Kwa kuwa watumishi wa umma wanajifanya kuacha kazi kwa kasi kubwa kutokana na hofu serikali izuie /isamamishe malipo yao yanachelewa ili wasiache kazi

Kwa kuwa watumishi wa umma wanajifanya kuacha kazi kwa kasi kubwa kutokana na hofu serikali izuie /isamamishe malipo yao yanachelewa ili wasiache kazi

Hawa watumishi wa umma wanataka kushindana na serikali.

Kumekuwa na wimbi kubwa la kada ya watumishi wa umma kuacha kazi kutokana na hofu, hawa wamepewa mafunzo kazini kwa gharama kubwa na wengi ni wa kada za juu ambao wana nia ya kuvuruga succession plan ambayo kama nchi, gharama kubwa imetumika kutengeneza succession plan.

Njia pekee ya kuwazuia ni kuhakikisha malipo yao baada ya kuacha kazi yasipatikane kirahisi, yachukue hata miaka miwili kupatikana, hii itazuia wale waliokuwa na nia ya kuwafata wenzao katika wimbi la kukimbia utumishi wa umma waache.

Nawasilisha.
Naona mkuu huheshimu watumishi wa umma kabisa unataka uwatumie kana kwamba wao ni watumwa unaweza kuwafanya utakalo. Kwenye uchumi kuna kitu kinaitwa incentives na ina aminika kuwa binadamu ni rational na matendo yao yanaendana na incetives unaowapa.
Jiulize kwa nini kuwe na wimbi la wafanyikazi kutaka kuustafu wakati ni miaka michache wengi walitaka waendelee na kuendelea na ukiwapa contract walifurahi.
Hao ni watanzania hawastahili kutendewa mambo ya kudhalilisha utu wao. Tafakari tena ulichobandika hapa.
 
Back
Top Bottom