Kwa kumbakiza Kocha Hitimana Simba SC na kumfukuza Kocha wa Viungo Zrane natamani leo tufungwe au 'tudroo' na Polisi Tanzania

Hitimana ni kocha ambaye Biashara utd hawamtaki, NaMuNgO pia hajawaletea mafanikio,lakini[emoji881]kwao ni bonge la kocha,duuuu dunia haishiwi viroja.
mkuu hii mechi Simba ikiyopoteza ni kwa ajili Gomes hayupo bench mwisho wa siku eti wanawasiliana kwa simu
 
lini umekuwa simba?
 
huna ujanja wa kuanika siri za simba haoa hata kama unazijua..huwaga unasema ivi alafu unakimbia!!
 
Hawa simba nao hasara nyingne za makusudi uyo mtathimin anatathimin nn timu unafungwa kizembe vile
 
Nakumbuka mashabiki wa Simba walikuwa wanalia kama ng'ombe "mooo!! Mooo!! Mooo!"

Wayback
 
dah! wawa ungeupiga kichwa ule mpira yote haya tusingeyaona, wanasimba punguzeni jazba tunaiharibu zaidi team yetu.
 
bodi ya ligi iliwambia simba kwamba mtunisia na mbrazil hawana vyeti vya kufanya kazi hapa mechi ya mwisho ilikuwa ya dodoma jiji
 
Zrane kaonewa hapakuwa na sababu yoyote ya kumfukuza, huku kutoa watu muhanga kwa manufaa ya wachezaji kutaiponza klabu wanadeka sana wale mafaza uchwara.
 
Zrane kaonewa hapakuwa na sababu yoyote ya kumfukuza, huku kutoa watu muhanga kwa manufaa ya wachezaji kutaiponza klabu wanadeka sana wale mafaza uchwara.

Wachezaji kukosa Stamina, Nguvu, Physical fitness na kuumia ovyo ulitaka awajibishwe nani?
 
Wachezaji kukosa Stamina, Nguvu, Physical fitness na kuumia ovyo ulitaka awajibishwe nani?
Timu ilivyofika Robo Fainali mara Mbili ( CAF CL ) na Kuchukua Vikombe vya Ligi na FA mfululizo Wachezaji hawakuwa na vyote hivi tena chini ya huyu huyu Kocha wa Viungo Zrane? Nasubiri jibu lako upesi sana tafadhali.
 
Timu ilivyofika Robo Fainali mara Mbili ( CAF CL ) na Kuchukua Vikombe vya Ligi na FA mfululizo Wachezaji hawakuwa na vyote hivi tena chini ya huyu huyu Kocha wa Viungo Zrane? Nasubiri jibu lako upesi sana tafadhali.

Mbinu hubadilika! Hata hivyo Hayo yalikuwa ni maoni yangu tu! Enewey nimesikia Rumours kuwa nayeye ndiyo waliopitiwa na Rungu la CAF kuhusu kubadilika kwa Sheria iliyowafanya wakose sifa kama Gomez Ndiyomana Simba ikaachana naye.
 
Mightier iko mzigoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…