chiembe JF-Expert Member Joined May 16, 2015 Posts 16,859 Reaction score 28,112 Dec 20, 2024 #1 Ndio hivyo. Baraza kuu lote let, akileta hoja inapigwa chini, na pale Wenje anabaki kama kiungo mchezeshaji. Haijaisha mpaka iishe, atapigiwa hata kura ya kutokuwa na imani
Ndio hivyo. Baraza kuu lote let, akileta hoja inapigwa chini, na pale Wenje anabaki kama kiungo mchezeshaji. Haijaisha mpaka iishe, atapigiwa hata kura ya kutokuwa na imani
econonist JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 20,189 Reaction score 29,663 Dec 20, 2024 #2 Wenje wakala wa Abdul?.? Hapana kabisa