Kwa kweli kila nikitizama wenzangu walivyo nahuzunika, nakuwa mnyonge sana. Nimekosa nini mimi?

Kwa kweli kila nikitizama wenzangu walivyo nahuzunika, nakuwa mnyonge sana. Nimekosa nini mimi?

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Siku hizi mpaka naogopa kuingia JF. Kila nikiangalia wenzangu JF wana maisha mazuri sana. Wana magari ,wanapata mademu wakali,wana piga stories za Uk,Usa, Pretoria,Joburg n.k aisifuye mvua imemnyea.

Wengine wanakula issue kimasikhara....mimi tu ndo naishi maisha haya.najiuliza nilikosea wapi katika kujiunga kwangu JF? Mbona wenzangu wana maisha mazuri hivi?naishi kwa kuunga unga sana hata muunganiko haupatikani.

Kila nikisoma uzi nakuta watu wanaonesha mafanikio yao. Naona hata aibu kuonekana online maana hali yangu ya mkunga nikijikuna natoka unga.

Mimi nlikosea wapi? Najiuliza mchana, najiuliza usiku. Nimekuwa naishi kwa kujificha sana humu ndani. Najiona kama nina bahati mbaya. Why Me? Kwa nini wenzangu wana enjoy life ila mimi pangu pakavu tia mchuzi?
 
Siku hizi mpaka naogopa kuingia JF. Kila nikiangalia wenzangu JF wana maisha mazuri sana. Wana magari ,wanapata mademu wakali,wana piga stories za Uk,Usa, Pretoria,Joburg n.k aisifuye mvua imemnyea.

Wengine wanakula issue kimasikhara....mimi tu ndo naishi maisha haya.najiuliza nilikosea wapi katika kujiunga kwangu JF? Mbona wenzangu wana maisha mazuri hivi?naishi kwa kuunga unga sana hata muunganiko haupatikani.

Kila nikisoma uzi nakuta watu wanaonesha mafanikio yao. Naona hata aibu kuonekana online maana hali yangu ya mkunga nikijikuna natoka unga.

Mimi nlikosea wapi? Najiuliza mchana, najiuliza usiku. Nimekuwa naishi kwa kujificha sana humu ndani. Najiona kama nina bahati mbaya. Why Me? Kwa nini wenzangu wana enjoy life ila mimi pangu pakavu tia mchuzi?
Nipo kwenye daladala nikishuka nitakupa majibu.
 
Wana jf ndio hao hao unfaokutana nao barabarani mkuu!

Hawana cha ziada,
Mkuu kwanini usimpe connection ya kujiunga Lumumba awe na yeye anapata buku7 at least itamsaidia kusogeza life.
 
Mkuu kwenye maisha usishindane na watu, shindana na Wewe mwenyewe, jitahidi wewe wa Jana usiwe wewe wa leo, na wewe wa leo usiwe wewe kesho
 
Wee jamaa kuwa mkweli! Hama jf status yako ni 'expert member' na umeandika au kushare nyuzi zaidi ya 3,000! Huo muda unavoa wapi? Si bora ukauzf ukwaju! Pambana bro!
 
Mkuu kwanini usimpe connection ya kujiunga Lumumba awe na yeye anapata buku7 at least itamsaidia kusogeza life.
Mnipe connection kama inawezekana nami nijiunge na hiyo Lumumba. Wanahusika na nini hawa?
 
Wee jamaa kuwa mkweli! Hama jf status yako ni 'expert member' na umeandika au kushare nyuzi zaidi ya 3,000! Huo muda unavoa wapi? Si bora ukauzf ukwaju! Pambana bro!
Inawezekana ikawa kweli....ila huwezi amini pamoja na hilo mi sijawahi lipwa hata kidogo. Mnalipwa nyie tu
 
Unaunga unga lakini muunganiko haupatikani[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
"Naishi kwa kuunga unga sanaa hata muunganiko haupatikani" [emoji23]
 
Siku hizi mpaka naogopa kuingia JF. Kila nikiangalia wenzangu JF wana maisha mazuri sana. Wana magari ,wanapata mademu wakali,wana piga stories za Uk,Usa, Pretoria,Joburg n.k aisifuye mvua imemnyea.

Wengine wanakula issue kimasikhara....mimi tu ndo naishi maisha haya.najiuliza nilikosea wapi katika kujiunga kwangu JF? Mbona wenzangu wana maisha mazuri hivi?naishi kwa kuunga unga sana hata muunganiko haupatikani.

Kila nikisoma uzi nakuta watu wanaonesha mafanikio yao. Naona hata aibu kuonekana online maana hali yangu ya mkunga nikijikuna natoka unga.

Mimi nlikosea wapi? Najiuliza mchana, najiuliza usiku. Nimekuwa naishi kwa kujificha sana humu ndani. Najiona kama nina bahati mbaya. Why Me? Kwa nini wenzangu wana enjoy life ila mimi pangu pakavu tia mchuzi?
Yani Jf unakufanya ujione umechelewa? Try Twitter
 
Siku hizi mpaka naogopa kuingia JF. Kila nikiangalia wenzangu JF wana maisha mazuri sana. Wana magari ,wanapata mademu wakali,wana piga stories za Uk,Usa, Pretoria,Joburg n.k aisifuye mvua imemnyea.

