DOKEZO Kwa Lugumi na Miss Rwanda 2016, Dola isiruhusu mahusiano ya Lugumi na Viongozi waandamizi nchini na asipewe kazi yoyote ndani ya Majeshi!

DOKEZO Kwa Lugumi na Miss Rwanda 2016, Dola isiruhusu mahusiano ya Lugumi na Viongozi waandamizi nchini na asipewe kazi yoyote ndani ya Majeshi!

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Unaweza kushangaa hizi kampeni zote za Lugumi akimwaga Pesa, mara watoto Yatima n.k zina lengo gan na kwanini nguvu kubwa inatumika kumtakatisha !!.


Rais Paul Kagame, ni Rais alojaliwa kua na Taasisi ya kijasusi ilofanikiwa Hapa Africa na Duniani, na Huenda baadhi ya Oparesheni za Rwanda ,huwaacha watu midomo wazi, Hilo halikuja Kwa bahati mbaya, Uwekezaji mkubwa, watu kufundishwa uzalendo na utaifa wangali wadogo ndo kunafanya Taasisi za Ujasusi za Rwanda kuonekana tishio .

Ikiwa kweli Bilionea Lugumi yuko Penzin na Miss Rwanda,

Na Kwamba sasa Bilionea Lugumi yuko karibu sana na viongozi waandamizi wa Nchi hii .

Na wengine siku hizi wanadai anatafutiwa Dili majeshini .


Kuna Haja ya Taa Nyekundu Kuwaka Kwa masilahi Mapana ya Taifa


Penzi lake libaki kua lake, ila Kwa namna yoyote Ile lisiruhusiwe kua na matokeo Kwa Taifa !!

View attachment 3198578
.
View attachment 3198580

Duuhh Jamaa anakojoa pazuri, huyu demu hata maji yake alofulia Chupi au aloogea unaweza kuyanywa kama maji ya kunywa simply because she is so fine
Movies zinakudanganya mkuu..
 
Yaani mtu asijifurahishe kisa fikra zako potovu.

Lugumi mskuma, binafsi nina rafiki Msukuma, mke wake mnyarwanda na uncle zake wanyarwanda.

But that has nothing to do with national security.

Watanzania tujipange kwenye usalama ukienda US maafisa wao wa usalama ni raia wa nchi zote duniani.

Muhimu ni kwenye ku-control activities zao.

Yaani mahela yote ya Lugumi asifurahi kivipi ata kama yeye mwenyewe asili yake mnyarwanda.

Jipange kwenye ulinzi wako, wapiga deal ni wowote, hata huko Rwanda kuna wapiga deal wenye ndugu Tanzania.
Well said mkuu..
 
Oya mwanangu huyo dada yako kama hajaolewa naomba namba tuunge udugu asee. umesema ni mnyarwanda ee?
Sio dada yangu wa kuzaliwa yeye muhangaza, mimi mnyalukolo (rafiki wa dada zangu)

Nimetoa mfano tu, na hawezi kuokota watu mitandaoni ni mtoto wa
mjini kweli kweli Dar-Er-Salaam mapedeshee yote hapo mjini ya rika lake unamjua.

Unadhani wanawake sampuli ya chit-chat, huyo hata JF sidhani kama anaijua.

Ukitaka update za kitaa yeye ndio anazo, nani kakamatwa kwa kosa makosa yepi; hakuna kinachompita U.K. na Dar-Es-Salaam.
 
Lugumi anauza silaha za kijeshi kwa majeshi ya serikali na.....???
Ni mzabuni wa majeshi huyo kama sijakosea.

Nakumbuka pia kipindi cha Rais Magufuli ilikaribia kidogo tu amfilisi baada ya kugundua amechukua tenda ya kusambaza vifaa vya ugunduzi wa alama kwa watuhumiwa kwenye jeshi la polisi, halafu huyo mhuni akaingia mitini huku akiwa amelipwa fedha zote (bilions of Tshs) za kufanya installations kwenye vituo vyote muhimu!!

