Tuna nchi ambayo viongozi hawawajibiki kwa wananchi wala hata kwa kauli zao.
Tafsiri halisi ya kuwa uongozi kwao ni fursa wala si dhamana.
Kama fursa viongozi hawa wamejihakikishia marupurupu ya kufa mtu wawapo ofisini na hata wasipokuwapo:
Yapo mengi ya kujiuliza. Mfano:
Kwanini waziri Mkuu hakujiuzulu kumpisha mama Samia kuunda serikali upya kwa uhuru baada ya Magufuli mwaka jana?
2. Kwanini waziri Mkuu anasubiri ikibidi afurushwe hata baada ya Mama Samia kuonyesha kukereka mno na uwepo wa vita vya chini kwa chini ndani ya serikali?
Au ni yale yale ya kutaka kutuaminisha wao na marupurupu yao mpaji ni Mungu?
Katiba mpya yenye kuweka tafsiri zote za msingi upya ndizo zenye kuweza kuliokoa taifa hili.
Marupurupu na ukomo katika ajira au baada yasiachwe mikononi mwa wanufaika kujipangia.
Tafsiri halisi ya kuwa uongozi kwao ni fursa wala si dhamana.
Kama fursa viongozi hawa wamejihakikishia marupurupu ya kufa mtu wawapo ofisini na hata wasipokuwapo:
Yapo mengi ya kujiuliza. Mfano:
Kwanini waziri Mkuu hakujiuzulu kumpisha mama Samia kuunda serikali upya kwa uhuru baada ya Magufuli mwaka jana?
2. Kwanini waziri Mkuu anasubiri ikibidi afurushwe hata baada ya Mama Samia kuonyesha kukereka mno na uwepo wa vita vya chini kwa chini ndani ya serikali?
Au ni yale yale ya kutaka kutuaminisha wao na marupurupu yao mpaji ni Mungu?
Katiba mpya yenye kuweka tafsiri zote za msingi upya ndizo zenye kuweza kuliokoa taifa hili.
Marupurupu na ukomo katika ajira au baada yasiachwe mikononi mwa wanufaika kujipangia.