BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Miaka kadhaa wameshindwa vipi this time uwaone wanaweza?
Ina maana hata Germany Machine hujaipa Nafasi timu yenye vikosi hatari vyote watoto kwa wakubwa
Rafiki yangu MLALEO umepotea mno siku hizi. Huwa nakucheki tu mataifani kule unatupia ndondo za uhakika 😀😀