Kwa kikosi hiki, Brazil wasipobeba Kombe la Dunia naachana na mpira na JamiiForums natoka kabisa

Kwa kikosi hiki, Brazil wasipobeba Kombe la Dunia naachana na mpira na JamiiForums natoka kabisa

wache wapeleke serengeti boys... mabishow... wao ndio makocha wao ndio wachezaji... kigenge cha waalifu wa kiblazil kilicho jichimbia PSG... hawa ndio wabebe kombe la dunia hawa... huu ni upuuzi mkubwa sana... wangekuwa wablazil wengine lakini sio hawa...
 
mpira sio majina tena ni uwezo... jina lako kaa nalo... wakina zizou wamekaa na majina yao... wakina ronaldo majina yao yamekuwa makubwa ila uwezo una rudi chini...

mpira wa kishabiki na mahaba ni utumwa...
 
Kikosi kiko Bora Ila nakurekebisha kuhusu Dan's alvez na Marcelo, hao inabidi mmoja awe benchi kutokana na uzee unaowakabili, maana spidi ya vijana ni kubwa mno, pili firmino akae pembeni Coutinoh acheze 11 ,then hapo namba nane apande mwingine Ila mi kikosi changu hiki
Ndo kitacheza fainali na Argentina mwaka huu

GOALKEEPERS
1.Ederson (Manchester City)
DEFENDERS
2.Miranda
3.Marcelo (Real Madrid),
4. Filipe Luiz (Atletico Madrid)
5.Thiago Silva (PSG)
MIDFIELDERS
6.Casemiro (Real Madrid),
7. Firmino
8.Fernandinho (Manchester City),
FORWARDS
9Gabriel Jesus (Manchester City), 10.Neymar Jr (PSG),
10. Philipe coutinho Barcelona
Firminho anapoteza mipira pia sio mkabaji mzuri
 
Na hakibebi kikombe ...mark my words. Wameshajiexpose too much....atakuja mzee wa Mercedes Benz na VW atabeba....wazee wa kimya kimya ....sikujui hunijui...but cheza mbali kabisa na Mjerumani....ni mtendaji na hana kelele zenu.
yessssssssssssssssssss

kaa mbali na watoto

wana vikosi imara kuanzia

,U 19
,U 20
,U 21
 
Na hakibebi kikombe ...mark my words. Wameshajiexpose too much....atakuja mzee wa Mercedes Benz na VW atabeba....wazee wa kimya kimya ....sikujui hunijui...but cheza mbali kabisa na Mjerumani....ni mtendaji na hana kelele zenu.
Wambie kaka German hskuna mbwembwe kule n kaz kaz
 
watu mkivuta bangi... mna sizi na kuanza kuota ota mara upo mamtoni kumbe upo kwa mtogole... una toa kikosi leo wakati hata maligi hayajaisha... watu wanapambana kuonesha mauwezo ili wasikose kombe la dunia... wengine hawataki kuumia wana chagua mechi za kucheza wakina neymar...

akumbuke kulikuwa na dinho alileta ubisho na usuper star ambao ni mzigo wa mwiba na mwisho ukawa mbaya... wazungu sio watu wazuri ktk kazi, aubameyng anajionea hilo pale dotmund, kiburi sio maungwana...

beckham alivunjika mkuu kwenda ktk kombe la dunia 2002 kama sikosei, na kiwango hakikuwa kile alicho tarajiwa kukionesha... wakina owen walivunjika miguu, wakina rooney...

wengine walitemwa wakati walikuwa on fire ktk vilabu vyao... mpaka dunia ikashangaa...

leo mnakuja andika ushabiki usio na tija mapema hivi... eb vuteni subira, watanzania ninani aliye waloga?

Wabongo bwana. Anatuletea kikosi nyanya hapa
😀😀😀😀😀😀
 
HAYA NDO MAJINA YA KIKOSI CHOTE CHA BRAZIL

GOALKEEPERS
Alisson (Roma), Cassio (Corinthians), Ederson (Manchester City)

DEFENDERS
Dani Alves (PSG), Fagner (Corinthians), Filipe Luis (Athletico Madrid), Marcelo (Real Madrid), Marquinhos (PSG), Miranda (Inter Milan), Rodrigo Caio (Sao Paulo), Thiago Silva (PSG)

MIDFIELDERS
Casemiro (Real Madrid), Fernandinho (Manchester City), Giuliano (Zenit), Luan (Gremio), Paulinho (Barcelona), Philippe Coutinho (Barcelona), Renato Augusto (Beijing Guoan), Willian (Chelsea)

FORWARDS
Firmino (Liverpool), Gabriel Jesus (Manchester City), Neymar Jr (PSG),
Taison (Shakhtar Donetsk)

KUTOKA KATIKA LIST HIYO NIMEPANGA FIRST ELEVEN YA KUBEBA UBINGWA. JE, WEWE UNGEPENDAJE?

