DOKEZO Kwa Lugumi na Miss Rwanda 2016, Dola isiruhusu mahusiano ya Lugumi na Viongozi waandamizi nchini na asipewe kazi yoyote ndani ya Majeshi!

DOKEZO Kwa Lugumi na Miss Rwanda 2016, Dola isiruhusu mahusiano ya Lugumi na Viongozi waandamizi nchini na asipewe kazi yoyote ndani ya Majeshi!

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Unaweza kushangaa hizi kampeni zote za Lugumi akimwaga Pesa, mara watoto Yatima n.k zina lengo gan na kwanini nguvu kubwa inatumika kumtakatisha !!.


Rais Paul Kagame, ni Rais alojaliwa kua na Taasisi ya kijasusi ilofanikiwa Hapa Africa na Duniani, na Huenda baadhi ya Oparesheni za Rwanda ,huwaacha watu midomo wazi, Hilo halikuja Kwa bahati mbaya, Uwekezaji mkubwa, watu kufundishwa uzalendo na utaifa wangali wadogo ndo kunafanya Taasisi za Ujasusi za Rwanda kuonekana tishio .

Ikiwa kweli Bilionea Lugumi yuko Penzin na Miss Rwanda,

Na Kwamba sasa Bilionea Lugumi yuko karibu sana na viongozi waandamizi wa Nchi hii .

Na wengine siku hizi wanadai anatafutiwa Dili majeshini .


Kuna Haja ya Taa Nyekundu Kuwaka Kwa masilahi Mapana ya Taifa


Penzi lake libaki kua lake, ila Kwa namna yoyote Ile lisiruhusiwe kua na matokeo Kwa Taifa !!

20250111_080119 (1).jpg

.
20250111_080126 (1).jpg


Duuhh Jamaa anakojoa pazuri, huyu demu hata maji yake alofulia Chupi au aloogea unaweza kuyanywa kama maji ya kunywa simply because she is so fine
 
Inawezekana vipi kukubali kudalaliwa na lugumi vifaa vya jeshi badala ya majeshi yenyewe wanunue wenywewe?yaani Mfano jeshi linataka ndege vita yaani lugumi ndiyo anakuwa kiunganishi?Au Mimi ndiyo sielewi? Kama ni Hivyo basi Nchi Iko wazi kabisa.
 
Inawezekana vipi kukubali kudalaliwa na lugumi vifaa vya jeshi badala ya majeshi yenyewe wanunue wenywewe?yaani Mfano jeshi linataka ndege vita yaani lugumi ndiyo anakuwa kiunganishi?Au Mimi ndiyo sielewi? Kama ni Hivyo basi Nchi Iko wazi kabisa.
By then Lugumi alikuwa akipewa michongo na hayati maana ni jamaa yake wa karibu akiwa Nyanza Mwanza hayati nje ya gate la Nyanza Lugumi alikuwa shoe shiner so michongo mingi
 
Kweli kabisa aisee.
Ni vyema ununuzi wa vifaa vya kijeshi haswa siraha na other protective gears vifanywe na jeshi lenyewe, kwa kuna hatari ya kufanyika bio engineering (wanajeshi wakapelekewa gears zenye virus n.k) pia aina ya silaha zinazonunuliwa na serikali na stock yake kwasababu huyu lugumi atakuwa anajua n.k
Inawezekana vipi kukubali kudalaliwa na lugumi vifaa vya jeshi badala ya majeshi yenyewe wanunue wenywewe?yaani Mfano jeshi linataka ndege vita yaani lugumi ndiyo anakuwa kiunganishi?Au Mimi ndiyo sielewi? Kama ni Hivyo basi Nchi Iko wazi kabisa
 
Unaweza kushangaa hizi kampeni zote za Lugumi akimwaga Pesa, mara watoto Yatima n.k zina lengo gan na kwanini nguvu kubwa inatumika kumtakatisha !!.


Rais Paul Kagame, ni Rais alojaliwa kua na Taasisi ya kijasusi ilofanikiwa Hapa Africa na Duniani, na Huenda baadhi ya Oparesheni za Rwanda ,huwaacha watu midomo wazi, Hilo halikuja Kwa bahati mbaya, Uwekezaji mkubwa, watu kufundishwa uzalendo na utaifa wangali wadogo ndo kunafanya Taasisi za Ujasusi za Rwanda kuonekana tishio .

Ikiwa kweli Bilionea Lugumi yuko Penzin na Miss Rwanda,

Na Kwamba sasa Bilionea Lugumi yuko karibu sana na viongozi waandamizi wa Nchi hii .

Na wengine siku hizi wanadai anatafutiwa Dili majeshini .