Wengine wanakula issue kimasikhara....mimi tu ndo naishi maisha haya.najiuliza nilikosea wapi katika kujiunga kwangu JF? Mbona wenzangu wana maisha mazuri hivi?naishi kwa kuunga unga sana hata muunganiko haupatikani.

Kila nikisoma uzi nakuta watu wanaonesha mafanikio yao. Naona hata aibu kuonekana online maana hali yangu ya mkunga nikijikuna natoka unga.

Mimi nlikosea wapi? Najiuliza mchana, najiuliza usiku. Nimekuwa naishi kwa kujificha sana humu ndani. Najiona kama nina bahati mbaya. Why Me? Kwa nini wenzangu wana enjoy life ila mimi pangu pakavu tia mchuzi?
Mkuu unakosa kitu kimoja.
KUJIAMINI.

Siyo kila mwana JF humu ameuchinja, wengine mlo mmoja kwa siku.
Wengine wako matawi jya juu.
Ndio maana kila mada inachangiwa kwa mtazamo tofauti

Petroli imepanda bei na kila kitu, wengine watapaki magari, wengine watajaza full tank.
Ndio maisha , usitazame mwenzio anakoelekea, wewe strive ya kwako upate mradi wako.
 
Siku hizi mpaka naogopa kuingia JF. Kila nikiangalia wenzangu JF wana maisha mazuri sana. Wana magari ,wanapata mademu wakali,wana piga stories za Uk,Usa, Pretoria,Joburg n.k aisifuye mvua imemnyea.

Wengine wanakula issue kimasikhara....mimi tu ndo naishi maisha haya.najiuliza nilikosea wapi katika kujiunga kwangu JF? Mbona wenzangu wana maisha mazuri hivi?naishi kwa kuunga unga sana hata muunganiko haupatikani.

Kila nikisoma uzi nakuta watu wanaonesha mafanikio yao. Naona hata aibu kuonekana online maana hali yangu ya mkunga nikijikuna natoka unga.

Mimi nlikosea wapi? Najiuliza mchana, najiuliza usiku. Nimekuwa naishi kwa kujificha sana humu ndani. Najiona kama nina bahati mbaya. Why Me? Kwa nini wenzangu wana enjoy life ila mimi pangu pakavu tia mchuzi?
Nenda kwa mwanasaikolojia kabla mambo hayajaharibika zaidi.
 
Siku hizi mpaka naogopa kuingia JF. Kila nikiangalia wenzangu JF wana maisha mazuri sana. Wana magari ,wanapata mademu wakali,wana piga stories za Uk,Usa, Pretoria,Joburg n.k aisifuye mvua imemnyea.

Wengine wanakula issue kimasikhara....mimi tu ndo naishi maisha haya.najiuliza nilikosea wapi katika kujiunga kwangu JF? Mbona wenzangu wana maisha mazuri hivi?naishi kwa kuunga unga sana hata muunganiko haupatikani.

Kila nikisoma uzi nakuta watu wanaonesha mafanikio yao. Naona hata aibu kuonekana online maana hali yangu ya mkunga nikijikuna natoka unga.

Mimi nlikosea wapi? Najiuliza mchana, najiuliza usiku. Nimekuwa naishi kwa kujificha sana humu ndani. Najiona kama nina bahati mbaya. Why Me? Kwa nini wenzangu wana enjoy life ila mimi pangu pakavu tia mchuzi?
Unauhakika Wana hayo maisha?au ni imagination zako tu?umeishawahi kuwaona?
Usiamini story za mitandaoni.
Hata kama wao wanavitu vikubwa,haijarishi wewe huwezi kupata,tafuta tu,najua
 
Siku hizi mpaka naogopa kuingia JF. Kila nikiangalia wenzangu JF wana maisha mazuri sana. Wana magari ,wanapata mademu wakali,wana piga stories za Uk,Usa, Pretoria,Joburg n.k aisifuye mvua imemnyea.

Wengine wanakula issue kimasikhara....mimi tu ndo naishi maisha haya.najiuliza nilikosea wapi katika kujiunga kwangu JF? Mbona wenzangu wana maisha mazuri hivi?naishi kwa kuunga unga sana hata muunganiko haupatikani.

Kila nikisoma uzi nakuta watu wanaonesha mafanikio yao. Naona hata aibu kuonekana online maana hali yangu ya mkunga nikijikuna natoka unga.

Mimi nlikosea wapi? Najiuliza mchana, najiuliza usiku. Nimekuwa naishi kwa kujificha sana humu ndani. Najiona kama nina bahati mbaya. Why Me? Kwa nini wenzangu wana enjoy life ila mimi pangu pakavu tia mchuzi?
Aiseee
 
Bill Lugano msaada tafadhali kwa huyu ndugu yetu mkongwe wa Jeiefu...

Mkuu msubiri tajiri atakuja na suluhu
 
Back
Top Bottom