KIKOSI CHANGU HIKI KIKISHINDWA KUBEBA KOMBE LA DUNIA NAJITOA JAMII FORUMS KABISA
GOALKEEPERS
1.Ederson (Manchester City)
DEFENDERS
2.Dani Alves (PSG),
3.Marcelo (Real Madrid),
4. Filipe Luiz (Atletico Madrid)
5.Thiago Silva (PSG)
MIDFIELDERS
6.Casemiro (Real Madrid),
7.Fernandinho (Manchester City), 8.Philippe Coutinho (Barcelona),
FORWARDS
9Gabriel Jesus (Manchester City), 10.Neymar Jr (PSG),
11.Firmino (Liverpool)

SUBSTITUTION ZANGU

GOALKEEPERS

1.Cassio (Corinthians),

DEFENDERS
2.Fagner (Corinthians),
3.Marquinhos (PSG),
4.Miranda (Inter Milan),
5.Rodrigo Caio (Sao Paulo),

MIDFIELDERS
6.Giuliano (Zenit),
7.Luan (Gremio),
8.Paulinho (Barcelona),

FORWARDS
9. Renato augusto
10.Taison (Shakhtar Donetsk)
11. Willian (Chelsea)

Je, katika majina hayo juu we ungepangaje kikosi na ubebe kombe la dunia??
Weka cha France na German ndio utajua mziki wake
 
Na hakibebi kikombe ...mark my words. Wameshajiexpose too much....atakuja mzee wa Mercedes Benz na VW atabeba....wazee wa kimya kimya ....sikujui hunijui...but cheza mbali kabisa na Mjerumani....ni mtendaji na hana kelele zenu.
Na usije shangaa Final ni Egypt vs Germany!!!
 
Subiri wale wasiocheka wala kutabasamu wawapo uwanjani ndo utajua kazi ikoje.
Angalia sura za wajerumani ni wazee wa kazi.
Mark my words.Brazil zamani siyo sasa.
 
watu mkivuta bangi... mna sizi na kuanza kuota ota mara upo mamtoni kumbe upo kwa mtogole... una toa kikosi leo wakati hata maligi hayajaisha... watu wanapambana kuonesha mauwezo ili wasikose kombe la dunia... wengine hawataki kuumia wana chagua mechi za kucheza wakina neymar...

akumbuke kulikuwa na dinho alileta ubisho na usuper star ambao ni mzigo wa mwiba na mwisho ukawa mbaya... wazungu sio watu wazuri ktk kazi, aubameyng anajionea hilo pale dotmund, kiburi sio maungwana...

beckham alivunjika mkuu kwenda ktk kombe la dunia 2002 kama sikosei, na kiwango hakikuwa kile alicho tarajiwa kukionesha... wakina owen walivunjika miguu, wakina rooney...

wengine walitemwa wakati walikuwa on fire ktk vilabu vyao... mpaka dunia ikashangaa...

leo mnakuja andika ushabiki usio na tija mapema hivi... eb vuteni subira, watanzania ninani aliye waloga?
Aaaaargh, umeongea point zakutosha kooooote,
Mara ghafla umerukia "kurogana"[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bunder slinger aka mjerumani atachukua kombe. Sio mara ya kwanza Brazil kutabiriwa lkn wakaishia ambulia kipigo kitakatifu
 
HAYA NDO MAJINA YA KIKOSI CHOTE CHA BRAZIL

GOALKEEPERS
Alisson (Roma), Cassio (Corinthians), Ederson (Manchester City)

DEFENDERS
Dani Alves (PSG), Fagner (Corinthians), Filipe Luis (Athletico Madrid), Marcelo (Real Madrid), Marquinhos (PSG), Miranda (Inter Milan), Rodrigo Caio (Sao Paulo), Thiago Silva (PSG)

MIDFIELDERS
Casemiro (Real Madrid), Fernandinho (Manchester City), Giuliano (Zenit), Luan (Gremio), Paulinho (Barcelona), Philippe Coutinho (Barcelona), Renato Augusto (Beijing Guoan), Willian (Chelsea)

FORWARDS
Firmino (Liverpool), Gabriel Jesus (Manchester City), Neymar Jr (PSG),
Taison (Shakhtar Donetsk)

KUTOKA KATIKA LIST HIYO NIMEPANGA FIRST ELEVEN YA KUBEBA UBINGWA. JE, WEWE UNGEPENDAJE?

KIKOSI CHANGU HIKI KIKISHINDWA KUBEBA KOMBE LA DUNIA NAJITOA JAMII FORUMS KABISA
GOALKEEPERS
1.Ederson (Manchester City)
DEFENDERS
2.Dani Alves (PSG),
3.Marcelo (Real Madrid),
4. Filipe Luiz (Atletico Madrid)
5.Thiago Silva (PSG)
MIDFIELDERS
6.Casemiro (Real Madrid),
7.Fernandinho (Manchester City), 8.Philippe Coutinho (Barcelona),
FORWARDS
9Gabriel Jesus (Manchester City), 10.Neymar Jr (PSG),
11.Firmino (Liverpool)

SUBSTITUTION ZANGU

GOALKEEPERS

1.Cassio (Corinthians),

DEFENDERS
2.Fagner (Corinthians),
3.Marquinhos (PSG),
4.Miranda (Inter Milan),
5.Rodrigo Caio (Sao Paulo),

MIDFIELDERS
6.Giuliano (Zenit),
7.Luan (Gremio),
8.Paulinho (Barcelona),

FORWARDS
9. Renato augusto
10.Taison (Shakhtar Donetsk)
11. Willian (Chelsea)

Je, katika majina hayo juu we ungepangaje kikosi na ubebe kombe la dunia??
NDIO WALIOKUINGIZA JAMIIFORUMS..???
 
Kelele zoooote izo hamna kitu hapo,, mwisho wa siku wanaambulia kichapo cha goli 8 kutoka kwa wanaume halisi/Mercedes Benz or Man......mwisho wa siku mfalme anabeba ndani ya ardhi ya Puttin
Mfalme gani?Huyo aliye qualify kwa kupita kwenye uzi?.Mfalme mwenye gundu.Yaani toka aanza mpira hajawahi beba international cups na timu ya taifa.Itabaki hivyo tuu
 
Back
Top Bottom