Kunguru wa Unguja
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 1,762
- 1,823
nutKwa kikosi gani nashangaa makolo mnavyo tamba hivi kule Morocco mlicheza mchezo gani ? Hivi ile match ndo mna dai mli pambana kiume ? Kwamba ndo match yenu bora kwenye mashindano ? at least ile game na horoya ndo inaweza kua bora kwenu zingine mme cheza upuuzi tu