Kwa kikosi hiki, Brazil wasipobeba Kombe la Dunia naachana na mpira na JamiiForums natoka kabisa

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
HAYA NDO MAJINA YA KIKOSI CHOTE CHA BRAZIL

GOALKEEPERS
Alisson (Roma), Cassio (Corinthians), Ederson (Manchester City)

DEFENDERS
Dani Alves (PSG), Fagner (Corinthians), Filipe Luis (Athletico Madrid), Marcelo (Real Madrid), Marquinhos (PSG), Miranda (Inter Milan), Rodrigo Caio (Sao Paulo), Thiago Silva (PSG)

MIDFIELDERS
Casemiro (Real Madrid), Fernandinho (Manchester City), Giuliano (Zenit), Luan (Gremio), Paulinho (Barcelona), Philippe Coutinho (Barcelona), Renato Augusto (Beijing Guoan), Willian (Chelsea)

FORWARDS
Firmino (Liverpool), Gabriel Jesus (Manchester City), Neymar Jr (PSG),
Taison (Shakhtar Donetsk)

KUTOKA KATIKA LIST HIYO NIMEPANGA FIRST ELEVEN YA KUBEBA UBINGWA. JE, WEWE UNGEPENDAJE?

KIKOSI CHANGU HIKI KIKISHINDWA KUBEBA KOMBE LA DUNIA NAJITOA JAMII FORUMS KABISA
GOALKEEPERS
1.Ederson (Manchester City)
DEFENDERS
2.Dani Alves (PSG),
3.Marcelo (Real Madrid),
4. Filipe Luiz (Atletico Madrid)
5.Thiago Silva (PSG)
MIDFIELDERS
6.Casemiro (Real Madrid),
7.Fernandinho (Manchester City), 8.Philippe Coutinho (Barcelona),
FORWARDS
9Gabriel Jesus (Manchester City), 10.Neymar Jr (PSG),
11.Firmino (Liverpool)

SUBSTITUTION ZANGU

GOALKEEPERS

1.Cassio (Corinthians),

DEFENDERS
2.Fagner (Corinthians),
3.Marquinhos (PSG),
4.Miranda (Inter Milan),
5.Rodrigo Caio (Sao Paulo),

MIDFIELDERS
6.Giuliano (Zenit),
7.Luan (Gremio),
8.Paulinho (Barcelona),

FORWARDS
9. Renato augusto
10.Taison (Shakhtar Donetsk)
11. Willian (Chelsea)

Je, katika majina hayo juu we ungepangaje kikosi na ubebe kombe la dunia??

 
Mkuu wewe ni Hatari lakini salama."Salute".
 
Kikosi kiko Bora Ila nakurekebisha kuhusu Dan's alvez na Marcelo, hao inabidi mmoja awe benchi kutokana na uzee unaowakabili, maana spidi ya vijana ni kubwa mno, pili firmino akae pembeni Coutinoh acheze 11 ,then hapo namba nane apande mwingine Ila mi kikosi changu hiki
Ndo kitacheza fainali na Argentina mwaka huu

GOALKEEPERS
1.Ederson (Manchester City)
DEFENDERS
2.Miranda
3.Marcelo (Real Madrid),
4. Filipe Luiz (Atletico Madrid)
5.Thiago Silva (PSG)
MIDFIELDERS
6.Casemiro (Real Madrid),
7. Firmino
8.Fernandinho (Manchester City),
FORWARDS
9Gabriel Jesus (Manchester City), 10.Neymar Jr (PSG),
10. Philipe coutinho Barcelona
 
Big up Sana , Ila Mimi ningewabeba hao substitution na kufanya makubwa, Ila Brazil mara zote nchangamoto huwa Kwa kocha,

Brazil watakutana na timu kama Spain au Argentina katika hatua muhimu za mmoja kuyaaga mashindano, inabidi tite awatumie vijana kikosi b kufanya mambo

Mfano
GOALKEEPERS

1.Cassio (Corinthians),

DEFENDERS
2.Fagner (Corinthians),
3.Marquinhos (PSG),
4.Miranda (Inter Milan),
5.Thiago silva

MIDFIELDERS
6.Giuliano (Zenit),
7.Luan (Gremio),
8.Fernandinho

FORWARDS
9. Jesus
10.Neymar
11. Coutinho

Mbona tutaheshimiana
 
Uko vema
 
Na hakibebi kikombe ...mark my words. Wameshajiexpose too much....atakuja mzee wa Mercedes Benz na VW atabeba....wazee wa kimya kimya ....sikujui hunijui...but cheza mbali kabisa na Mjerumani....ni mtendaji na hana kelele zenu.
 
Mpira unadunda mkuu
 
Kama shida ni majina kwenye vikosi argentina hajawahi kuwa na kikosi cha kawaida lakini mwisho wake kila siku anapigwa na germany..

Labda kama umeangali sababu zingine maana kama majina kuna timu ni balaa , kawacheki france,belgium,spain, england na argentina upne wanavyotisha kimajina
 
Kwanza kuna motive behind inayowafanya KUBEBA UBINGWA huu, pili pamoja na majina makubwa lakin wanayatendea haki
 
Madhaifu yao wajerumani yanajulikana muda huu, bora ungesema ufaransa kidogo
Tunasahau sana kuwa WC kwa sasa sio kama zamani eti mpira kipaji tu. Kuna nchi ambazo wanawekeza vibaya mno hata kama wana vipaji vya kunusa....so tusishangae hata waarabu wakachukua ....na usicheke...mambo sasa ni R&D aisee...maono ya miaka 20 - 30 mbele...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…