Kwa kikosi hiki, Brazil wasipobeba Kombe la Dunia naachana na mpira na JamiiForums natoka kabisa

Kwa kikosi hiki, Brazil wasipobeba Kombe la Dunia naachana na mpira na JamiiForums natoka kabisa

Na hakibebi kikombe ...mark my words. Wameshajiexpose too much....atakuja mzee wa Mercedes Benz na VW atabeba....wazee wa kimya kimya ....sikujui hunijui...but cheza mbali kabisa na Mjerumani....ni mtendaji na hana kelele zenu.
Brazil ya Tite siyo Scholari 2014

....2002 walikutana fainali.... Scholari akiwa na kikosi hatari chenye Rivaldo, De Lima, Gaucho....mjerumani akalala
Bahati nzuri haikuwa siku ya kazi...tuliona game live
 
Kama shida ni majina kwenye vikosi argentina hajawahi kuwa na kikosi cha kawaida lakini mwisho wake kila siku anapigwa na germany..

Labda kama umeangali sababu zingine maana kama majina kuna timu ni balaa , kawacheki france,belgium,spain, england na argentina upne wanavyotisha kimajina
England hakuna timu pale....usidanganyike na EPL....
 
Nyie jidanganyeni tu ni kujifariji tu huko,, eti brashoga anabeba😛😛😛

Kama sio Argentina france. basi Mashine gan anabeba kwa mara nyingine.
 
Kelele zoooote izo hamna kitu hapo,, mwisho wa siku wanaambulia kichapo cha goli 8 kutoka kwa wanaume halisi/Mercedes Benz or Man......mwisho wa siku mfalme anabeba ndani ya ardhi ya Puttin
 
Na hakibebi kikombe ...mark my words. Wameshajiexpose too much....atakuja mzee wa Mercedes Benz na VW atabeba....wazee wa kimya kimya ....sikujui hunijui...but cheza mbali kabisa na Mjerumani....ni mtendaji na hana kelele zenu.
Ww ndio unajua mpira kabisa
 
Nakurekebisha kwa marcelo na filipe luiz..nani atacheza left...ila wote fresh..maana kuna walio best katika nafasi fulani... .ila sasa kwa ujumla hapo patamu wako vizuri nani aanze nani apumzike
 
But kuwa na kimosi hicho sio guarantee ya kubeba..maananlazima wamaintain katika kila game imiwemo kutoruhusu magoli na wao kuzama nyavuni kila mara...maana kuna kutokewa bahati mbaya kama penalty kicks zikifika...so majina yote lazima TEAM WORK iwe vizuri
 
Back
Top Bottom