Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Yeye hataki kuishi kwa kuramba matakle ya wanasiasa kama ufanyavyo wewe mkuuMkuu kwanini usimpe connection ya kujiunga Lumumba awe na yeye anapata buku7 at least itamsaidia kusogeza life.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye hataki kuishi kwa kuramba matakle ya wanasiasa kama ufanyavyo wewe mkuuMkuu kwanini usimpe connection ya kujiunga Lumumba awe na yeye anapata buku7 at least itamsaidia kusogeza life.
Mimi si ishi kwa style hiyo mkuu. Naamini wewe ni Member wa Buku7 ndiyo maana nikasema umsaidie connection yako. Ila kama siyo member huko ni sawa siyo kesi.Yeye hataki kuishi kwa kuramba matakle ya wanasiasa kama ufanyavyo wewe mkuu
Ana tatizo gani? Kama yupo karibu aje hapa Nipo Las Vegasi Cassino USA. kama shida ni kukosa mabint wazuri aje mi ntamlipia wapo wale wa usiku mmoja usd 2,000-5,000. Aje tu siyo issue.Bill Lugano msaada tafadhali kwa huyu ndugu yetu mkongwe wa Jeiefu...
Mkuu msubiri tajiri atakuja na suluhu
Unajipa presha tu. Jf ndo sehemu ya kujimwambafy. You can be anybody and anywhere mkuu. Usiwe mnyonge hii ni virtual world unaweza hata kuwa usalama wa taifa ukiwa humu. Unafail wapi mkuu?Siku hizi mpaka naogopa kuingia JF. Kila nikiangalia wenzangu JF wana maisha mazuri sana. Wana magari ,wanapata mademu wakali,wana piga stories za Uk,Usa, Pretoria,Joburg n.k aisifuye mvua imemnyea.
Wengine wanakula issue kimasikhara....mimi tu ndo naishi maisha haya.najiuliza nilikosea wapi katika kujiunga kwangu JF? Mbona wenzangu wana maisha mazuri hivi?naishi kwa kuunga unga sana hata muunganiko haupatikani.
Kila nikisoma uzi nakuta watu wanaonesha mafanikio yao. Naona hata aibu kuonekana online maana hali yangu ya mkunga nikijikuna natoka unga.
Mimi nlikosea wapi? Najiuliza mchana, najiuliza usiku. Nimekuwa naishi kwa kujificha sana humu ndani. Najiona kama nina bahati mbaya. Why Me? Kwa nini wenzangu wana enjoy life ila mimi pangu pakavu tia mchuzi?
Unajipa presha tu. Jf ndo sehemu ya kujimwambafy. You can be anybody and anywhere mkuu. Usiwe mnyonge hii no virtual world unaweza hata kuwa usalama wa taifa ukiwa humu. Unafail wapi mkuu?
Kwakweli ndio maana vibinti vikiona picha za wenzao insta basi vinachanganyikiwa kabisaToo much sadness
Hawa ndio waathirika wa mitandao ya kijamii,, Comparison imekuwa kubwa sana wanasahau uhalisia wao..
IMAGINE Jeiefu wala hata hakuna anayeweka picha, wala alipo but still mtu anaumia.,, itakuwaje sasa akienda huko Instagram au twitter.
mhn! vizuri sanaSiku hizi mpaka naogopa kuingia JF. Kila nikiangalia wenzangu JF wana maisha mazuri sana. Wana magari ,wanapata mademu wakali,wana piga stories za Uk,Usa, Pretoria,Joburg n.k aisifuye mvua imemnyea.
Wengine wanakula issue kimasikhara....mimi tu ndo naishi maisha haya.najiuliza nilikosea wapi katika kujiunga kwangu JF? Mbona wenzangu wana maisha mazuri hivi?naishi kwa kuunga unga sana hata muunganiko haupatikani.
Kila nikisoma uzi nakuta watu wanaonesha mafanikio yao. Naona hata aibu kuonekana online maana hali yangu ya mkunga nikijikuna natoka unga.
Mimi nlikosea wapi? Najiuliza mchana, najiuliza usiku. Nimekuwa naishi kwa kujificha sana humu ndani. Najiona kama nina bahati mbaya. Why Me? Kwa nini wenzangu wana enjoy life ila mimi pangu pakavu tia mchuzi?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mwingine anamfungulia mchepuko biashara
Kwani ww unaishi shimoniSiku hizi mpaka naogopa kuingia JF. Kila nikiangalia wenzangu JF wana maisha mazuri sana. Wana magari ,wanapata mademu wakali,wana piga stories za Uk,Usa, Pretoria,Joburg n.k aisifuye mvua imemnyea.
Wengine wanakula issue kimasikhara....mimi tu ndo naishi maisha haya.najiuliza nilikosea wapi katika kujiunga kwangu JF? Mbona wenzangu wana maisha mazuri hivi?naishi kwa kuunga unga sana hata muunganiko haupatikani.
Kila nikisoma uzi nakuta watu wanaonesha mafanikio yao. Naona hata aibu kuonekana online maana hali yangu ya mkunga nikijikuna natoka unga.
Mimi nlikosea wapi? Najiuliza mchana, najiuliza usiku. Nimekuwa naishi kwa kujificha sana humu ndani. Najiona kama nina bahati mbaya. Why Me? Kwa nini wenzangu wana enjoy life ila mimi pangu pakavu tia mchuzi?