Kwa lawama anazopewa Hayati Magufuli na Antony Diallo wa Sahara Media ni wazi CCM ya 2015 - 2021 ina Dhambi za Dhuluma

Kwa lawama anazopewa Hayati Magufuli na Antony Diallo wa Sahara Media ni wazi CCM ya 2015 - 2021 ina Dhambi za Dhuluma

Dialo atakula jeuri yake,king'amuzi chake cha continental kinapumulia mashine chanel ovyo sana
 
Sasa hivi Sahara itakuwa kipenzi cha watanzania hasa baada ya star tv kuanza kuwaruhusu wenye akili kuanza kutema cheche zao kupitia kituo hicho.
Nahisi Sahara Media wataandamwa mno.
 
Mkuu nimewasilisha 'Mawaidha' ya Tajiri wa Sahara Media na Mwenyekiti wa CCM Mkoani Mwanza Antony Dialo aliyotoka Kuyasema muda si mrefu Star Tv katika Mahojiano yake je, tatizo la GENTAMYCINE lililokukwaza ni nini? Nasubiri mrejesho wako upesi.

Cc: mwengeso
Ulichoambiwa ni kweli acha ubishi wa kijinga.
Kwanza Diallo kasema yeye hayupo SMG tena wewe unamng'ang'aniza kuendelea kuwa huko- usipotoshe watu kwa kulinda maslahi yako ya kijinga. KUA UMRI UNAENDA.
 
Si vyema kutumia neno"kondomu" unapomhusisha mkuu wa nchi.
Tubadilike na tuwe na busara.
Nimesema Rais ni Condom au nimetumia neno Condom kama Sukari au Chumvi katika kutuma Ujumbe na Kuwasilisha Hoja?

Tatizo lenu wengi wenu hamna Akili na mnakimbilia Jambo pasipo Kulielewa na mnadhani GENTAMYCINE kutumia neno Condom nimemtusi Rais.

Sasa kama neno Condom ni Tusi na baya kwanini zinanunuliwa na zinaletwa Tanzania? Hsya matangazo ya Condoms Runingani na Redioni ni Matusi?

Hivi siyo Serikali hii hii ya Rais Samia kila Siku ( kupitia Wizara husika ) inahimiza Watu kutumia Kinga hiyo ili Kuepuka na Maambukizi ya UKIMWI? Tusi huwa linatangazwa 24/7?

Wapuuzi na Wanafiki wakubwa nyie!!!!!!

Cc: masaka kwetu
 
Hizo lawama ni nyie wachumia tumbo ndio mnatoa.Ila watanzania tumefurahia awamu ya tano!
 
Ulichoambiwa ni kweli acha ubishi wa kijinga.
Kwanza Diallo kasema yeye hayupo SMG tena wewe unamng'ang'aniza kuendelea kuwa huko- usipotoshe watu kwa kulinda maslahi yako ya kijinga. KUA UMRI UNAENDA.
Umri wangu ukienda Wewe inakuathiri nini? Nimeshawahi kuja Kwako Kukuomba Chakula? Pumbavu mkubwa Wewe. au unanilazimisha 'nikubokoe' baada ya Kugundua kwa Umri wangu unaoenda Mimi ni Mwanaume Rijali hasa?
 
Umri wangu ukienda Wewe inakuathiri nini? Nimeshawahi kuja Kwako Kukuomba Chakula? Pumbavu mkubwa Wewe. au unanilazimisha 'nikubokoe' baada ya Kugundua kwa Umri wangu unaoenda Mimi ni Mwanaume Rijali hasa?
majibu yako yanathibitisha ujinga wako
 
Mi naomba kuuliza kampeni za miezi miwili ndo zimfanye mtu ashindwe kulipa mishahara mpaka ya miezi ya nyuma b4 kampeni?kodi na michango ya hifadhi za jamii b4 kampeni?
yy alitegemea akiikampenia CCM basi atalipwa fadhila?zama za fadhila kwa wafanyabiashara zilikua za JK aliemfanya akwepe kulipa kodi for yrs and yrs so alijua akimfanya kampeni JPM itakua business as usual.[emoji1787][emoji1787]
 
Magufuli kama akukugusa basi wewe ulikuwa ni labda kijakazi wake

Ila naamini hata vijakazi wake walitukanwa na kudhalilishwa kwa kula bure pale ikulu

Mama Janeth kanenepa kweli nimependa na tabasamu limerudi

Mungu amlaze panapostahili huyu dicteta alinipa machungu sana huyu jamaa!!
Israeli naye ali tuyeyusha sana kuchelewa kufanya yake ila yote kwa yote Tuinuwe mikono juu tumshukuru Mungu maana tulikuwa tuna angamia !!
 
