Kwa kikosi hiki, sitoshangaa Argentina wakitwaa ndoo mchana kweupee...

Kwa kikosi hiki, sitoshangaa Argentina wakitwaa ndoo mchana kweupee...

Mnachukulia poa sana Spain lakini wanaweza kumzuia yeyote hapo kirahisi mno
Wazee wengi kikosi kinaenda ukingoni ,kama kile cha Germany cha Euro
But you never know ,ila ngoja niziangalie hizi team tena tuangalie nani zaidi kwa sababu kuna kikosi cha France vijana kibao...halafu wote wana kasi
 
Wazee wengi kikosi kinaenda ukingoni ,kama kile cha Germany cha Euro
Kwa mantiki hiyo hata Brazil kuna wazee Marcelo,Miranda,Silva,Paulinho,

GERMANY khedira,Kroos,Ozil,Boateng,Gomes, Neur,

Argentine ndyo 30+ kalibia wachezaji 8 wa first team

Spain Ramos,Pique,Busquet,Inesta,Silva na mchanganyiko wa damu changa kibao
 
Kwa mantiki hiyo hata Brazil kuna wazee Marcelo,Miranda,Silva,Paulinho,

GERMANY khedira,Kroos,Ozil,Boateng,Gomes, Neur,

Argentine ndyo 30+ kalibia wachezaji 8 wa first team

Spain Ramos,Pique,Busquet,Inesta,Silva na mchanganyiko wa damu changa kibao
We umepanda gari ya Spain sio [emoji23]
Ok anyway wana mpira mkubwa sna ni moja ya my favorite Team ila this time my instincts WC litaenda South America any country
 
We umepanda gari ya Spain sio [emoji23]
Ok anyway wana mpira mkubwa sna ni moja ya my favorite Team ila this time my instincts WC litaenda South America any country
Tukutane Russia ila kuna dogo jana ameingia anaitwa Rodrigo Hernandez namuona ni new edition ya busquets kabisa dogo fundi kinoma batca wamchukue
 
Ukifuzu wa kwanza inamaana una uwezo,Hiyo haina ubishi hata mtoto mdogo analijua hilo.Argentina kwa ubora huu mnaoupigia chapuo hapa,haikutakiwa kufuzu kwa taabu kiasi kile,Ilitakiwa waonyeshe uwezo na wafuzu bila presha kama wenzao,Unasumbuliwa na vitimu kama Bolivia unataka tukuamini utaifunga Germany?..
Mbona uingereza kila world cup huwa ni miongoni mwa team za kwanza kufuzu na huwa hafanyi vizuri world cup au hujui???? ..... unaifahamu japan??.
 
Tukutane Russia ila kuna dogo jana ameingia anaitwa Rodrigo Hernandez namuona ni new edition ya busquets kabisa dogo fundi kinoma batca wamchukue
Hivi dogo Cebalos yule walimchukua Madrid ila mpenda Barca naye walimuita National team?
 
Jamani ndugu zanguni!! Kwa kikosi hiki, sitoshangaa Argentina wakitwaa ndoo mchana kweupee...
View attachment 722613
Na hiki ndio kikosi ambacho bwana Sampaoli atakuwa amekiandaa kwenda kumaliza kazi nchini Urusi.

GOALKEEPERS
SERGIO ROMERO (MAN U)
NAHUEL GUZMAN (TIGRES)

DEFENDER'S
MARCOS ROJO (MAN UNITED)
OTAMENDI (MAN CITY)
MERCADO (SEVILLA)
MUSACCHIO (AC MILAN)
RONCAGLIA (CELTA DE VIGO)
FUNES MORI (EVERTON)
ZABALETA (WEST HAM UNITED)
EMMANUEL MAMMANA

MIDFIELDERS
DI MARIA (PSG)
MASCHERANO (CHINA)
BANEGA (SEVILLA)
LUCAS BIGLIA (AC MILAN)
AUGUSTO (ATL MADRID)
ERICK LAMELA (TOTTENHAM)
NICOLAS GAITAN (CHINA)
KRANEVITTER (ZENIT)
JAVIER PASTORY (PSG)
EDWARDO SALVIO TOTO (BENFICA)

FORWARDS
LEO 10 (BARCELONA)
PAULO DYABALA (JUVENTUS)
KUN AGUERO (MAN CITY)
MAURO LCARDI (INTER MILAN)
HIGUAIN (JUVENTUS)
ANGEL CORREA (ATL MADRID)
LUCAS PRATTO (RIVER PLATE)


Katika hiki kikosi, kwa upande wangu nimependelea first eleven iwe hivi...je wewe ungependaje?

FIRST ELEVEN

GOALKEEPER_______/\____DEFENDER'S
SERGIO ROMERO____<>____MARCOS ROJO
_______________________NICOLAS OTAMENDI
_______________________MERCADO
_______________________RONCAGLIA



MIDFIELDER'S______/\_____FOWARDS
MASCHERANO________<>______LEO MESSI
ANGEL DI MARIA____<>______PAULO DYBALA
ERICKLAMELA_______<>______MAURO LCARDI


Na katika LINE UP ni ipi ungependelea iwepo?
1
View attachment 722599
2.View attachment 722607
3.View attachment 722602

SUBSTITUTION YANGU
GOALKEEPER__________/\____DEFENDERS
NAHUEL GUZMAN______<>_____MUSACCHIO
___________________<>_____FUNES MORI
___________________<>_____ZABALETA
___________________<>_____MAIDANA



MIDFIELDERS________/\___FOWARDS
AUGUSTO____________<>___KUN AGUERO
JAVIER PASTORY_____<>___HIGUAIN
LUCAS BIGLIA_______<>__ANGEL CORREA


ARGENTINA COACH, GEORGE SAMPAOLI
Miaka yote Argentina amekuwa kikosi bora lakini kuchukua ndoo imekuwa ni ngumu sana, 2014 ndio ulikuwa mwaka wake higuain akawa anaruruka pale mbele, mwaka huu ni Brazil,Spain au German.
 
Kwani aguero alishakuwa na msaada kwenye timu ya taifa lini?..Hakuna hata anachokifanya kule mbele..Ingekuwa nchi nyingine ashapigwa chini siku mingi

Aha chukizako Kwa Argentina bwana.
 
Miaka yoooote anamsaada gani kwe ye team?..Au ndo u star ndo sababu anaitwa.Ingekuwa nchi zinzzojielewa ashapigwa chini siku mingi.Yaani ni garasa tu kule mbele,Icard acheze balada ya hili garasa Aguero

Kwa Lcardi tuko pamoja, lakini kusema eti aguero Ingekuwa nchi zinzzojielewa ashapigwa chini siku mingi sio kweli bwana, haswaa nakuona sio mfuatiliaji wa mpira.
 
Uwanjani mambo yanakuwaga tofauti. Usiwape uhakika hivyo, kule kila mtu anaenda kushindana plus kuna wanaotafuta timu.
 
Nani kaongezeka hapo so wote walikuwepo tournament zote zilizopita

Kama ulicheki w/c utaona baadhi hawakuwemo

  1. Dybala
  2. Lcardi
  3. Scocco
  4. Cristian Pavon sikumbuki kama alimuwepo
  5. Maidana
  6. Gaitan, Correa and Javier Pastory n.k
 
Argentina ni fungu la kukosa wale.Hadi mtu mmoja atakapotundika daluga ndipo watakaporudi kwenye Argentina ya watu.
 
Back
Top Bottom