Kwa kikosi hiki, Brazil wasipobeba Kombe la Dunia naachana na mpira na JamiiForums natoka kabisa

Kwa kikosi hiki, Brazil wasipobeba Kombe la Dunia naachana na mpira na JamiiForums natoka kabisa

HAYA NDO MAJINA YA KIKOSI CHOTE CHA BRAZIL

GOALKEEPERS
Alisson (Roma), Cassio (Corinthians), Ederson (Manchester City)
DEFENDERS
Dani Alves (PSG), Fagner (Corinthians), Filipe Luis (Athletico Madrid), Marcelo (Real Madrid), Marquinhos (PSG), Miranda (Inter Milan), Rodrigo Caio (Sao Paulo), Thiago Silva (PSG)
MIDFIELDERS
Casemiro (Real Madrid), Fernandinho (Manchester City), Giuliano (Zenit), Luan (Gremio), Paulinho (Barcelona), Philippe Coutinho (Barcelona), Renato Augusto (Beijing Guoan), Willian (Chelsea)
FORWARDS
Firmino (Liverpool), Gabriel Jesus (Manchester City), Neymar Jr (PSG),
Taison (Shakhtar Donetsk)



KUTOKA KATIKA LIST HIYO NIMEPANGA FIRST ELEVEN BYA KUBEBA UBINGWA JE WEWE UNGEPENDAJE?

KIKOSI CHANGU HIKI KIKISHINDWA KUBEBA KOMBE LA DUNIA NAJITOA JAMII FORUMS KABISA
GOALKEEPERS
1.Ederson (Manchester City)
DEFENDERS
2.Dani Alves (PSG),
3.Marcelo (Real Madrid),
4. Filipe Luiz (Atletico Madrid)
5.Thiago Silva (PSG)
MIDFIELDERS
6.Casemiro (Real Madrid),
7.Fernandinho (Manchester City), 8.Philippe Coutinho (Barcelona),
FORWARDS
9Gabriel Jesus (Manchester City), 10.Neymar Jr (PSG),
11.Firmino (Liverpool)

SUBSTITUTION ZANGU

GOALKEEPERS

1.Cassio (Corinthians),

DEFENDERS
2.Fagner (Corinthians),
3.Marquinhos (PSG),
4.Miranda (Inter Milan),
5.Rodrigo Caio (Sao Paulo),

MIDFIELDERS
6.Giuliano (Zenit),
7.Luan (Gremio),
8.Paulinho (Barcelona),

FORWARDS
9. Renato augusto
10.Taison (Shakhtar Donetsk)
11. Willian (Chelsea)


Je katika majina hayo juu we ungepangaje kikosi na ubebe kombe la dunia??
Kwa beki hzo mtapigwa nyingi sana unawekaje wazee wote
 
KIBOKO YAO FC

Goalkeepers: Alphonse Areola (PSG), Hugo Lloris (Spurs), Steve Mandanda (Marseille)

Defenders: Presnel Kimpembe (PSG), Laurent Koscielny (Arsenal), Djibril Sidibe (Monaco), Samuel Umtiti (Barcelona), Raphael Varane (Real Madrid), Christophe Jallet (Lyon), Lucas Digne (Barcelona), Layvin Kurzawa (PSG)

Midfielders: N'Golo Kante (Chelsea), Blaise Matuidi (Juventus), Paul Pogba (Manchester United), Adrien Rabiot (PSG), Corentin Tolisso (Bayern Munich), Thomas Lemar (Monaco)

Forwards: Olivier Giroud (Arsenal), Antoine Griezmann (Atletico Madrid), Alexandre Lacazette (Arsenal), Kylian Mbappe (Monaco), Florian Thauvin (Marseille), Nabil Fekir (Lyon), Kingsley Coman (Bayern Munich)

Coach: Didier Deschamps
 
Kikosi kiko Bora Ila nakurekebisha kuhusu Dan's alvez na Marcelo, hao inabidi mmoja awe benchi kutokana na uzee unaowakabili, maana spidi ya vijana ni kubwa mno, pili firmino akae pembeni Coutinoh acheze 11 ,then hapo namba nane apande mwingine Ila mi kikosi changu hiki
Ndo kitacheza fainali na Argentina mwaka huu

GOALKEEPERS
1.Ederson (Manchester City)
DEFENDERS
2.Miranda
3.Marcelo (Real Madrid),
4. Filipe Luiz (Atletico Madrid)
5.Thiago Silva (PSG)
MIDFIELDERS
6.Casemiro (Real Madrid),
7. Firmino
8.Fernandinho (Manchester City),
FORWARDS
9Gabriel Jesus (Manchester City), 10.Neymar Jr (PSG),
10. Philipe coutinho Barcelona

Marcelo na Philipe Luiz wanacheza namba 3. Hauwezi kuwapanga wote.
 