Na ndiyo kipindi hicho jina la Dr. Shika lilikuwa maarafu baada ya kutaka kulinunua moja ya ghorofa la huyo Lugumi kwa shilingi 900, huku madali wakifiri ni milioni 900 za Kitanzania.
 
Kweli kabisa aisee.
Ni vyema ununuzi wa vifaa vya kijeshi haswa siraha na other protective gears vifanywe na jeshi lenyewe, kwa kuna hatari ya kufanyika bio engineering (wanajeshi wakapelekewa gears zenye virus n.k) pia aina ya silaha zinazonunuliwa na serikali na stock yake kwasababu huyu lugumi atakuwa anajua n.k
J.F kama Dodoma. Kila mtu Usalama wa Taifa..
 
Kweli kabisa aisee.
Ni vyema ununuzi wa vifaa vya kijeshi haswa siraha na other protective gears vifanywe na jeshi lenyewe, kwa kuna hatari ya kufanyika bio engineering (wanajeshi wakapelekewa gears zenye virus n.k) pia aina ya silaha zinazonunuliwa na serikali na stock yake kwasababu huyu lugumi atakuwa anajua n.k
yaani ni balaa tupu na vp wahuni wakimtaiti na kifinyo juu si atatema siri zote huyu tutabaki weupe kabisa..tatizo la nchi hii ni wanasiasa kwao kila manunuzi ni dili wanataka wawepo ili kupata 10% na hayo madili huyu jamaa hali peke yake ni chain ndefu ya watu wengi.
 
Yaani mtu asijifurahishe kisa fikra zako potovu.

Lugumi mskuma, binafsi nina rafiki Msukuma, mke wake mnyarwanda na uncle zake wanyarwanda.

But that has nothing to do with national security.

Watanzania tujipange kwenye usalama ukienda US maafisa wao wa usalama ni raia wa nchi zote duniani.

Muhimu ni kwenye ku-control activities zao.

Yaani mahela yote ya Lugumi asifurahi kivipi ata kama yeye mwenyewe asili yake mnyarwanda.

Jipange kwenye ulinzi wako, wapiga deal ni wowote, hata huko Rwanda kuna wapiga deal wenye ndugu Tanzania.
Tatizo la JF kila mmoja ni TISS kasoro mimi tu..
 
Tatizo la JF kila mmoja ni TISS kasoro mimi tu..
Shida zaidi ni hii dhana ya mistrust on grounds of xenophobia and religious differences (halafu mods wanachekea kweli hizo mada).

Ni nadharia za kutoka kwa watu wasiojichanganya tu kwenye jamii; lakini watanzania hatupo ivyo.

Sote tunajua ‘bi-tozo’ anavyotaka kutengeneza mazingira ya kupita kirahisi 2025. Aliweka DGIS mzanzibari akizani atachezea kazi yake.

Kibaya zaidi alichagua mtu ambae ni proper system ya usalama hajui lolote nje ya usalama; yeye mwenyew ilibidi amteme hata miezi minne aikufika. Unacheza na walinzi waliopikwa.

Tuache hizi tabia za kushutumu majirani zetu au kutaka kutengeneza udini.
 
Shida zaidi ni hii dhana ya mistrust on grounds of xenophobia and religion.

Ni kutoka kwa watu wasiojichanganya.

Sote tunajua ‘bi-tozo’ anavyotaka kutengeneza mazingira ya kupita kirahisi 2025. Aliweka DGIS mzanzibari akizani atachezea kazi yake.

Kibaya zaidi alichagua mtu ambae ni proper system ya usalama hajui lolote nje ya usalama; yeye mwenyew ilibidi amteme hata miezi minne aikufika. Unacheza.

Tuache hizi tabia za kushutumu majirani zetu au kutaka kutengeneza udini.
Yes upo sahihi sana mkuu. Mbona professor Sarungi ana ndugu yake mmoja aliwahi kuwa Waziri Kenya..
 
Back
Top Bottom