Kwa kinachoendelea Mahakamani kwenye kesi ya Mbowe, imedhihirika CHADEMA walikuwa sahihi kutokwenda Mahakamani baada ya uchaguzi Mkuu wa 2020

Ndiyo sababu maendeleo kuja hapa Tanzania tusahau chini ya mwamvuli wa ndugu zangu CCM,, kila kitu kimeharibiwa kuanzia Bunge,,Mahakama,, Police naomba Jeshi wasije wakafuata mkumbo
 
Tumeshawazoea nyinyi nyumbu! Alipofungwa Sabaya mkasema Mahakama imetenda haki ila kwa huyu Gaidi mkubwa mnabwabwaja tuuu. Tulie dawa iwaingie sawasawa ili mpone ugonjwa wenu wa kinyumbu!!
Jibu hoja dada, document imefikaje kwa shahidi wakati ilikua ktk store ya mahakama???
 
Hv unadhn mataga yanaelewa?????
 

Kama majaji wastaafu watakaa kimya huu uhuni ukishika kasi, sioni ni kwa jinsi gani machafuko hayatatokea huko mbele.
 
Jibu hoja dada, document imefikaje kwa shahidi wakati ilikua ktk store ya mahakama???
Kiukweli hapa chupi ya jamhuri imevuka Cha msingi ni kuchutama tuu. Hii ni aibu kubwa mahakama Inajitapakaza kinyesi oyooooooo na bado wacha inyesheee
 
Tumeshawazoea nyinyi nyumbu! Alipofungwa Sabaya mkasema Mahakama imetenda haki ila kwa huyu Gaidi mkubwa mnabwabwaja tuuu. Tulie dawa iwaingie sawasawa ili mpone ugonjwa wenu wa kinyumbu!!
Wewe tayari bangi imeshakuharibu kabisa akili mwakani utaanza kuzuru madampo..
 
Kama majaji wastaafu watakaa kimya huu uhuni ukishika kasi, sioni ni kwa jinsi gani machafuko hayatatokea huko mbele.
Kwanini usimuite mungu wako aliemuondoa Magu awaondoe na hao majaji bila kumwaga damu?
 

wewe mjuaji bana!

CDM wajuaji!

na mkiwa mna kosolewa, pewa ushauri mnaona kila mtu mjinga

na dhambi kubwa ni pale ambapo mnaona asiye chadema basi anaipenda CCM

kuna watu kibao wako serikalini na hata CCM hawaipendi hali hii ...ila hamjawakaribisha cdm

cdm ni ya wachache, wajuaji, toxic, wenye chuki na kutamka tu lolote lile bila kujali feelings za wengine

Lissu alisema anafurahia kifo cha JPM, Mbowe alisema anafurahia kifo cha JPM bila kujali kuna watu walimpenda JPM ...ila hawakuipenda CCM!!!! kuna watu walimpenda JPM hawakuipebda mahakama

kiko wapi sasa ..unalia nini?? ulichoandika kina ugeni gani nchi hii?

hii wapi mass support? hii wapi nguvu ya umma ya kuwafanya watu waache kazi zao na kukimbilia kudai haki??

kama hakuna hiyo, kuna mahali mmeanguka!! mnalia kwenye keyboard!! mnalia hamna nguvu, mnalia na unatamka chadema??? chadema iko wapi???


hata kupindi cha uchaguzi ukiona watu wengi mbele ya cdm, ni wana njaa ya mabadiliko...CDM is just a tool to show how hungry they are ..but if it is a food...cdm is poison, never eat that...

pole
 
Huyo ni kilaza wa lumumba
 
Naona, umetengeneza ID hii mpya, kwa ajili ya kuvamia thread walizoanzisha wenzio, na kutoa matusi tu!
Umeonaeee?
Yaani hawa viumbe wa lumumba wanalichafua jukwaa kwa makusudi
 
Sasa anasubiri nini kuwa mkuu wa mkoa wa kilimanjaro?
 

Ili cdm ifahamike kuwa ipo ni pale watu watapojitokeza kuuwawa na vyombo vya dola, ama kuachiwa vilema vya maisha? Leo hii wamachingwa wameondolewa kibabe kwenye maeneo yao ya kufanyia biashara, je hiyo ni dalili kuwa wamachinga hawana support? Kwa huu mchango wako nimegundua ww ni wale bendera fuata upepo, ndio maana mengi ya malalamiko yako dhidi ya cdm ni yaleyale ya kukariri majibu. Sioni kama una jipya lolote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…