Kwa kinachoendelea CHADEMA muda huu kwenye uchaguzi ni wazi bado hajapatikana mbadala wa CCM

Kwa kinachoendelea CHADEMA muda huu kwenye uchaguzi ni wazi bado hajapatikana mbadala wa CCM

CCM mlichofanya juzi kule Dodoma kumpitisha mgombea urais kidikteta na bila kura yoyote na hata aibu mnaweza kuwaambia CDM hawafai kushika dola kisa wanahesabu kura 500 kwa siku mbili. Ninyi mmehesabu kura ngapi za Samia na Mwinyi juzi?!
CCM Walitengua Kanuni Tu Hakukuwa Na Ushindani
Pole Pole Alisema Wahuni Wapo CCM Ni Wananchi Wote Kuwakataa Popote Walipo
 
Nyerere huyu hutu aliyesababisha wananchi wakavaa viraka?
Maoni yako yanaheshimiwa, lakini hayaondoi legacy ya Mwalimu Nyerere nchini Tanzania. Nchini Marekani, George Washington ni kama Mwalimu Nyerere Tanzania. Mojawapo ya wosia wake kabla hajafa aliwaambia Waamerika kwamba wasije wakajaribu wakaifanya Marekani nchi ya vyama vingi! Ahahahahaha!!

Kuna baadhi ya Waamerika wanajiuliza kwamba hivi ikitokea George Washington akafufuka leo watamwabia nini! Ahahahahaha!!!

Wewe na ujinga wako unamwona Mwalimu Nyerere hafai halafu unaamini ni binadamu na Mtanzania aliyekamilika! Ahahahahaha!!
 
Maoni yako yanaheshimiwa, lakini hayaondoi legacy ya Mwalimu Nyerere nchini Tanzania. Nchini Marekani, George Washington ni kama Mwalimu Nyerere Tanzania. Mojawapo ya wosia wake kabla hajafa aliwaambia Waamerika kwamba wasije wakajaribu wakaifanya Marekani nchi ya vyama vingi! Ahahahahaha!!

Kuna baadhi ya Waamerika wanajiuliza kwamba hivi ikitokea George Washington akafufuka leo watamwabia nini! Ahahahahaha!!!

Wewe na ujinga wako unamwona Mwalimu Nyerere hafai halafu unaamini ni binadamu na Mtanzania aliyekamilika! Ahahahahaha!!
Naona umepanic vibaya, umejieleza mno!
 
tabia za binadamu ni zile zile sema mngine ana nafasi ya kufanya jeuri mngine hana ,huyu ambaye anaonekana ni mwema sio mwizi siku akipewa nafasi makucha ndio mtayaona . litmus paper ya how chadema will be after holding power ni haka kauchaguzi .
 
Mimi ni mpinzani yes naamini kwenye upinzani wa kuiondoa CCM madarakani ila kwa kinachoendelea kwenye uchaguzi wa CHADEMA ni wazi bado Tanzania hatujapata chama ambacho ni mbadala wa CCM

CHADEMA wanafanya mambo yale yale CCM wanayofanya tofauti yao hawana dola angalia mambo ya ovyo anayoyafanya Mbowe leo hii eti chama chake kikabidhiwe nchi

Juzi-juzi uchaguzi wa BAWACHA kura ambazo hazifiki hata 500 ila zilichukua masaa 48 na zaidi kuhesabu jiulize kweli watu kama hawa ndo uwape nchi kweli sababu watafanya hiki-hiki wanachofanya CCM

Nakuhakikishia huko CHADEMA kuna wakina Makonda na Sabaya wengi sana ni basi tu hawajapewa madaraka ya nchi.
Ndio maana mbowe anatakiwa atoke kwa sababu haya yote ndiye anaye yafanya na kuyaleta ndani ya chama chao ,chama hakina tatizo ila mbowe ni tatizo kubwa CHADEMA
 
Mimi ni mpinzani yes naamini kwenye upinzani wa kuiondoa CCM madarakani ila kwa kinachoendelea kwenye uchaguzi wa CHADEMA ni wazi bado Tanzania hatujapata chama ambacho ni mbadala wa CCM

CHADEMA wanafanya mambo yale yale CCM wanayofanya tofauti yao hawana dola angalia mambo ya ovyo anayoyafanya Mbowe leo hii eti chama chake kikabidhiwe nchi

Juzi-juzi uchaguzi wa BAWACHA kura ambazo hazifiki hata 500 ila zilichukua masaa 48 na zaidi kuhesabu jiulize kweli watu kama hawa ndo uwape nchi kweli sababu watafanya hiki-hiki wanachofanya CCM

Nakuhakikishia huko CHADEMA kuna wakina Makonda na Sabaya wengi sana ni basi tu hawajapewa madaraka ya nchi.
Yaani hawa ccm waliopitisha mgombea bila kufuata katina ya chama kwa wagombea urais kuchukua fomu, kutafuta wadhamini , plus kuingiza ajenda ya kuteua wagombea kwenye mkutano mkuu ambayo haikuwepo ndio wawe sawa na Chadema ? Macho unayo huoni, masikio unayo husikii? One does not have to be a genius to understand this.
 
Back
Top Bottom