Safari hii hawa wata gongwa 8-0 na injini za ujerumani.
Chapa Chapa FC

Goalkeepers: Bernd Leno (Bayer Leverkusen), Marc-Andre ter Stegen (Barcelona), Kevin Trapp (Paris Saint-Germain)

Defenders: Mats Hummels (Bayern Munich), Joshua Kimmich (Bayern Munich), Antonio Rudiger (Roma), Niklas Sule (Bayern Munich), Matthias Ginter (Borussia Monchengladbach), Shkodran Mustafi (Arsenal), Jerome Boateng (Bayern Munich, Marvin Plattenhardt (Hertha Berlin)

Midfielders/forwards: Julian Brandt (Bayer Leverkusen), Emre Can (Liverpool), Julian Draxler (Paris Saint-Germain), Toni Kroos (Real Madrid), Leon Goretzka (Schalke), Sebastian Rudy (Bayern Munich), Lars Stindl (Borussia Monchengladbach), Timo Werner (Red Bull Leipzig), Amin Younes (Ajax Amsterdam), Thomas Muller (Bayern Munich), Sandro Wagner (Hoffenheim), Leroy Sane (Manchester City
 
KIBOKO YAO FC

Goalkeepers: Alphonse Areola (PSG), Hugo Lloris (Spurs), Steve Mandanda (Marseille)

Defenders: Presnel Kimpembe (PSG), Laurent Koscielny (Arsenal), Djibril Sidibe (Monaco), Samuel Umtiti (Barcelona), Raphael Varane (Real Madrid), Christophe Jallet (Lyon), Lucas Digne (Barcelona), Layvin Kurzawa (PSG)

Midfielders: N'Golo Kante (Chelsea), Blaise Matuidi (Juventus), Paul Pogba (Manchester United), Adrien Rabiot (PSG), Corentin Tolisso (Bayern Munich), Thomas Lemar (Monaco)

Forwards: Olivier Giroud (Arsenal), Antoine Griezmann (Atletico Madrid), Alexandre Lacazette (Arsenal), Kylian Mbappe (Monaco), Florian Thauvin (Marseille), Nabil Fekir (Lyon), Kingsley Coman (Bayern Munich)

Coach: Didier Deschamps

Wakipata kocha anaejielewa, hii timu itachukua WC
 
HAYA NDO MAJINA YA KIKOSI CHOTE CHA BRAZIL

GOALKEEPERS
Alisson (Roma), Cassio (Corinthians), Ederson (Manchester City)
DEFENDERS
Dani Alves (PSG), Fagner (Corinthians), Filipe Luis (Athletico Madrid), Marcelo (Real Madrid), Marquinhos (PSG), Miranda (Inter Milan), Rodrigo Caio (Sao Paulo), Thiago Silva (PSG)
MIDFIELDERS
Casemiro (Real Madrid), Fernandinho (Manchester City), Giuliano (Zenit), Luan (Gremio), Paulinho (Barcelona), Philippe Coutinho (Barcelona), Renato Augusto (Beijing Guoan), Willian (Chelsea)
FORWARDS
Firmino (Liverpool), Gabriel Jesus (Manchester City), Neymar Jr (PSG),
Taison (Shakhtar Donetsk)



KUTOKA KATIKA LIST HIYO NIMEPANGA FIRST ELEVEN BYA KUBEBA UBINGWA JE WEWE UNGEPENDAJE?

