Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Akiona haijakaa vizuri anasema yeye hana chama, ila bora ccm iendelee kutawala😂!!Ukiona mtu anaanza na "Mimi ni mpinzani..." au mie ni flani.....mmmh.
Kwanini usishushe nondo zako tu directly
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akiona haijakaa vizuri anasema yeye hana chama, ila bora ccm iendelee kutawala😂!!Ukiona mtu anaanza na "Mimi ni mpinzani..." au mie ni flani.....mmmh.
Kwanini usishushe nondo zako tu directly
CCM Walitengua Kanuni Tu Hakukuwa Na UshindaniCCM mlichofanya juzi kule Dodoma kumpitisha mgombea urais kidikteta na bila kura yoyote na hata aibu mnaweza kuwaambia CDM hawafai kushika dola kisa wanahesabu kura 500 kwa siku mbili. Ninyi mmehesabu kura ngapi za Samia na Mwinyi juzi?!
Ambao mimi binafsi na wengine wengi walishauona tukaona tukae tusubiri lijaloHuo ndo ukweli mchungu ambao tunaamini siasa za upinzani hatutaki kuukubali
Maoni yako yanaheshimiwa, lakini hayaondoi legacy ya Mwalimu Nyerere nchini Tanzania. Nchini Marekani, George Washington ni kama Mwalimu Nyerere Tanzania. Mojawapo ya wosia wake kabla hajafa aliwaambia Waamerika kwamba wasije wakajaribu wakaifanya Marekani nchi ya vyama vingi! Ahahahahaha!!Nyerere huyu hutu aliyesababisha wananchi wakavaa viraka?
Naona umepanic vibaya, umejieleza mno!Maoni yako yanaheshimiwa, lakini hayaondoi legacy ya Mwalimu Nyerere nchini Tanzania. Nchini Marekani, George Washington ni kama Mwalimu Nyerere Tanzania. Mojawapo ya wosia wake kabla hajafa aliwaambia Waamerika kwamba wasije wakajaribu wakaifanya Marekani nchi ya vyama vingi! Ahahahahaha!!
Kuna baadhi ya Waamerika wanajiuliza kwamba hivi ikitokea George Washington akafufuka leo watamwabia nini! Ahahahahaha!!!
Wewe na ujinga wako unamwona Mwalimu Nyerere hafai halafu unaamini ni binadamu na Mtanzania aliyekamilika! Ahahahahaha!!
Mtu mjinga kama wewe HUWEZI kujibu "a scholarly argument" kama hii.Naona umepanic vibaya, umejieleza mno!
Nimecheka kwa nguvu vibaya. Hapo bado hujasema, mbona utasema tu?Mtu mjinga kama wewe HUWEZI kujibu "a scholarly argument" kama hii.
Ndio maana mbowe anatakiwa atoke kwa sababu haya yote ndiye anaye yafanya na kuyaleta ndani ya chama chao ,chama hakina tatizo ila mbowe ni tatizo kubwa CHADEMAMimi ni mpinzani yes naamini kwenye upinzani wa kuiondoa CCM madarakani ila kwa kinachoendelea kwenye uchaguzi wa CHADEMA ni wazi bado Tanzania hatujapata chama ambacho ni mbadala wa CCM
CHADEMA wanafanya mambo yale yale CCM wanayofanya tofauti yao hawana dola angalia mambo ya ovyo anayoyafanya Mbowe leo hii eti chama chake kikabidhiwe nchi
Juzi-juzi uchaguzi wa BAWACHA kura ambazo hazifiki hata 500 ila zilichukua masaa 48 na zaidi kuhesabu jiulize kweli watu kama hawa ndo uwape nchi kweli sababu watafanya hiki-hiki wanachofanya CCM
Nakuhakikishia huko CHADEMA kuna wakina Makonda na Sabaya wengi sana ni basi tu hawajapewa madaraka ya nchi.
Yaani hawa ccm waliopitisha mgombea bila kufuata katina ya chama kwa wagombea urais kuchukua fomu, kutafuta wadhamini , plus kuingiza ajenda ya kuteua wagombea kwenye mkutano mkuu ambayo haikuwepo ndio wawe sawa na Chadema ? Macho unayo huoni, masikio unayo husikii? One does not have to be a genius to understand this.Mimi ni mpinzani yes naamini kwenye upinzani wa kuiondoa CCM madarakani ila kwa kinachoendelea kwenye uchaguzi wa CHADEMA ni wazi bado Tanzania hatujapata chama ambacho ni mbadala wa CCM
CHADEMA wanafanya mambo yale yale CCM wanayofanya tofauti yao hawana dola angalia mambo ya ovyo anayoyafanya Mbowe leo hii eti chama chake kikabidhiwe nchi
Juzi-juzi uchaguzi wa BAWACHA kura ambazo hazifiki hata 500 ila zilichukua masaa 48 na zaidi kuhesabu jiulize kweli watu kama hawa ndo uwape nchi kweli sababu watafanya hiki-hiki wanachofanya CCM
Nakuhakikishia huko CHADEMA kuna wakina Makonda na Sabaya wengi sana ni basi tu hawajapewa madaraka ya nchi.
Sina nondo mkuu.Andaa wewe uzi wako alafu shusha nondo direct