Kama muda huu unatizama 'Mubashara' Star Tv Mahojiano ya Mmiliki wa Sahara Media na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza Tajiri Antony Dialo huhitaji Elimu Kubwa kujua ya kwamba 'ameteseka' sana na 'kudharauliwa' mno na uliokuwa Utawala wa Hayati Rais Dkt. Magufuli na CCM yake.

Na 99% ya Mazungumzo yake Tajiri Antony Dialo wa Sahara Media ( Wamiliki wa Vyombo vya Habari vikubwa Kanda ya Ziwa na nchini ) vya Star Tv, Radio Free Afrika na Kiss FM anaelezea jinsi Hayati Rais Dkt. Magufuli alivyomtumia ipasavyo katika Kampeni zake za mwaka 2015 na alipoupata Urais akasahauliwa, hakulipwa Pesa zake hadi leo na kujikuta hata akidharaulika ndani ya CCM.

" Hakuna Vyombo vya Habari ambavyo vilifanya Kazi Kubwa ya Kumkapenia Hayati Rais Dkt. Magufuli kama vyangu na nakumbuka mara Mbili tena akiwa Jukwaani Hayati aliahidi Kukusaidia kwa Kutuinua zaidi Sahara Media ila nikashangaa amenisahau, amenitupa huku nikiwa nimeingia Hasara kubwa na Kushindwa kujiendesha mpaka Wafanyakazi wangu wakawa wananidai na wengine kunikimbia na mpaka hii leo nadai Pesa zangu nyingi tu za Malipo yangu kwa Kazi niliyomfanyia "

Hata hivyo pamoja na Tajiri Antony Dialo ( wa Sahara Media ) Kuonekana kuwa na Masikitiko mengi juu ya yote yaliyomtokea Jicho Kali la Kisaikolojia la GENTAMYCINE limenionyesha kuwa kwa 'body language' yake Runingani ni kama vile anaifurahia Kazi yake Israeli kwa Mdaiwa wake Sugu na kwamba hata kama asipolipwa Poa tu barida na haina noma.

Tafadhali CCM ya Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan nawe ( nanyi ) msije kurudia hili Kosa ya Kuvitumia baadhi ya Vyombo vya Habari ipasavyo wakati wa Kampeni zenu kama Condoms na baada ya Shughuli yenu Muhimu na Tamu Kukamilika mnawasahau / mnawatupa.

Kwani kwa Kufanya hivi Kwao huenda mkawa mnajilimbikizia tu Dhambi na Laana ya Mwenyezi Mungu ambae nae pia bila ajizi anamuagiza Mtekelezaji wake wa Kutukuka Israeli afanye yake kama ya 17 Machi, 2021 Wodini Mzena Makumbusho Wilayani Kinondoni Mkoani Dar es Salaam nchini Tanzania.
Kwani Mkataba wa Matangazo ya Kampeni aliingia na Magufuli au na CCM!? Au alikuwa anafanya tu bila ya Mkataba akitegemea zaidi uswahiba wake na Magu au na JK utamlinda!?
 
Kama muda huu unatizama 'Mubashara' Star Tv Mahojiano ya Mmiliki wa Sahara Media na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza Tajiri Antony Dialo huhitaji Elimu Kubwa kujua ya kwamba 'ameteseka' sana na 'kudharauliwa' mno na uliokuwa Utawala wa Hayati Rais Dkt. Magufuli na CCM yake.

Na 99% ya Mazungumzo yake Tajiri Antony Dialo wa Sahara Media ( Wamiliki wa Vyombo vya Habari vikubwa Kanda ya Ziwa na nchini ) vya Star Tv, Radio Free Afrika na Kiss FM anaelezea jinsi Hayati Rais Dkt. Magufuli alivyomtumia ipasavyo katika Kampeni zake za mwaka 2015 na alipoupata Urais akasahauliwa, hakulipwa Pesa zake hadi leo na kujikuta hata akidharaulika ndani ya CCM.

" Hakuna Vyombo vya Habari ambavyo vilifanya Kazi Kubwa ya Kumkapenia Hayati Rais Dkt. Magufuli kama vyangu na nakumbuka mara Mbili tena akiwa Jukwaani Hayati aliahidi Kukusaidia kwa Kutuinua zaidi Sahara Media ila nikashangaa amenisahau, amenitupa huku nikiwa nimeingia Hasara kubwa na Kushindwa kujiendesha mpaka Wafanyakazi wangu wakawa wananidai na wengine kunikimbia na mpaka hii leo nadai Pesa zangu nyingi tu za Malipo yangu kwa Kazi niliyomfanyia "

Hata hivyo pamoja na Tajiri Antony Dialo ( wa Sahara Media ) Kuonekana kuwa na Masikitiko mengi juu ya yote yaliyomtokea Jicho Kali la Kisaikolojia la GENTAMYCINE limenionyesha kuwa kwa 'body language' yake Runingani ni kama vile anaifurahia Kazi yake Israeli kwa Mdaiwa wake Sugu na kwamba hata kama asipolipwa Poa tu barida na haina noma.