KIKOSI CHANGU HIKI KIKISHINDWA KUBEBA KOMBE LA DUNIA NAJITOA JAMII FORUMS KABISA
GOALKEEPERS
1.Ederson (Manchester City)
DEFENDERS
2.Dani Alves (PSG),
3.Marcelo (Real Madrid),
4. Filipe Luiz (Atletico Madrid)
5.Thiago Silva (PSG)
MIDFIELDERS
6.Casemiro (Real Madrid),
7.Fernandinho (Manchester City), 8.Philippe Coutinho (Barcelona),
FORWARDS
9Gabriel Jesus (Manchester City), 10.Neymar Jr (PSG),
11.Firmino (Liverpool)

SUBSTITUTION ZANGU

GOALKEEPERS

1.Cassio (Corinthians),

DEFENDERS
2.Fagner (Corinthians),
3.Marquinhos (PSG),
4.Miranda (Inter Milan),
5.Rodrigo Caio (Sao Paulo),

MIDFIELDERS
6.Giuliano (Zenit),
7.Luan (Gremio),
8.Paulinho (Barcelona),

FORWARDS
9. Renato augusto
10.Taison (Shakhtar Donetsk)
11. Willian (Chelsea)


Je katika majina hayo juu we ungepangaje kikosi na ubebe kombe la dunia??
Felipe Luiz ni pure fullback utamuwekaje kati? Sijawahi kumuona akicheza kati ktk maisha yote ya atletico na hata chelsea
Beki za Tite ni Alves, Marcelo, Miranda na Marquinho kama umekuwa ukufuatilia mechi za brazil ktk qualification hiyo ni backline ya brazil panga ua labda itokee majeruhi au minor rotation
Ukija ktk midfield wakiwa fit wote Tite amekuwa akiwachezesha Casemiro,Paulinho na Augusto
Na fowards ni Neymar kushoto,Coutinho kulia na Jesus kati na kipa anamchezeshaga Allison dhidi ya Ederson
Hilo ndio kosi la Tite brazil ikiwa full mkoko
Kama umeweka kikosi hicho kama maoni yako hamna tabu na pia kuna kipindi kirefu mpaka world cup players wanaweza wakawa na ups and downs nyingi
Nimejaribu kuonyesha preferences za Tite akiwa na full mkoko na wala si maoni yangu
 
Argentina kapigwa na Mashine gun goli moja w/c na ndio team imeshehena wachezaji wazuri kuliko timu yoyote duniani,,sembuse hao brazil njaa. Imejaza vizee.

  1. ARGENTINA
  2. GERMANY
  3. FRANCE
 
HAYA NDO MAJINA YA KIKOSI CHOTE CHA BRAZIL

GOALKEEPERS
Alisson (Roma), Cassio (Corinthians), Ederson (Manchester City)
DEFENDERS
Dani Alves (PSG), Fagner (Corinthians), Filipe Luis (Athletico Madrid), Marcelo (Real Madrid), Marquinhos (PSG), Miranda (Inter Milan), Rodrigo Caio (Sao Paulo), Thiago Silva (PSG)
MIDFIELDERS
Casemiro (Real Madrid), Fernandinho (Manchester City), Giuliano (Zenit), Luan (Gremio), Paulinho (Barcelona), Philippe Coutinho (Barcelona), Renato Augusto (Beijing Guoan), Willian (Chelsea)
FORWARDS
Firmino (Liverpool), Gabriel Jesus (Manchester City), Neymar Jr (PSG),
Taison (Shakhtar Donetsk)



KUTOKA KATIKA LIST HIYO NIMEPANGA FIRST ELEVEN BYA KUBEBA UBINGWA JE WEWE UNGEPENDAJE?

KIKOSI CHANGU HIKI KIKISHINDWA KUBEBA KOMBE LA DUNIA NAJITOA JAMII FORUMS KABISA
GOALKEEPERS
1.Ederson (Manchester City)
DEFENDERS
2.Dani Alves (PSG),
3.Marcelo (Real Madrid),
4. Filipe Luiz (Atletico Madrid)
5.Thiago Silva (PSG)
MIDFIELDERS
6.Casemiro (Real Madrid),
7.Fernandinho (Manchester City), 8.Philippe Coutinho (Barcelona),
FORWARDS
9Gabriel Jesus (Manchester City), 10.Neymar Jr (PSG),
11.Firmino (Liverpool)

SUBSTITUTION ZANGU

GOALKEEPERS

1.Cassio (Corinthians),

DEFENDERS
2.Fagner (Corinthians),
3.Marquinhos (PSG),
4.Miranda (Inter Milan),
5.Rodrigo Caio (Sao Paulo),

