Tesla Senior,Siku zote Experimental physicist yupo juu zaidi.Kwasababu theory inaweza kukosolewa lakini huwezi kukosoa Devices kama Electric Motor au A.C
Hebu pitia hapa uone hoja zao.
TESLA VS EINSTEIN
Mh humu sipaelewi elewi
As if watu wapo kwenye mission ya kutafuta malengo yao ya kuwepo duniani
Mfano?
Sayansi ni elimu ya kutambua asili yetu na uhalisia.Sijakataa.Asili ya sayansi ni nini au nani au wapi kwa sababu hao wanasayansi hiyo sayansi wameikuta;yaani ni kwamba wanafanyia tafiti kitu ambacho kipo.
Wewe huamini uwepo wa Mungu ila unaamini sana sayansi.Hebu naomba utujuze ASILI/CHANZO ya sayansi,maana hata hao wanasayansi nguli hiyo sayansi wameikuta.
Hello godless folks,heretics,heathens,Atheists,Agnostics,humanists,freethinkers,skeptics.....mambo vp
Nawapa salama wote,na kuwafahamisha tuko kwenye hii society
Nifanyeje ili na mimi niweze kupata hiyo elimu?You are Welcome keithevans2685
Elimu ipi mkuu?Nifanyeje ili na mimi niweze kupata hiyo elimu?
I like these kind of arguments[emoji57] [emoji57]Mkuu nimesema hivyo kwasababu.
Aristotle alikuwa tofauti ya wanafalsafa wengine.
Yeye ndiye aliyesema kuwa ili Nadharia ikubaliwe lazima iwe verified na Experiment
Na Experiment ndiyo Msingi mkubwa wa science.
scientific society inamtambua yeye kama Mwanasayansi wa kwanza.
Umesomeka kiongozi
Ujuz wa mamboElimu ipi mkuu?
Soma vitabu mkuu ! Sharpen your mind for that is your only remaining ultimate weapon against this full of lies world ![emoji57]Ujuz wa mambo
OK, nimekupata mkuu! Je, ni vitb gn hvyo mkuu?!Soma vitabu mkuu ! Sharpen your mind for that is your only remaining ultimate weapon against this full of lies world ![emoji57]
Nilikuwa sijawahi kukutana na atheists wakitanzania wazuri katika mada kiasi nilichokiona humu, mimi siamini katika uwepo wa mungu naaiamini saaana sayansi kwani imenifungua akili kuujua ulimwengu.Big up sana fellow atheists of Tanzania.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Mkuu nimesema hivyo kwasababu.
Aristotle alikuwa tofauti ya wanafalsafa wengine.
Yeye ndiye aliyesema kuwa ili Nadharia ikubaliwe lazima iwe verified na Experiment
Na Experiment ndiyo Msingi mkubwa wa science.
scientific society inamtambua yeye kama Mwanasayansi wa kwanza.