Kuna Haja ya Taa Nyekundu Kuwaka Kwa masilahi Mapana ya Taifa


Penzi lake libaki kua lake, ila Kwa namna yoyote Ile lisiruhusiwe kua na matokeo Kwa Taifa !!

View attachment 3198578
.
View attachment 3198580

Duuhh Jamaa anakojoa pazuri, huyu demu hata maji yake alofulia Chupi au aloogea unaweza kuyanywa kama maji ya kunywa simply because she is so fine
Nchi ya kiwaki sana yaani mshona viatu bado anaendelea kuwa msambazaji mkuu wa vifaa vya kijeshi.
 
Yaani mtu asijifurahishe kisa fikra zako potovu.

Lugumi mskuma, binafsi nina rafiki Msukuma, mke wake mnyarwanda na uncle zake wanyarwanda.

But that has nothing to do with national security.

Watanzania tujipange kwenye usalama ukienda US maafisa wao wa usalama ni raia wa nchi zote duniani.

Muhimu ni kwenye ku-control activities zao.

Yaani mahela yote ya Lugumi asifurahi kivipi ata kama yeye mwenyewe asili yake mnyarwanda.

Jipange kwenye ulinzi wako, wapiga deal ni wowote, hata huko Rwanda kuna wapiga deal wenye ndugu Tanzania.
 
Yaani mtu asijifurahishe kisa fikra zako potovu.

Lugumi mskuma, binafsi nina rafiki Msukuma, mke wake mnyarwanda na uncle zake wanyarwanda.

But that has nothing to do with national.

Watanzania tujipange kwenye usalama ukienda US maafisa wao wa usalama ni raia wa nchi zote duniani.

Muhimu ni kwenye ku-control activities zao.

Yaani mahela yote ya Lugumi asifurahi kivipi.
Bro umeandika kimuhemko sana ila ni kwa sababu labda hujasoma analytical posts humu kuhusu bwana Kaagaahame na lengo lake la kuikontrol africa nzima... Soma hii habari kwa jicho pevu utaona mwandishi ana hoja.
 
Ujinga huu ulianza enzi za mkapa na kina shivacom .
Shiva alikimbia nchi kipindi cha magu sasa ajabu leo rugumi anatamba kaazimwa hela sijui wapi.
Nafikili kuna kundi la watu wakalibu wa serikali wapo nyuma ya rugumi.
 
Yaani mtu asijifurahishe kisa fikra zako potovu.

Lugumi mskuma, binafsi nina rafiki Msukuma, mke wake mnyarwanda na uncle zake wanyarwanda.

But that has nothing to do with national security.

Watanzania tujipange kwenye usalama ukienda US maafisa wao wa usalama ni raia wa nchi zote duniani.

Muhimu ni kwenye ku-control activities zao.

Yaani mahela yote ya Lugumi asifurahi kivipi ata kama yeye mwenyewe asili yake mnyarwanda.

Jipange kwenye ulinzi wako, wapiga deal ni wowote, hata huko Rwanda kuna wapiga deal wenye ndugu Tanzania.
watu wanazichukulia poa sana security agency za TZ kina born town wameeaza kwenda ussr na china 1980s huko kupata mafunzo leo waje wazidiwe ujanja kirahisi ivo
 
Bro umeandika kimuhemko sana ila ni kwa sababu labda hujasoma analytical posts humu kuhusu bwana Kaagaahame na lengo lake la kuikontrol africa nzima... Some hii habari kwa jicho pevu utaona mwandishi ana hoja.
Akili za kitoto hivi unajua wasukuma wangapi wenye uncles Rwanda?

Utakawashuku wote, hiyo si xenophobia, mie nina dada yangu kutoka Ngara anatema Kinyarwanda, lakini mswazi huyo Mwajuma wa Tandale aingii. Na habari za Rwanda hana habari nazo kabisa.

Na nina rafiki msukuma ana uncle wanyarwanda na mkewe wa huko huko lakini akili yake Tanzania.

Kuna mix, issue ya usalama ni kujipanga kwa mtindo wao. Lakini sio kupangia raia. Lugumi apigi deal kwa sababu ya Kagame atapiga deal kwa sababu majizi serikalini yanadhani anafaa kupiga deal nae kama mtanzania mwingine yeyote.

Akipata hela atavyoamua kujifurahisha ni yeye. Tuache hizi tabia za kuwabagua watu.

Ulinzi ni swala lingine na deal ni swala lingine; kesho Bashe akiokiota mtoto wa kisonjo it has nothing to do with national security.

Vita yako ni uzalendo, pamoja na makelele ya ACT-Wazalendo na watu kama kuna OMO; kuna maafisa usalama kutoka huko visiwani wanailinda Tanzania wabara awaingii,

Tuache hizi chuki za kupakazia watu mambo,
 
Back
Top Bottom