Kwa kuangalia uchangiaji wa mada nimegundua watumiaji wengi wa JF hutumia device za maofisini mwao

Kwa kuangalia uchangiaji wa mada nimegundua watumiaji wengi wa JF hutumia device za maofisini mwao

Hili hata mimi nimeliona. Labda weekend kunakuwa hakuna sana habari na matukio ya siasa. Maana insta na facebook weekend ndiyo zinabamba.
Upo sahihi....content nyingi Jtatu - Ijumaa alafu siku kama ya kesho ukifungua radio na Tv ni yaliyojiri weekend. Hata vipindi tu vya Jmosi na Jpili vya kijamii zaidi.
 
Ukifuatilia uchangiaji wa mada kwa siku za kawaida za wiki na za weekend utaona mada nyingi hupata wachangiaji wengi kwa siku za ijumatatu mpaka ijumaa.

Ijumamosi na jumapili wachangiaji huwa wachache na mada hazitembei sana.

Hii imenifanya kuhitimisha kwamba wachangiaji wengi wa JF wanalogin wakiwa makazini kwa kutumia net za maofisi yao na device za ofisi zao.

Wanaochangia weekends ni wale wanatumia simu zao binafsi au Ipad.

Ni mTazamo tu.

Mtat
Wewe unatumia ipi kati ya hizo ulizosema?
 
Ukifuatilia uchangiaji wa mada kwa siku za kawaida za wiki na za weekend utaona mada nyingi hupata wachangiaji wengi kwa siku za ijumatatu mpaka ijumaa.

Ijumamosi na jumapili wachangiaji huwa wachache na mada hazitembei sana.

Hii imenifanya kuhitimisha kwamba wachangiaji wengi wa JF wanalogin wakiwa makazini kwa kutumia net za maofisi yao na device za ofisi zao.

Wanaochangia weekends ni wale wanatumia simu zao binafsi au Ipad.

Ni mTazamo tu.

Mtat
Kuanzia ijumaa jioni, jmosi mpaka j2 tuko busy Bar tunakunywa na kuangalia game mbali mbali huo muda wa kuchangia tunaoutoa wapi ?😀
 
Ukifuatilia uchangiaji wa mada kwa siku za kawaida za wiki na za weekend utaona mada nyingi hupata wachangiaji wengi kwa siku za ijumatatu mpaka ijumaa.

Ijumamosi na jumapili wachangiaji huwa wachache na mada hazitembei sana.

Hii imenifanya kuhitimisha kwamba wachangiaji wengi wa JF wanalogin wakiwa makazini kwa kutumia net za maofisi yao na device za ofisi zao.

Wanaochangia weekends ni wale wanatumia simu zao binafsi au Ipad.

Ni mTazamo tu.

Mtat
[emoji3581][emoji3581]Uko sahihi kwa 99.9% japo kenge nyingi zinakubishia humu ila ndoivo ukweli mchungu.

Waafrika wanapiga soga sana huko makazini

Inabidi mkoloni arudi tena watu wachape kazi
 
Back
Top Bottom