DOKEZO Kwa Lugumi na Miss Rwanda 2016, Dola isiruhusu mahusiano ya Lugumi na Viongozi waandamizi nchini na asipewe kazi yoyote ndani ya Majeshi!

DOKEZO Kwa Lugumi na Miss Rwanda 2016, Dola isiruhusu mahusiano ya Lugumi na Viongozi waandamizi nchini na asipewe kazi yoyote ndani ya Majeshi!

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Unaweza kushangaa hizi kampeni zote za Lugumi akimwaga Pesa, mara watoto Yatima n.k zina lengo gan na kwanini nguvu kubwa inatumika kumtakatisha !!.


Rais Paul Kagame, ni Rais alojaliwa kua na Taasisi ya kijasusi ilofanikiwa Hapa Africa na Duniani, na Huenda baadhi ya Oparesheni za Rwanda ,huwaacha watu midomo wazi, Hilo halikuja Kwa bahati mbaya, Uwekezaji mkubwa, watu kufundishwa uzalendo na utaifa wangali wadogo ndo kunafanya Taasisi za Ujasusi za Rwanda kuonekana tishio .

Ikiwa kweli Bilionea Lugumi yuko Penzin na Miss Rwanda,

Na Kwamba sasa Bilionea Lugumi yuko karibu sana na viongozi waandamizi wa Nchi hii .

Na wengine siku hizi wanadai anatafutiwa Dili majeshini .


Kuna Haja ya Taa Nyekundu Kuwaka Kwa masilahi Mapana ya Taifa


Penzi lake libaki kua lake, ila Kwa namna yoyote Ile lisiruhusiwe kua na matokeo Kwa Taifa !!

View attachment 3198578
.
View attachment 3198580

Duuhh Jamaa anakojoa pazuri, huyu demu hata maji yake alofulia Chupi au aloogea unaweza kuyanywa kama maji ya kunywa simply because she is so fine
Sawa lugumi naona unatutishia. Hata sisi tuna vyombo kali sana
 
Kama ni mnyarwanda, basi hii pisi siyo Kali...kwa wenye kujua totoz za kinywaranda zile classic aje anibishie hapa. Ila kwa mambo ya kijajusi ni muhimu kuliangazia Hilo kwa undani.
 
Unaweza kushangaa hizi kampeni zote za Lugumi akimwaga Pesa, mara watoto Yatima n.k zina lengo gan na kwanini nguvu kubwa inatumika kumtakatisha !!.


Rais Paul Kagame, ni Rais alojaliwa kua na Taasisi ya kijasusi ilofanikiwa Hapa Africa na Duniani, na Huenda baadhi ya Oparesheni za Rwanda ,huwaacha watu midomo wazi, Hilo halikuja Kwa bahati mbaya, Uwekezaji mkubwa, watu kufundishwa uzalendo na utaifa wangali wadogo ndo kunafanya Taasisi za Ujasusi za Rwanda kuonekana tishio .

Ikiwa kweli Bilionea Lugumi yuko Penzin na Miss Rwanda,

Na Kwamba sasa Bilionea Lugumi yuko karibu sana na viongozi waandamizi wa Nchi hii .

Na wengine siku hizi wanadai anatafutiwa Dili majeshini .


Kuna Haja ya Taa Nyekundu Kuwaka Kwa masilahi Mapana ya Taifa


Penzi lake libaki kua lake, ila Kwa namna yoyote Ile lisiruhusiwe kua na matokeo Kwa Taifa !!

View attachment 3198578
.
View attachment 3198580

Duuhh Jamaa anakojoa pazuri, huyu demu hata maji yake alofulia Chupi au aloogea unaweza kuyanywa kama maji ya kunywa simply because she is so fine
1736596472370.png
... vipodozi vimezidi!
 
Kama ni mnyarwanda, basi hii pisi siyo Kali...kwa wenye kujua totoz za kinywaranda zile pisi classic zilizonyooka aje anibishie hapa. Ila kwa mambo ya kijajusi ni muhimu kuliangazia Hilo kwa undani.
 
Akili za kitoto hivi unajua wasukuma wangapi wenye uncles Rwanda?

Utakawashuku wote, hiyo si xenophobia, mie nina dada yangu kutoka Ngara anatema Kinyarwanda, lakini mswazi huyo Mwajuma wa Tandale aingii. Na habari za Rwanda hana habari nazo kabisa.

Na nina rafiki msukuma ana uncle wanyarwanda na mkewe wa huko huko lakini akili yake Tanzania.

Kuna mix, issue ya usalama ni kujipanga kwa mtindo wao. Lakini sio kupangia raia. Lugumi apigi deal kwa sababu ya Kagame atapiga deal kwa sababu majizi serikalini yanadhani anafaa kupiga deal nae kama mtanzania mwingine yeyote.

Akipata hela atavyoamua kujifurahisha ni yeye. Tuache hizi tabia za kuwabagua watu.

Ulinzi ni swala lingine na deal ni swala lingine; kesho Bashe akiokiota mtoto wa kisonjo it has nothing to do with national security.

Vita yako ni uzalendo, pamoja na makelele ya ACT-Wazalendo na watu kama kuna OMO; kuna maafisa usalama kutoka huko visiwani wanailinda Tanzania wabara awaingii,

Tuache hizi chuki za kupakazia watu mambo,
Mkuu POKEA USHINDI WA KISHINDO...
Siwezi kuendelea kubishana na wewe thus nimekupa ushindi. Ila in the near future utapata taarifa.
 
"Duuhh Jamaa anakojoa pazuri, huyu demu hata maji yake alofulia Chupi au aloogea unaweza kuyanywa kama maji ya kunywa simply because she is so fine."


Madhara ya kuruka nyeto kwenye makuzi ndio haya.
Siku ya Gulioooo.....😃😃
 
Hivi wale wanawake waliokuwa implanted Dodoma kuwafurahisha wagonga meza waliishia wapi
Juzi kati ktk pitapita zangu nilikutana na wadada kutoka kwa pk hapo Dom.Siwezi kusema ni hao implanted ama laa maana sikuchunguza chochote juu yao
 
Kuna uhusiano gani kati ya usalama wa nchi na jamaa kwenda kuzagamua miss Rwanda?
Ina maana hii nchi usalama wake upo mikononi mwa Lugumi?
Mkuu mkuu kama ni kweli uhusiano upo tena mkubwa sana sana kuliko unavyofikiri, tuliza kichwa tafakari utapata majibu magumu sana kwa maswali rahisi
 
"Watanzania wana wivu wa kijinga sana"Hayati BWM.

Ni upumbavu taifa kama Tanzania kuogopa taifa la Rwanda.Watanzania huwa tunajiona special sana kwamba tunaonewa wivu na majirani kumbe ni inferior complex zetu,ambazo msingi wake ni upumbavu.
 
Atafanyaje wakati bongo kila anayegusa ni single mother, Bora acheki upande wa pili!!
 
Back
Top Bottom