Tafadhali CCM ya Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan nawe ( nanyi ) msije kurudia hili Kosa ya Kuvitumia baadhi ya Vyombo vya Habari ipasavyo wakati wa Kampeni zenu kama Condoms na baada ya Shughuli yenu Muhimu na Tamu Kukamilika mnawasahau / mnawatupa.

Kwani kwa Kufanya hivi Kwao huenda mkawa mnajilimbikizia tu Dhambi na Laana ya Mwenyezi Mungu ambae nae pia bila ajizi anamuagiza Mtekelezaji wake wa Kutukuka Israeli afanye yake kama ya 17 Machi, 2021 Wodini Mzena Makumbusho Wilayani Kinondoni Mkoani Dar es Salaam nchini Tanzania.
Amina, kwa dua mbaya alizokuwa anaombewa, mwendazake asingetoboa, ni vizuri uwepo utaratibu wa kuandaa viongozi, viongozi wengi vijana wa enzi ya mwendazake walikuwa wahuni kabisa,angekaa kwa miaka kumi tungekuwa na vijana wengi wahuni madarakani, na nchi ingeingia katika chaos, mmoja alioendekezwa na askofu pengo awe Rais(Makonda), Gwajima akaanza kuunda kundi LA viongozi wasukuma, huyu naye system imfute kisiasa
 
Kama muda huu unatizama 'Mubashara' Star Tv Mahojiano ya Mmiliki wa Sahara Media na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza Tajiri Antony Dialo huhitaji Elimu Kubwa kujua ya kwamba 'ameteseka' sana na 'kudharauliwa' mno na uliokuwa Utawala wa Hayati Rais Dkt. Magufuli na CCM yake.

Na 99% ya Mazungumzo yake Tajiri Antony Dialo wa Sahara Media ( Wamiliki wa Vyombo vya Habari vikubwa Kanda ya Ziwa na nchini ) vya Star Tv, Radio Free Afrika na Kiss FM anaelezea jinsi Hayati Rais Dkt. Magufuli alivyomtumia ipasavyo katika Kampeni zake za mwaka 2015 na alipoupata Urais akasahauliwa, hakulipwa Pesa zake hadi leo na kujikuta hata akidharaulika ndani ya CCM.

" Hakuna Vyombo vya Habari ambavyo vilifanya Kazi Kubwa ya Kumkapenia Hayati Rais Dkt. Magufuli kama vyangu na nakumbuka mara Mbili tena akiwa Jukwaani Hayati aliahidi Kukusaidia kwa Kutuinua zaidi Sahara Media ila nikashangaa amenisahau, amenitupa huku nikiwa nimeingia Hasara kubwa na Kushindwa kujiendesha mpaka Wafanyakazi wangu wakawa wananidai na wengine kunikimbia na mpaka hii leo nadai Pesa zangu nyingi tu za Malipo yangu kwa Kazi niliyomfanyia "

Hata hivyo pamoja na Tajiri Antony Dialo ( wa Sahara Media ) Kuonekana kuwa na Masikitiko mengi juu ya yote yaliyomtokea Jicho Kali la Kisaikolojia la GENTAMYCINE limenionyesha kuwa kwa 'body language' yake Runingani ni kama vile anaifurahia Kazi yake Israeli kwa Mdaiwa wake Sugu na kwamba hata kama asipolipwa Poa tu barida na haina noma.

Tafadhali CCM ya Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan nawe ( nanyi ) msije kurudia hili Kosa ya Kuvitumia baadhi ya Vyombo vya Habari ipasavyo wakati wa Kampeni zenu kama Condoms na baada ya Shughuli yenu Muhimu na Tamu Kukamilika mnawasahau / mnawatupa.

Kwani kwa Kufanya hivi Kwao huenda mkawa mnajilimbikizia tu Dhambi na Laana ya Mwenyezi Mungu ambae nae pia bila ajizi anamuagiza Mtekelezaji wake wa Kutukuka Israeli afanye yake kama ya 17 Machi, 2021 Wodini Mzena Makumbusho Wilayani Kinondoni Mkoani Dar es Salaam nchini Tanzania.
we ni mnafiki tu. Si ukikuwa unamsifia huku akiteka na kuua watu?
 
Back
Top Bottom