Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
- Thread starter
-
- #21
Kabisa. Watawala wetu wanaotutawala hawafanyi makosa kabisa katika hili wanachonga njia kwa kizazi chake chote kisipite kwenye dhiki ila sisi wananchi wa kawaida tunasikitisha sana.Kabisa mkuu future ya watt wetu ipo mikononi kwetu
Usifikiri vijana hawajui hivyo vingereza na kujielezea usiishi katika nadharia tu juu ya maisha.watoto wajue kujieleza kingereza fasaha, wajue kujumlisha, kutoa, kugawanya na kuzidisha hayo mengine ni mbwembwe....na ujue mtoto atafikia mahala ata branch out...hatakuwa kama utakavyo na jiandae na hiyo hali mapema mpe nafasi ya kujidhihirisha tokea akiwa mtoto wa primary
Kama una mtoto namuonea huruma sana, kama huna vizuri subiri kwanza upate akili.Shule imeshaamua hivyo mzazi utapingaje
tatzo wanaenda kusoma kitu kisicho na maana kwenye maisha yao ya baadae, me nafkiri ifikie wakati taifa litambue ya kwamba tayari tunao wasomi wengi kwenye nyanja za usimamiz na uendeshajiUkitazama madogo asubuhi na mapema wanabeba mabegi mazito migongoni kuisaka elimu siku nzima wanakesha mashuleni kurudi mpaka jioni.
Wengine wanasomeshwa kwa lazima mpaka siku za weekend lengo ni kupata matokeo mazuri ya mitihani yao.
Wana sura zilizo na matumaini lakini moyoni mwangu kumejaa huzuni sana nikiwatazama kaka na dada zao mitaani kuna muda unatamani kuwaambia madogo kuwa wanapoteza muda na wanapotezewa muda wao huko wanakoenda asubuhi na mapema na kurejea majumbani kwao kiza kizito.
Ila unamua tu kukaa kimya na kuendelea na maisha yako lakini madogo hawana future yoyote kabisa wanajiendea tu sawa na kuku aliyekatwa kichwa.
Safari ya madogo na watoto wetu kwenye elimu ni sawa na safari ya kichaa ataenda umbali mrefu mwisho anarejea na takataka.
Kama familia haijiwezi ni vyema ndugu zangu hata kasi ya kuzaa tupunguze serikali zetu hizi hazijali lolote kuhusu umasikini wetu.
Kuzaa zaa hovyo tuachane na aina hii aina ya maisha.
Kwa ufupi taifa linazalisha rundo la masikini kwa kasi sana ndio maana kusifia viongozi na watu wenye pesa inaonekana ni kazi ya kujipatia pesa.
Hakuna future hapa taifani, hakikisha unazaa utakao weza walea na kuwatengenezea njia, viongozi wetu hawaishi kama tunavyoishi sisi wananchi wa kawaida wao wanawaandalia kesho yao bora watoto wao kielimu na kifedha.
Sisi wananchi wa kawaida tuna jiendea tu kama vichaa, tuna zaa masikini na tunaongeza rundo la masikini maana hata mifumo ya elimu yetu hai support kutukomboa na huu umasikini wetu.
Ndo mamb ya UVCCM chipukizi.Kabisa. Watawala wetu wanaotutawala hawafanyi makosa kabisa katika hili wanachonga njia kwa kizazi chake chote kisipite kwenye dhiki ila sisi wananchi wa kawaida tunasikitisha sana.
Kabisa, mzazi unatakiwa umlee mwanao sio uwaachie hilo jukumu shule, unachukua mtoto usiku akifika nyumbani analala, nyumbani kunakuwa kama bwenini.Mimi nilitakataa ,nikawambia Brokeside kama kufeli mwache afeli kwani nyie kinawauma nini? Na mtoto alikuja kupata A masomo yote
na ni mwanafunzi wa darasa la pili, mda wote huo anasoma nini huko?Kwanza kwann watoto wanakaa zana shule huko? Tokea saa kumi na mbili alfajiri hadi saa kumi na moja jioni ili wagundue nini?
Yaani utaona very busy na elimu za kuwakariri kina kinjeketile ngwale na maujinga ya zinjanthropus!Kwanza kwann watoto wanakaa zana shule huko? Tokea saa kumi na mbili alfajiri hadi saa kumi na moja jioni ili wagundue nini?