Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Mleta thread utakuwa tu na mahaba na Brazil...
Pamoja na kuwa Brazil wana kikosi ambacho sio cha kubeza lakini bado wanasumbuliwa na mfumo wa kiuchezaji, na ubinafsi umewazidi...
World Cup ijayo itakuwa ngumu sana kuna timu nyingi nzuri mf Belgium, France, Croatia, Germany, Mexico
Pamoja na kuwa Brazil wana kikosi ambacho sio cha kubeza lakini bado wanasumbuliwa na mfumo wa kiuchezaji, na ubinafsi umewazidi...
World Cup ijayo itakuwa ngumu sana kuna timu nyingi nzuri mf Belgium, France, Croatia, Germany, Mexico