza ni sawa na kulinganisha Tsh & Dollar.Hapana. Ni kwasababu wiki hiyo ilikuwa ni siku ya Kiswahili duniani. Hotuba ilisomwa 11 Julai, 2023 ambayo ilisadifu kuwa ni siku ya Kiswahili duniani. Sio hiyo tu bali pia kwenye mkutano wa WIPO ilisomwa kwa Kiswahili na hotuba kwenye baraza la haki za binadamu dunia pia ilisomwa kwa Kiswahili.