MIDFIELDERS
6.Giuliano (Zenit),
7.Luan (Gremio),
8.Paulinho (Barcelona),

FORWARDS
9. Renato augusto
10.Taison (Shakhtar Donetsk)
11. Willian (Chelsea)


Je katika majina hayo juu we ungepangaje kikosi na ubebe kombe la dunia??
Bingwa atakuwa Ujerumani. Hata kule kwao Brazil hawakuwa na kikosi kibaya, tatizo lao ikiwamo hao uliowataja wanacheza mpira wa kiulaya ambao hata England wakicheza nayo wanawamudu. Timu haziwezi mzuia mtu anayepiga soka la TIKTAK, ndio Brazil ya zamani na Spain ile ya juzi juzi iliyosumbua.
 
HAYA NDO MAJINA YA KIKOSI CHOTE CHA BRAZIL

GOALKEEPERS
Alisson (Roma), Cassio (Corinthians), Ederson (Manchester City)
DEFENDERS
Dani Alves (PSG), Fagner (Corinthians), Filipe Luis (Athletico Madrid), Marcelo (Real Madrid), Marquinhos (PSG), Miranda (Inter Milan), Rodrigo Caio (Sao Paulo), Thiago Silva (PSG)
MIDFIELDERS
Casemiro (Real Madrid), Fernandinho (Manchester City), Giuliano (Zenit), Luan (Gremio), Paulinho (Barcelona), Philippe Coutinho (Barcelona), Renato Augusto (Beijing Guoan), Willian (Chelsea)
FORWARDS
Firmino (Liverpool), Gabriel Jesus (Manchester City), Neymar Jr (PSG),
Taison (Shakhtar Donetsk)



KUTOKA KATIKA LIST HIYO NIMEPANGA FIRST ELEVEN BYA KUBEBA UBINGWA JE WEWE UNGEPENDAJE?

KIKOSI CHANGU HIKI KIKISHINDWA KUBEBA KOMBE LA DUNIA NAJITOA JAMII FORUMS KABISA
GOALKEEPERS
1.Ederson (Manchester City)
DEFENDERS
2.Dani Alves (PSG),
3.Marcelo (Real Madrid),
4. Filipe Luiz (Atletico Madrid)
5.Thiago Silva (PSG)
MIDFIELDERS
6.Casemiro (Real Madrid),
7.Fernandinho (Manchester City), 8.Philippe Coutinho (Barcelona),
FORWARDS
9Gabriel Jesus (Manchester City), 10.Neymar Jr (PSG),
11.Firmino (Liverpool)

SUBSTITUTION ZANGU

GOALKEEPERS

1.Cassio (Corinthians),

DEFENDERS
2.Fagner (Corinthians),
3.Marquinhos (PSG),
4.Miranda (Inter Milan),
5.Rodrigo Caio (Sao Paulo),

MIDFIELDERS
6.Giuliano (Zenit),
7.Luan (Gremio),
8.Paulinho (Barcelona),

FORWARDS
9. Renato augusto
10.Taison (Shakhtar Donetsk)
11. Willian (Chelsea)


Je katika majina hayo juu we ungepangaje kikosi na ubebe kombe la dunia??

ondoka leo maana hicho hakichukui ubingwa. mark my words, hakichukui ng'o!!
 
Hahahah nliposoma huu Uzi nlitaka nianze Kubisha.. akili zangu zote yupo liver [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kikosi kiko Bora Ila nakurekebisha kuhusu Dan's alvez na Marcelo, hao inabidi mmoja awe benchi kutokana na uzee unaowakabili, maana spidi ya vijana ni kubwa mno, pili firmino akae pembeni Coutinoh acheze 11 ,then hapo namba nane apande mwingine Ila mi kikosi changu hiki
Ndo kitacheza fainali na Argentina mwaka huu

GOALKEEPERS
1.Ederson (Manchester City)
DEFENDERS
2.Miranda
3.Marcelo (Real Madrid),
4. Filipe Luiz (Atletico Madrid)
5.Thiago Silva (PSG)
MIDFIELDERS
6.Casemiro (Real Madrid),
7. Firmino
8.Fernandinho (Manchester City),
FORWARDS
9Gabriel Jesus (Manchester City), 10.Neymar Jr (PSG),
10. Philipe coutinho Barcelona
Frimino abadilishane na coutinho apo
 
Back
Top Bottom