Kwa Kiswahili fasaha ule Ute Ute mweupe na usionuka unaopatikana Ukeni wakati wa Tendo la Ndoa / Uzinifu unaitwaje?

Utoko mzee baba, ni koswahili sanifu kabisa...

utoko

(toko) ute unaotoka katika uke wa mwanamke wakati wa kujamiiana au anapopata hisia za kutaka kujamiiana
basi kwasisi wasanifu tunasema akileta utako tunakula utoko,na akileta utoko tunakula utako halafu bilingebilinge tunakamia mpaka jasho!..😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…