Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata weekend kwa sana mwamba raraa reree "alike". Lakini alishawahi kulifafanua hiloPost mada jumatatu na jumamosi lazima uone tofauti.
Kati kati ya wiki nyuzi zinatembea balaa.
Unamaanisha kishkwambi?
Upo sahihi....content nyingi Jtatu - Ijumaa alafu siku kama ya kesho ukifungua radio na Tv ni yaliyojiri weekend. Hata vipindi tu vya Jmosi na Jpili vya kijamii zaidi.Hili hata mimi nimeliona. Labda weekend kunakuwa hakuna sana habari na matukio ya siasa. Maana insta na facebook weekend ndiyo zinabamba.
Umekuja na kielelezo kabisaView attachment 2937348
Takribani asilimia 85 ya watumiaji wa JF wanatumia Mobile web devices (smartphones) kuingia/kutembelea JF. Utafiti wako umelenga hisia badala ya uhalisia
View attachment 2937348
Takribani asilimia 85 ya watumiaji wa JF wanatumia Mobile web devices (smartphones) kuingia/kutembelea JF. Utafiti wako umelenga hisia badala ya uhalisia
Wewe unatumia ipi kati ya hizo ulizosema?Ukifuatilia uchangiaji wa mada kwa siku za kawaida za wiki na za weekend utaona mada nyingi hupata wachangiaji wengi kwa siku za ijumatatu mpaka ijumaa.
Ijumamosi na jumapili wachangiaji huwa wachache na mada hazitembei sana.
Hii imenifanya kuhitimisha kwamba wachangiaji wengi wa JF wanalogin wakiwa makazini kwa kutumia net za maofisi yao na device za ofisi zao.
Wanaochangia weekends ni wale wanatumia simu zao binafsi au Ipad.
Ni mTazamo tu.
Mtat
Siyo halmashauri au serikali kuu..Kuna ofisi nilipita weekend, staff hawarusiwi kutumia simu na hapo kuna WiFi full. Watu wanatumia simu kwa kujificha kama bangi
Ni private company wanafanya uzalishaji wa bidhaa.Siyo halmashauri au serikali kuu..
binafis muda huu nipo ofisin wifi ya bure & kiyoyozi. kwahiyo ule muda wa kuwa na family zetu tuwe busy na thread za popoma jitu ongo zisizokuwa na miguu wala kiuno?Watu badala ya kufanya kazi wanachat JF.
Kuanzia ijumaa jioni, jmosi mpaka j2 tuko busy Bar tunakunywa na kuangalia game mbali mbali huo muda wa kuchangia tunaoutoa wapi ?😀Ukifuatilia uchangiaji wa mada kwa siku za kawaida za wiki na za weekend utaona mada nyingi hupata wachangiaji wengi kwa siku za ijumatatu mpaka ijumaa.
Ijumamosi na jumapili wachangiaji huwa wachache na mada hazitembei sana.
Hii imenifanya kuhitimisha kwamba wachangiaji wengi wa JF wanalogin wakiwa makazini kwa kutumia net za maofisi yao na device za ofisi zao.
Wanaochangia weekends ni wale wanatumia simu zao binafsi au Ipad.
Ni mTazamo tu.
Mtat
Weekend ni MDA WA ubize ndio maanaPost mada jumatatu na jumamosi lazima uone tofauti.
Kati kati ya wiki nyuzi zinatembea balaa.
Ofisini Kuna break, breakfast,lunch hiyo ndio watu huchatWatu badala ya kufanya kazi wanachat JF.
[emoji3581][emoji3581]Uko sahihi kwa 99.9% japo kenge nyingi zinakubishia humu ila ndoivo ukweli mchungu.Ukifuatilia uchangiaji wa mada kwa siku za kawaida za wiki na za weekend utaona mada nyingi hupata wachangiaji wengi kwa siku za ijumatatu mpaka ijumaa.
Ijumamosi na jumapili wachangiaji huwa wachache na mada hazitembei sana.
Hii imenifanya kuhitimisha kwamba wachangiaji wengi wa JF wanalogin wakiwa makazini kwa kutumia net za maofisi yao na device za ofisi zao.
Wanaochangia weekends ni wale wanatumia simu zao binafsi au Ipad.
Ni mTazamo tu.
Mtat
[emoji2296]kwan wanawekewa bundleUnamaanisha kishkwambi?
Wanazuga ila ndio ukweli .[emoji3581][emoji3581]Uko sahihi kwa 99.9% japo kenge nyingi zinakubishia humu ila ndoivo ukweli mchungu.
Waafrika wanapiga soga sana huko makazini
Inabidi mkoloni arudi tena watu wachape kazi