Kwa kilichotokea leo uwanja wa Mkapa, uongozi wa Simba walikurupuka

Kwa kilichotokea leo uwanja wa Mkapa, uongozi wa Simba walikurupuka

vibertz

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2022
Posts
2,474
Reaction score
4,726
Leo Robertinho kaonesha waziwazi kuwa hajui cha kufanya (kaishiwa mbinu) na kumuomba Mgunda ushauri.

Hatua ya kwanza camera zikamnasa kuomba ushauri na kisha akaonekana Baleke kuingia nafasi ya Boko. Kadri muda ulivyozidi kwenda alionekana yupo frustrated na hajui afanye nini.

Camera kwa mara nyingine zikamnasa akiwa anaomba ushauri wa Mgunda ndipo akaingizwa Kibu. Goli lilipofungwa alinaswa tena na camera akiwa anamshukuru Mgunda.

Kisha baadae kama kawaida yake kwenda kujisifu mbele ya mashabiki kwa kushangilia mbele ya mashabiki.
 
Leo Robertinho kaonesha waziwazi kuwa hajui cha kufanya (kaishiwa mbinu) na kumuomba Mgunda ushauri. Hatua ya kwanza camera zikamnasa kuomba ushauri na kisha akaonekana Baleke kuingia nafasi ya Boko. Kadri muda ulivyozidi kwenda alionekana yupo frustrated na hajui hafanye nini. Camera kwa mara nyingine zikamnasa akiwa anaomba ushauri wa Mgunda ndipo akaingizwa Kibu. Goli lilipofungwa alinaswa tena na camera akiwa anamshukuru Mgunda. Kisha baadae kama kawaida yake kwenda kujisifu mbele ya mashabiki kwa kushangilia mbele ya mashabiki.
Kwahiyo
 
Leo Robertinho kaonesha waziwazi kuwa hajui cha kufanya (kaishiwa mbinu) na kumuomba Mgunda ushauri.

Hatua ya kwanza camera zikamnasa kuomba ushauri na kisha akaonekana Baleke kuingia nafasi ya Boko. Kadri muda ulivyozidi kwenda alionekana yupo frustrated na hajui hafanye nini.

Camera kwa mara nyingine zikamnasa akiwa anaomba ushauri wa Mgunda ndipo akaingizwa Kibu. Goli lilipofungwa alinaswa tena na camera akiwa anamshukuru Mgunda.

Kisha baadae kama kawaida yake kwenda kujisifu mbele ya mashabiki kwa kushangilia mbele ya mashabiki.
Kazi ya kocha msaidizi unaijua lakini we kiazi
 
Leo Robertinho kaonesha waziwazi kuwa hajui cha kufanya (kaishiwa mbinu) na kumuomba Mgunda ushauri.

Hatua ya kwanza camera zikamnasa kuomba ushauri na kisha akaonekana Baleke kuingia nafasi ya Boko. Kadri muda ulivyozidi kwenda alionekana yupo frustrated na hajui hafanye nini.

Camera kwa mara nyingine zikamnasa akiwa anaomba ushauri wa Mgunda ndipo akaingizwa Kibu. Goli lilipofungwa alinaswa tena na camera akiwa anamshukuru Mgunda.

Kisha baadae kama kawaida yake kwenda kujisifu mbele ya mashabiki kwa kushangilia mbele ya mashabiki.
Mgunda yaan kwahuyu kocha haruhusiwi hata kuhamasisha wachezaji!
 
Weweseko la vichapo mfululizo sasa limehamia kwa mashabiki...
 
Back
Top Bottom