Kwa kinachoendelea CHADEMA muda huu kwenye uchaguzi ni wazi bado hajapatikana mbadala wa CCM

Kwa kinachoendelea CHADEMA muda huu kwenye uchaguzi ni wazi bado hajapatikana mbadala wa CCM

Mpigania uhuru wa pili

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2023
Posts
3,380
Reaction score
6,376
Mimi ni mpinzani yes naamini kwenye upinzani wa kuiondoa CCM madarakani ila kwa kinachoendelea kwenye uchaguzi wa CHADEMA ni wazi bado Tanzania hatujapata chama ambacho ni mbadala wa CCM

CHADEMA wanafanya mambo yale yale CCM wanayofanya tofauti yao hawana dola angalia mambo ya ovyo anayoyafanya Mbowe leo hii eti chama chake kikabidhiwe nchi

Juzi-juzi uchaguzi wa BAWACHA kura ambazo hazifiki hata 500 ila zilichukua masaa 48 na zaidi kuhesabu jiulize kweli watu kama hawa ndo uwape nchi kweli sababu watafanya hiki-hiki wanachofanya CCM

Nakuhakikishia huko CHADEMA kuna wakina Makonda na Sabaya wengi sana ni basi tu hawajapewa madaraka ya nchi.
 
Mimi ni mpinzani yes naamini kwenye upinzani wa kuiondoa ccm madarakani ila kwa kinachoendelea kwenye uchaguzi wa chadema ni wazi bado Tanzania hatujapata chama ambacho ni mbadala wa ccm

Chadema wanafanya mambo yale yale ccm wanayofanya tofauti yao hawana dola angalia mambo ya hovyo anayoyafanya mbowe leo hii eti chama chake kikabidhiwe nchi

Juzi-juzi uchaguzi wa bawacha kura ambazo hazifiki hata 500 ila zilichukua masaa 48 na zaidi kuhesabu jiulize kweli watu kama hawa ndo uwape nchi kweli sababu watafanya hiki-hiki wanachofanya ccm

Nakuhakikishia uko chadema kuna wakina makonda na sabaya wengi sana ni basi tu hawajapewa madaraka ya nchi
Wala usijali ndugu. CCM tunafuata sana maneno ya Mwalimu Nyerere kuwa, "He cannot let his country go to the dogs"!
 
Mimi ni mpinzani yes naamini kwenye upinzani wa kuiondoa ccm madarakani ila kwa kinachoendelea kwenye uchaguzi wa chadema ni wazi bado Tanzania hatujapata chama ambacho ni mbadala wa ccm

Chadema wanafanya mambo yale yale ccm wanayofanya tofauti yao hawana dola angalia mambo ya hovyo anayoyafanya mbowe leo hii eti chama chake kikabidhiwe nchi

Juzi-juzi uchaguzi wa bawacha kura ambazo hazifiki hata 500 ila zilichukua masaa 48 na zaidi kuhesabu jiulize kweli watu kama hawa ndo uwape nchi kweli sababu watafanya hiki-hiki wanachofanya ccm

Nakuhakikishia uko chadema kuna wakina makonda na sabaya wengi sana ni basi tu hawajapewa madaraka ya nchi
Chadema wahuni
 
965789ba-ce53-4f8c-9f34-9504a5b97fbf.jpeg
 
Ukiona mtu anaanza na "Mimi ni mpinzani..." au mie ni flani.....mmmh.

Kwanini usishushe nondo zako tu directly
 
Mimi ni mpinzani yes naamini kwenye upinzani wa kuiondoa CCM madarakani ila kwa kinachoendelea kwenye uchaguzi wa CHADEMA ni wazi bado Tanzania hatujapata chama ambacho ni mbadala wa CCM

CHADEMA wanafanya mambo yale yale CCM wanayofanya tofauti yao hawana dola angalia mambo ya ovyo anayoyafanya Mbowe leo hii eti chama chake kikabidhiwe nchi

Juzi-juzi uchaguzi wa BAWACHA kura ambazo hazifiki hata 500 ila zilichukua masaa 48 na zaidi kuhesabu jiulize kweli watu kama hawa ndo uwape nchi kweli sababu watafanya hiki-hiki wanachofanya CCM

Nakuhakikishia huko CHADEMA kuna wakina Makonda na Sabaya wengi sana ni basi tu hawajapewa madaraka ya nchi.
Sasa huwa kuna uchaguzi, wale si wazee wa ndio tu , wakipigiwa ule wimbo wa hatujinyongi hatunywi sum biashara kwisha ,lazima taratibu zifuatwe hata uchaguzi ukichukua wiki
 
Mimi ni mpinzani yes naamini kwenye upinzani wa kuiondoa CCM madarakani ila kwa kinachoendelea kwenye uchaguzi wa CHADEMA ni wazi bado Tanzania hatujapata chama ambacho ni mbadala wa CCM

CHADEMA wanafanya mambo yale yale CCM wanayofanya tofauti yao hawana dola angalia mambo ya ovyo anayoyafanya Mbowe leo hii eti chama chake kikabidhiwe nchi

Juzi-juzi uchaguzi wa BAWACHA kura ambazo hazifiki hata 500 ila zilichukua masaa 48 na zaidi kuhesabu jiulize kweli watu kama hawa ndo uwape nchi kweli sababu watafanya hiki-hiki wanachofanya CCM

Nakuhakikishia huko CHADEMA kuna wakina Makonda na Sabaya wengi sana ni basi tu hawajapewa madaraka ya nchi.
CCM mlichofanya juzi kule Dodoma kumpitisha mgombea urais kidikteta na bila kura yoyote na hata aibu mnaweza kuwaambia CDM hawafai kushika dola kisa wanahesabu kura 500 kwa siku mbili. Ninyi mmehesabu kura ngapi za Samia na Mwinyi juzi?!
 
Mimi ni mpinzani yes naamini kwenye upinzani wa kuiondoa CCM madarakani ila kwa kinachoendelea kwenye uchaguzi wa CHADEMA ni wazi bado Tanzania hatujapata chama ambacho ni mbadala wa CCM

CHADEMA wanafanya mambo yale yale CCM wanayofanya tofauti yao hawana dola angalia mambo ya ovyo anayoyafanya Mbowe leo hii eti chama chake kikabidhiwe nchi

Juzi-juzi uchaguzi wa BAWACHA kura ambazo hazifiki hata 500 ila zilichukua masaa 48 na zaidi kuhesabu jiulize kweli watu kama hawa ndo uwape nchi kweli sababu watafanya hiki-hiki wanachofanya CCM

Nakuhakikishia huko CHADEMA kuna wakina Makonda na Sabaya wengi sana ni basi tu hawajapewa madaraka ya nchi.
Kwani unafikiri Demokrasia ni rahisi unavyofikiria? Ili uchaguzi uwe wa kidemokrasia lazima ufuate hatua kama inavyofuatwa na Chadema. Kila mgombea lazima ajiridhishe kuwa wapiga ni halali ili kura ziwe za haki. Subiri upate matokeo sahihi.
 
Haraka ya nini sasa, kwani unafikiri hapo wanapiga kura za ndio au hapana?
 
CHADEMA kuna wagombea watatu wanashindana.
CCM hakujawahi kuwepo na ushindani kwenye nafasi ya uenyekiti,umakamu mwenyekiti.

CCM mjumbe kapiga kura ya hapana lakini eti matokeo yanatoka hakuna kura ya hapana!

CCM ni ubavu mmojawapo wa yule mbovu aliyetupwa toka Mbinguni.
 
Back
Top Bottom