DOKEZO Kwa Lugumi na Miss Rwanda 2016, Dola isiruhusu mahusiano ya Lugumi na Viongozi waandamizi nchini na asipewe kazi yoyote ndani ya Majeshi!

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
By then Lugumi alikuwa akipewa michongo na hayati maana ni jamaa yake wa karibu akiwa Nyanza Mwanza hayati nje ya gate la Nyanza Lugumi alikuwa shoe shiner so michongo mingi
Hata kama humpendi Hayati acha kumsingizia vitu vingine vya ajabu na akili yako ya kimavimavi. Hakuna kipindi huyu Lugumi alipata kipindi kigumu kama kipindi cha utawala wa hayati hadi baadhi ya mali zake kupigwa mnada nadhani ulikuwa bado mtoto mdogo
 
Inasemekana Rwanda ni maarufu ya kutumia warembo wake kiujasusi. Kama Lugumi anadeal na tenda za kijeshi basi huyo demu wa kinyarwanda atakuwa ashasoma ramani kubwa sana
 
Hivi historia ya Said Lugumi unaijua? Au umeidandia kwa mbele?
 
By then Lugumi alikuwa akipewa michongo na hayati maana ni jamaa yake wa karibu akiwa Nyanza Mwanza hayati nje ya gate la Nyanza Lugumi alikuwa shoe shiner so michongo mingi
Uongo wa kiwango cha SGR...godamn!
 
Uzi fikirishi sana huu mkuu ni wachache sana wataweza kuufikiria kwa kina...
 
Nilidhani she's beautiful, kumbe she's fine!! OK, ila kiukweli sio mzuri,ni msafi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…